MMMM serious jamaa ana kula ogoro?Halafu huyo jamaa anakula ugoro na tambu
Yani nashangaa hadi sasa eti darasa ana kubali show ya elfu kumi.Darasa movements zake zipo ki twety percent sana wala huhitaji degree kuona...na akiichezea hii nafasi anayopitia sasa hivi sijui atamlaumu nani.
Yupo kwenye peak, na huu ndio wakati wa kutengeneza hata milioni mia tano...lakini utashangaa yanamshinda kama yalivyomshinda kina Haruna Moshi (Boban) very talented ila nidhamu zero.
Wanaomzunguka wasipomsaidia tunamsahau soon...talent bila nidhamu ni bure tu.
MMMM serious jamaa ana kula ogoro?
hahahahahahaTena ambayo hata lile Chui badala ya kuimba happy birthday anaimba 'nipe bia ninywe'
Ila Darasa atakuwa anapiga 'perfect combo' ya biere na cha A town.
ila jamaa anaonekana ni mlevi hadi usoni.Kweli tena mwangalie hata mdomo wake tu
teh teh usinisahau kadi ya mchango.............I trust you sweetheart.
Jealous...sometimes [emoji85] [emoji8]
Mbona naona hapo juu wanasema analipwa 4m...ila mimi naiona hatari kwa tuhuma kama hizi ni nani atakubali kumlipa hiyo milioni kumi au zaidi ili hali hakuna uhakika wa kupata thamani ya hiyo pesa jukwaani?Yani nashangaa hadi sasa eti darasa ana kubali show ya million kumi.
Nashangaa wenzie waliweza kumuongaza vyema kwenye show ya EATV awards na aliperfom vizuri sana hadi watu walifurahi na aliwai mapema sana.... sasa sijui kimempata nini?Mbona naona hapo juu wanasema analipwa 4m...ila mimi naiona hatari kwa tuhuma kama hizi ni nani atakubali kumlipa hiyo milioni kumi au zaidi ili hali hakuna uhakika wa kupata thamani ya hiyo pesa jukwaani?
Watu wata prefer kucheza Muziki wake kutoka kwenye CD na Mashabiki waimbe kama Karaoke, wataburudika zaidi kuliko kuishia kuwaudhi Mashabiki pale atakapopanda jukwaani hajiwezi.
Ni kweli Darassa alikua na show Moshi jana (alhamisi) ila hicho cha kulewa tila lila kama ni kweli muda bado anao wakujirekebisha.Kaja lini huko..? Si aliambiwa na Madokta wa muhimbili apumzike asifanye shoo kutokana na Ajali aliyopata
Weka picha Uisapoti Stori yako otherwise Umetumwa kuchafua watu
Duuuu ndio maana mnaonekana haters hivi hivi.Hii show ya club downtown nilikuwa pale MG hotel opposite na hiyo club.. Niliwasikia watu wanasema jamaa yuko bwiiii ameharibu show.. Sikuchukulia serious sana nikajua labda Bahati mbaya tu.. Ila sasa kama kumbe ni tabia yake inabidi ajitathimini upya..
Kuna watu watasema anaonewa gere ila ni watu hao hao watakuwa wakwanza kumcheka siku akipotea..
Nakumbuka siku MDB alipokuwa anamtema kwa mara ya kwanza young dee akasema kinachomponza young dee ni kampani aliyo nayo! Na hiki pia kiko kwa darasa watu wanaomzunguka ni wa hovyo sana.. Kuwa na kipaji ni jambo moja but unahitaji uzungukwe na watu positive wenye kuona mbali..
Binafsi alinidissappoint juzi alivyopata ajali alafu anasema "hawatuwezi"!! Ni utoto wa hali ya juu..
Darasaa ni msanii mzuri but ana mambo mengi sana ya kuyarekebisha ili afike kule anakotaka..
na wewe tukuite nan kulazimishia picWeka ushahidi wa tupicha japo tuwili tutatu otherwise wewe ni Hater tu
Niite tu mzaramo inatosha.na wewe tukuite nan kulazimishia pic
Chuga hapa ugoro a.k.a kitu cha bibi a.ka ngusu G ni kawaida tu na hamna mtu dishi limeyumba kisa Ugoro.MMMM serious jamaa ana kula ogoro?
Jembe fm mwisho wake ni mwz mjini,,ungesema ndege amempa ushauri gani mkuu.Darassa CMG show ya kahama alilamba milioni 4 na laki tano, sasa kwa hizo charge sijui atafika wapi, show ya moshi kalamba milioni nne, ifikie hatua thamani yake ipande kama alivyoshauriwa na Brother ndege wa jembe ni jembe.