mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,877
Nani aliesema diamond haguswi na nyimbo za wenzie? wengine humu mna comment bila hata kusikiliza kilichosema na mwenyewe darasa, msikilizeni mwenyewe ndo mpate cha kuongea, na wewe ulieleta uzi ulipaswa kuachia watu wa sikiliza sio kuweka bla bla zakoMimi nadhani music lazima umguse mtu mmoja au mwingine kwa namna moja au nyingine iwe kwakuelemisha au kuburudisha , hiyo ndio dhamira ya music aina zote duniani, hata music wa diamon (salome) utakuwa unamgusa mtu fulani kwa namna yoyote, hivyo basi wimbo wa Darassa kama unamgusa diamond kwa namna moja au nyingine binafsi sioni ajabu kwani diamond ni nani hadi asiguswe na waimbaji wenzake katika mashairi yao…?