Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Baada ya Wimbo wa Muziki kukonga mashabiki wengi hapa nchini, mashabiki wa muziki nchini Kenya wametoa kilio chao na kuomba Darassa akafanye show nchini mwao.
Msanii wa muziki nchini Kenya maarufu kama Nyota Ndogo akizungumzia ishu hii amesema amekuwa akipata wakati mgumu kutoka kwa mashabiki nchini humo pindi anapokuwa akifanya show zake mbali mbali, wengi wa washabiki wakitaka uchezwe kwanza wimbo wa Darassa kabla ya show kuanza au wakimsimamisha katikati ya show ili upigwe wimbo wa Darassa kwanza ndio show iendelee.
Nyota ndogo amesema juzi alikuwa na show mjini Malindi, mashabiki walimstopisha alipokuwa anamaliza show yake na kumtaka DJ acheze wimbo wa Darassa huku wakimlazimisha Nyota Ndogo acheze wimbo huo.
"darassacmg plz kuna pesa zako kenya zinakungoja.this was my show in malindi.nimemaliza kupiga show mashabiki wanamuomba dj acheze nyimbo yako na mimi ni dance.
Nipo na video yani mimi ni dance.kimbia huku mara moja kabla nyimbo haijaisha ufanye tour unamashabiki sio tz pekeake.do it now."
Wengi wa mashabiki mitandaoni nchini Kenya wamekuwa wakiwalilia ma-promoter nchini humo wamlete Darassa na kuna tetesi mipango imekwishaanza kufanyika nchini humo.
Msanii wa muziki nchini Kenya maarufu kama Nyota Ndogo akizungumzia ishu hii amesema amekuwa akipata wakati mgumu kutoka kwa mashabiki nchini humo pindi anapokuwa akifanya show zake mbali mbali, wengi wa washabiki wakitaka uchezwe kwanza wimbo wa Darassa kabla ya show kuanza au wakimsimamisha katikati ya show ili upigwe wimbo wa Darassa kwanza ndio show iendelee.
Nyota ndogo amesema juzi alikuwa na show mjini Malindi, mashabiki walimstopisha alipokuwa anamaliza show yake na kumtaka DJ acheze wimbo wa Darassa huku wakimlazimisha Nyota Ndogo acheze wimbo huo.
"darassacmg plz kuna pesa zako kenya zinakungoja.this was my show in malindi.nimemaliza kupiga show mashabiki wanamuomba dj acheze nyimbo yako na mimi ni dance.
Nipo na video yani mimi ni dance.kimbia huku mara moja kabla nyimbo haijaisha ufanye tour unamashabiki sio tz pekeake.do it now."
Wengi wa mashabiki mitandaoni nchini Kenya wamekuwa wakiwalilia ma-promoter nchini humo wamlete Darassa na kuna tetesi mipango imekwishaanza kufanyika nchini humo.