Dark days 17/03/20...

Ndugu yoga katika hizo Secret and untraceable Meeting in secret room wewe hua upo wapi lakini. Kwa sterling upo na kwa jambazi mkuu upo.

Sikuwahi kujua kama kuna wanadamu wanasifa ya Omnipresent kama Oxygen
View attachment 2211591
Picha ya Yoga aliyoweka kwenye avatar yake ni kama kumchekea mtu huku moyoni ukijisemea laiti ungejua mipango niliyopanga dhidi yako na ninavyokuhadaa nyuma ya pazia usingeniamini kiasi hiki na kunichekea.
 
nyboma hapo umedanganya km unamjua mmojawapo wa hao si ungemtaja hata kwa codes
Mzee alikua CEO 19'' na anazidi 95 na ndiye UNKNOWN sasa Tanzanite ni nani?
sasa Tanzanite malizia hapo au tukutafunie tena maana umesema tutumie akili
“Karibu mzee! Naona umenitafuta sana!

Yes mwanangu nimekutafuta, and without kupoteza muda Kuna mambo very sensitive nahitaji tuyazungumze! Na hayo nayazungumza kama mimi sio cheo ulichonipa! “

Okey! Nambie!

Ukwaju
ukisoma between the line mzee anajulikana ama ukipenda muite Captain G.M…
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakuache bana aaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mistari mitatu ya mwisho [emoji419][emoji419][emoji419]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…