Daresalaam Ina Eneo Kubwa Kushinda New York

Daresalaam Ina Eneo Kubwa Kushinda New York

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Hamjamboni wana JF

Ningependa kuwasilisha mada;

Dar es salaam yaani Bongo ina eneo kubwa zaidi ya New York.

Eneo la mraba la dar es salaam ni km za mraba 1590.5 huku ukubwa wa New York ni kilomita za mraba 790.

Huko dar es salam estimation ya population ya dar es salaam ikiwa ni 4,360,000 huko New York ikiwa ni 8,550,405

Kwa hivyo, basi dar es salaam ipo na akiba kubwa ya eneo na haijawa na density kubwa ya watu ukilinganisha na New York.

Uwezekano wa kuuendeleza na kuwa modern city ni mkubwa sana ukilinganisha na New York

Halafu jambo jingine la muhimu kuelewa. Sasa hivi Tanzania ipo na mpango kabambe wa kuhamishia shughuli zote za serikali Dodoma na tayari office ya waziri mkuu imeshahamia.

Sasa basi kuhamia Dodoma kutaifanya Dar es salaam iwe na nafasi kubwa na kubaki mji wa kibiashara Dunia Nzima

Hayo maoni yangu.

Vipi ndugu zangu wa New York mnasemaje?
 
MAONO yako hayana budi kuheshimika.Swali..je ni sisi tutakayeweza kutekeleza hayo MAONO..????Hebu tusubiri waje wapinge halafu waunge mkono.
 
Tatizo wakenya mmevurugwa. Nimeanzisha uzi kuhusu Nairobi na Dar es salaam. Wewe unaleta vitu viwili tofauti.
1. Kunavigezo vya kiuchumi lazima uzingatie. Kwamba Nairobi na Dar es salaam hazitofautuani sana ki uchumi.
2. Lazima uangalia mambo ya race. Kwamba Nairobi na Dar es salaam zinakaliwa kwa % kubwa na waafrica wa east Africa weusi
3. Changamoto za mafuriko baada ya mvua zinaendana
4. Slums za Nairobi ni nyingi mno ukilinganisha na za dar es salaam. Wakati New York huenda slums hakuna kabisa
5. Watu Nairobi wanalala njaa kutokana na janga la njaa huku dar es salaam huwa kuna upungufu wa chakula kidogo sana. Wakati new york huenda mambo ya baa la njaa kwao sio issue.
6. Tayari new york imeshaendelea zama za kale. Huku Nairobi ikijikongoja na kujaza wauza pombe aina ya chang'aa katikati ya jiji

Lazima uwe na comparable reasons sio kukurupuka tu ili ujifurahishe.
 
Tatizo wakenya mmevurugwa. Nimeanzisha uzi kuhusu Nairobi na Dar es salaam. Wewe unaleta vitu viwili tofauti.
1. Kunavigezo vya kiuchumi lazima uzingatie. Kwamba Nairobi na Dar es salaam hazitofautuani sana ki uchumi.
2. Lazima uangalia mambo ya race. Kwamba Nairobi na Dar es salaam zinakaliwa kwa % kubwa na waafrica wa east Africa weusi
3. Changamoto za mafuriko baada ya mvua zinaendana
4. Slums za Nairobi ni nyingi mno ukilinganisha na za dar es salaam. Wakati New York huenda slums hakuna kabisa
5. Watu Nairobi wanalala njaa kutokana na janga la njaa huku dar es salaam huwa kuna upungufu wa chakula kidogo sana. Wakati new york huenda mambo ya baa la njaa kwao sio issue.
6. Tayari new york imeshaendelea zama za kale. Huku Nairobi ikijikongoja na kujaza wauza pombe aina ya chang'aa katikati ya jiji

Lazima uwe na comparable reasons sio kukurupuka tu ili ujifurahishe.
Wewe muongo kwelikweli.....lakini ni maoni yako.
 
Pwahahaa....My dick is bigger than yours.
 
Sijui tatizo ni lipi. Nimeleta mada, tafazali tujadiliane. Tusiwe na matusi.
 
Dar yenyewe wamekurupuka wanaihama wakienda Dodoma. Itabaki majengo makubwa tupu.
 
Dar yenyewe wamekurupuka wanaihama wakienda Dodoma. Itabaki majengo makubwa tupu.
Kwa mara ya kwanza Afrika mashariki kutakuwa na nchi iliyo na makao makuu tofauti na makao makuu ya biashara. (1-0)
 
Kwa mara ya kwanza Afrika mashariki kutakuwa na nchi iliyo na makao makuu tofauti na makao makuu ya biashara. (1-0)
Kwani si tayari mna makao makuu Dodoma. Sasa kinawafanya ghafla mkurupuke na kutaka kuhamisha kila kitu ndani ya miaka mitano.
Mbona msiwe na mikakati ya muda mfupi na mrefu.
 
Kwani si tayari mna makao makuu Dodoma. Sasa kinawafanya ghafla mkurupuke na kutaka kuhamisha kila kitu ndani ya miaka mitano.
Mbona msiwe na mikakati ya muda mfupi na mrefu.

Usijifanye huju hili swala ngoja nikukumbushe basi, makao makuu yalishawekwa Dodoma, lakini zoezi halikukamilika kwa wakati uliopangwa. JPM anataka kumaliza kazi, oh .....na Arusha utakuwa mji wa kitalii zaidi na mahakama za kimataifa, watu wakifanya mbaya kwenye uchaguzi, tunawatundika msalabani hapo hapo Arusha.
 
Kwani si tayari mna makao makuu Dodoma. Sasa kinawafanya ghafla mkurupuke na kutaka kuhamisha kila kitu ndani ya miaka mitano.
Mbona msiwe na mikakati ya muda mfupi na mrefu.
Mpango wa kuhamia Dodoma ni Tangu 1975
Ndio maana:-
1. Jengo la Bunge lipo Dodoma
2. Hosptal Kubwa ya Benjamin Mkapa ipo Dodoma
3. Ndio maana chuo kikubwa kikuu cha UDOM kipo dodoma
4. Makao makuu ya CCM yapo dodoma.

Na vitu vingine vingi tu. Vimeenza kujengwa mda mrefu.
Kwa sababu wewe ni mvivu wa kusoma na ufinyu wa mawazo ndio maana unaona jambo hili ni la sasa.
 
Ili Dar es salaam iwe na nafasi ingebidi kuwe na magorofa marefu mengi,kuliko ilivyo sasa ambapo kila mtu amajenga nyumba yake na hivyo kusababisha mji kuonekana umejaa licha ya kuwa na km za mraba nyingi.
 
New York ni mji ambao tayari ushafika limit yake. Dar lwa chini ya miaka mia moja za magufuli itakua imeendelea kushinda new york
 
now tanzanians are comparing dar to new york? good for you tanzanians

i will appreciate the arrogance but will laugh at the ignorance.
 
Hahaa hapo dar hamna kitu wanakula pweza, alaf wanawaza kupasuana msamba aka kinyeo. Eboo!!
 
upload_2016-11-15_11-0-36.png
 
Back
Top Bottom