Darasa vs Harmorapa; Tuweke ushabiki pembeni

Darasa vs Harmorapa; Tuweke ushabiki pembeni

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Nani mkali kati ya hawa wawili, msanii chipukizi ( Harmorapa) na msanii mzoefu kwenye gemu LA muziki ( Darasa)

Karibuni kwa maoni
 
Kiboko ya mabishoo ametoa warning kwa wasanii wote watoe single zao harakaharaka muda huu kwasababu akiachia yake itazifuta nyimbo zao zote kwenye masikio ya mashabiki.
d8e533a39eafbe3e20b40d337c4de191.jpg
 
Nani mkali kati ya hawa wawili, msanii chipukizi ( Harmorapa) na msanii mzoefu kwenye gemu LA muziki ( Darasa)

Karibuni kwa maoni
oya mkuu mbona umemsakama darasa Leo Mara kaiba beat huyo dogo mwenyew alichoimba hakieleweki
 
Acha kutafuta umaarufu kupitia Darasa bibie.
 
Back
Top Bottom