Dark days 17/03/20...

Mzee ni mtu wa kusini na mwanayanga na tanzanite ni morani,bado ana hasira na smiling face!
 
Samurai unajitia woga tu hakuna kitu kama hicho.
 
Mkuu si ku puuzi!wahima wanaitaka Sana Hii nchi yenye rutuba Ili wapate malisho ya ng'ombe zao za inyambo!!!w hao plan zao Huwa za mbali sana na ni ngumu kuwaamini hata wakikupa maziwa chunguza kama ni maziwa kweli labda ni dip ya kuulia kupe!!!!
🤣🤣🤣conspiracy ya Bahima empire
 
😀🤣😀daah imebidi nicheke
 
Wallah ile siku ndo nilijua kuwa nae yumo kwa uchambaji, mdomo alivyokua anabenua, vidole juu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]

Sio wa kispot spot mbona. Uwiiiiiih
Hotuba zake sasa hivi nazisikiliza ili nione zamu ya nani kutupiwa dongo. Kuna mengine yanapenya mpaka unamuona mtu anatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
 
Wakuu Late CEO alipokata moto kuna tetesi nilisikia kuwa huyu Past Meridian (PM) hakuridhika kabisa kuongozwa na madam ! Vipi nae ana misheni gani kuhusu Maza??
Huyu dini ndo imembeba angekuwa ashaanza kulima matikiti long. Kwa sasa hana choice lazima akubali matokeo ila alikuwa mtiifu sana wa late CEO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…