Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Ndugu yoga katika hizo Secret and untraceable Meeting in secret room wewe hua upo wapi lakini. Kwa sterling upo na kwa jambazi mkuu upo.

Sikuwahi kujua kama kuna wanadamu wanasifa ya Omnipresent kama Oxygen
View attachment 2211591
Picha ya Yoga aliyoweka kwenye avatar yake ni kama kumchekea mtu huku moyoni ukijisemea laiti ungejua mipango niliyopanga dhidi yako na ninavyokuhadaa nyuma ya pazia usingeniamini kiasi hiki na kunichekea.
 
nyboma hapo umedanganya km unamjua mmojawapo wa hao si ungemtaja hata kwa codes
Mzee alikua CEO 19'' na anazidi 95 na ndiye UNKNOWN sasa Tanzanite ni nani?
sasa Tanzanite malizia hapo au tukutafunie tena maana umesema tutumie akili
“Karibu mzee! Naona umenitafuta sana!

Yes mwanangu nimekutafuta, and without kupoteza muda Kuna mambo very sensitive nahitaji tuyazungumze! Na hayo nayazungumza kama mimi sio cheo ulichonipa! “

Okey! Nambie!

Ukwaju
ukisoma between the line mzee anajulikana ama ukipenda muite Captain G.M…
 
Umenigoogle jamani!! [emoji38][emoji38][emoji38] Situlikubaliana hii nistory lakini au?[emoji16][emoji16][emoji16] Kwani zile muvi za end of the world au tsunami kamera man mbona anakuwaga kilansehem jamani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakuache bana aaaah
 
Unadhani kuna mtu alikamatwa kimakosa!!!

Hayo matuhumiwa yote yalikuwa na kesi ya kujibu,fikiria yule jamaa na mkewe wa madawa ya kulevya nao nje,kisha watakuja hapa kusema walionewa[emoji16][emoji16].

Jpm alijua kula sahani moja na hawa wajinga wajinga,amekufa ila bado hawaamini kama amekufa,wanatapika mimba alizowapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hongera kwa kuliona hilo..

Kwanza alipitiliza kila kitu akitaka kwanza yeye aone maslai yakoje na kuwa mkali sana asisemwe hapa umekosea.

Natolea mfano wa wazi.. Late CEO aliondoa clearing/forwarding companies nyingi pale mjini kati. Lakini ikatengenezwa moja ionekane ndio inashughulisha na bandari ili eti mapato yaongezeke. Ile iliyotengenezwa ilikuwa ya kwakwe binafsi ila kwa jicho la nje inaonekana kwa mfumo wa taasisi kampuni. Kitendo hiki kiliaribu ajira za watu kama 5,000. Wengi walikuwa wanajishikisha hapo mjini na hakosi hata msimbazi kwa siku.. Kwa kazi hizo na zilikuwa halali.

Kuna mazuri mengi amefanya late CEO na pia kama binadamu kuna mabaya machache aliyafanya. Lakini ukiweka kwenye mizani Mazuri mengi aliyoyafanya yanafunikwa kwa mabaya machache aliyotenda
Mistari mitatu ya mwisho [emoji419][emoji419][emoji419]
 
Mwalimu again....
Hivi ni lazima kila Mwalimu awe mjinga? Kila binadamu atakufa, uwe unataka au hutaki

Mhh,wewe bwege mbona unanifuatafuata hivo???!!!
Niogope kucoment kwa ajili yako!!

Mi namkubali Sana muhusika huyu Mr Born Town hivyo sitaki uhusika wake katika simulizi hii uishie njiani.Nampenda namna anavyoicheza mipango yake kwa akili kubwa,Sasa wewe unasema kila mtu lazima afe kwani wewe ndiyo mtunzi wa hadithi hii?

Ulivyo bwege umenijibu UKIWA NJE YA SIMULIZI🤣🤣,HII NI HADITHI tu we PWAGUZI,hakuna uhalisia hapo
 
Back
Top Bottom