Awe na misheni gan? Si alipashwa live kuwa aache kidomo domo, hakna kampuni ya mpito? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Wakuu Late CEO alipokata moto kuna tetesi nilisikia kuwa huyu Past Meridian (PM) hakuridhika kabisa kuongozwa na madam ! Vipi nae ana misheni gani kuhusu Maza??
Hatareeeeh sana.NASIKIA alianza kuimba uongozi wa kampuni wa mpito kule mkutanoni!!walishajipanga ki vyao kuhusu new CEO a re sign Ili ateuliwe Mwingine Kuwa vice CEO Ili awe CEO!!Mpango ulifeli coz new CEO alikuwa anajua kinachoendelea!!!Sasa pm hana meno kafunikwa na Hata hafurahii anajikausha tu asitemeshwe ugali!!japo ki protocol si dhani kama atasavaivu huko MBELENI coz alihusika na kutaka kufanya uhaini na pesa iliibwa na kuwekwa akaunti yake akisaidiana na aliekuwa KK .BAk!! TUSUBIRI de'levis anayajua hayo!!! Anaweza kujitosa 2025 KWA nembo NYINGINE kama election itakuwepo coz Duru za humu jamvini zinaonyesha election unaweza isiwepo Hadi kitabu kitapokamilika!!!
Wee sikuinyaka hio masikini amepoa mnoo!!Awe na misheni gan? Si alipashwa live kuwa aache kidomo domo, hakna kampuni ya mpito? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Heheheheh pambeeeeeh.
Huyo na yule wa Iringa wanajipanga kivyao, wanataka 2025 wawe na jambo lao.Yani amepoa kweli kweli hasikiki kabisa!! Atulize boli tu aendelee kupata huo ugali anaoupata !!
Nenda kule tayari nafuta soonHuyo na yule wa Iringa wanajipanga kivyao, wanataka 2025 wawe na jambo lao.
Kheeeeh we huyu new CEO siku ya kwanza kuhutubia wafuasi wake, baada ya Sabufa ya mwanzo kuharibika ile masafa ya kanda ya kati, hukusikia povu na mipasho aliotoa?Wee sikuinyaka hio masikini amepoa mnoo!!
Mkuu we ulitaka ajimilikishe vip wakati kila siku Jamaa anachota madiniBlack cat= PAKA a.k.a mtu mrefu..kama ndio huyu bas mkuu umeamua tu mumpa umuhimu..huyu hana lolote hana chochote...internal issue za pale kwake tu zinatosha kumfanya sleepless..sasa uthubutu huo wa ku plan kui subdue nchi yote hii anautoa wapi wakat hapo congo tu kajimbo kamoja tu kujimegea kamemshinda licha ya support ya mabwana zake cia usa na france..yaan ki nchi disorganized kama drc kadunda kujimilikisha as per plan ndio aje atu mudu tz...will never happen ever
Kwenye jina la Ziazia nimetoka kapa aiseeKwa code zote nishajua wahusika.
Ila to be honest, hii nchi inachezewa hivi? Khaaaah.
Yaan mtu anachotaka n mwanae kuwa Rais bas, duuuuuh.
Hivi Mr Zizia ndy yupi wakuu??Hadithi ni nzuri
le madame nae hajambo kumbe!!! Mungu amtie nguvu mama kwakweli !!Kheeeeh we huyu new CEO siku ya kwanza kuhutubia wafuasi wake, baada ya Sabufa ya mwanzo kuharibika ile masafa ya kanda ya kati, hukusikia povu na mipasho aliotoa?
Mbna aliwapasha live watu, hakuwaonea hata aibu, na wengine akawachana live waendelee na mission zao za 2025, wakutane wakati wa vikaratasi na masanduku.
Mweeeeeh pambe tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Soma vizuri.Kwenye jina la Ziazia nimetoka kapa aisee
Wallah ile siku ndo nilijua kuwa nae yumo kwa uchambaji, mdomo alivyokua anabenua, vidole juu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]lol madame nae hajambo kumbe!!! Mungu amtie nguvu mama kwakweli !!
Wallah ile siku ndo nilijua kuwa nae yumo kwa uchambaji, mdomo alivyokua anabenua, vidole juu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Sio wa kispot spot mbona. Uwiiiiiih
Hatareee.hahahaaaa!
Dada cocastic usiwe hivyo niko serious sijamjua badoSoma vizuri.
Myemeni wa Tigo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada cocastic usiwe hivyo niko serious sijamjua bado
Asipoelewa hapa bas, akae pembeni tyuuh.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Roast tamu sana