pia kuna clip niliona pale EATV kwenye e-news baada ya kupata ajali alitoka salama kuna maneno aliongea sasa leo nimepata picha huenda alikuwa amelewa nasijui ni nani alikuwa anaendesha?Hii show ya club downtown nilikuwa pale MG hotel opposite na hiyo club.. Niliwasikia watu wanasema jamaa yuko bwiiii ameharibu show.. Sikuchukulia serious sana nikajua labda Bahati mbaya tu.. Ila sasa kama kumbe ni tabia yake inabidi ajitathimini upya..
Kuna watu watasema anaonewa gere ila ni watu hao hao watakuwa wakwanza kumcheka siku akipotea..
Nakumbuka siku MDB alipokuwa anamtema kwa mara ya kwanza young dee akasema kinachomponza young dee ni kampani aliyo nayo! Na hiki pia kiko kwa darasa watu wanaomzunguka ni wa hovyo sana.. Kuwa na kipaji ni jambo moja but unahitaji uzungukwe na watu positive wenye kuona mbali..
Binafsi alinidissappoint juzi alivyopata ajali alafu anasema "hawatuwezi"!! Ni utoto wa hali ya juu..
Darasaa ni msanii mzuri but ana mambo mengi sana ya kuyarekebisha ili afike kule anakotaka..
Nami nitashangaa sana.....Nitashangaa sana nikisikia Darasa havuti unga
Dreva alieitoa gari pale kahama alikua hanscana, walivofika mbele kidogo akaomba alale kwani usingizi ulimzidia then darassa akachukua usukani hadi wanapata ajali alikua darassa ndio dreva.pia kuna clip niliona pale EATV kwenye e-news baada ya kupata ajali alitoka salama kuna maneno aliongea sasa leo nimepata picha huenda alikuwa amelewa nasijui ni nani alikuwa anaendesha?
Mashabiki tuna tatizo lakuto wambia ukweli wasanii wetu halafu mwisho wa siku wanaishia pabaya..
Darasa anaonekana kabisa ana kunywa sana na bila shaka kwa mwendo huu anaweza asifaidike na muziki wake kama hatobadilika.
Darasa ni lazima aache ulofa
aiseee ,,,,,,,,,,,,,Dreva alieitoa gari pale kahama alikua hanscana, walivofika mbele kidogo akaomba alale kwani usingizi ulimzidia then darassa akachukua usukani hadi wanapata ajali alikua darassa ndio dreva.
Naomba nipigiwe wimbo wa drive slow-prof jayChagua na wimbo kusindikiza salamu zako!!
KuumbeeeeKabla sijacomment habari yoyote huwa naenda all content ya mtu aliyepost..we jamaa ni hater na habari yako imekaa kimipasho..kweli vijana wa muziki wa ujanja ujanja mnapenda fitna...Moshi nzima ubaki weye tu na hearsay zako au club nzima ndani ulikua weye?acha umbeya mtoto wa kiume kumshusha darasa sio kumpandisha diamond
Sio tupicha tu,bali aweke video kabisaWeka ushahidi wa tupicha japo tuwili tutatu otherwise wewe ni Hater tu
Nyimbo ya hii na muziki..zote ziko poa na zote kwenye chorus amekimbiza ben pol.Hii ngoma yake tamu saana....
Kwelia tamaa kukata ni mwiko...
Pia yaonekana na Ben Pol kitambo wapo wote
Dah kweli uzuri wa mziki upo kwa msikilizaja,,, nimeoma mona g ametia mkono wake hapo ktk huo wimbo wa nishike mkono.Nyimbo ya hii na muziki..zote ziko poa na zote kwenye chorus amekimbiza ben pol.
-kuna nyingine inaitwa nishike mkono, ndio nyimbo ya darasa ninayoikubali mimi kuliko zote
Darasa anajua sana mkuu.Dah kweli uzuri wa mziki upo kwa msikilizaja,,, nimeoma mona g ametia mkono wake hapo ktk huo wimbo wa nishike mkono.
Ila Darasa naona mara ya pili anamtaja jamaa anaeozea segerea anamaanisha jamaa yake a!?
Tena ambayo hata lile Chui badala ya kuimba happy birthday anaimba 'nipe bia ninywe'Mwacheni anywe, kwani nani asiejua utamu wa bia baridi?