Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Omera wa Makongo na Simba?Yeah nilikuwepo darhotwire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omera wa Makongo na Simba?Yeah nilikuwepo darhotwire
Huwezi kuzungumzia Darhotwire ukaacha kuzungumzia Nakiete Mwenge au ITV, Ile ya ITV kulikuwana Shule ya MOA. MOA kulikuwa na Masista duu kwelikweli.
Nilikuwa huko Kwa ID hii hii...Haha nilikuwaga naingia huko zamani sana
Mimi nilikuwa natembelea kama guestNilikuwa huko Kwa ID hii hii...
Mwaga ID iliyokuwa unaitumiaHahahaha, mtandao wa kitambo sana huu,nilikua na account huko
Ahahahahahaaaa kisa nini!??Mimi nilikuwa natembelea kama guest
Sikuwahi kupenda kujiungaAhahahahahaaaa kisa nini!??
Umri wako sio sawa kujua hayoHii ndio inaitwa sio lazima kuelewa kila kitu
Watu wanajadili kwa kuenjoy mie sielewi kitu
Umri wako sio sawa kujua hayo
Wewe ni under 30 hizi habari huwez kuzijua ulikuwa kindaKwani nina miaka mingapi?[emoji28][emoji28]