Yoga hamalizi leo wala kesho. Hebu tuendelee tu
uko smart.umejibu vzrHaiwezekani, maana zile ni safe house. Hao wataoenda wataenda Kwa mamlaka ya Nani? Police wenyewe walikuwa wanamuhofia jamaa
Sikupingi, see u. Stay healthyHapana mkuu kwa leo tuishie hapa tutaendelea kesho…
Kila sehemu Ni kuchekacheka hatavisivyo visivyo chekeshaKinaudhi hicho kitoto,kujichekesha hovyo kila sehemu.
HV haoni kuwa Ana kera Sana kila Uzi hta ambao hauvhekeshi yey Kaz kucheka tu na mbaya Zaid Hana anachojuwa yey Wal kutoa mchango wa maan katk mada Kaz yake Ni kukenua tu mwanzo mwishoUnaudhi bana sometimes
Yaani anatibua mbaya mbovu na hajui lolote kajaza Uzi emoji za kucheka cheka mpuuz Sana ingekuta huku tunaweza kublokiana Kam fb bas ningembloku nisiweze kuona comment zake Wal Uzi wake
Niku ignore/kublock tu.HV haoni kuwa Ana kera Sana kila Uzi hta ambao hauvhekeshi yey Kaz kucheka tu na mbaya Zaid Hana anachojuwa yey Wal kutoa mchango wa maan katk mada Kaz yake Ni kukenua tu mwanzo mwisho
Tako Sana wee na huna ujualo upo upo kucheka tu shenzi type[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kheeeh kwan unadhan nipo kwa ajiri ya kukufurahisha wee? Hizo ni shida zako sio zangu.
Kunywa maji mengi na u relaaaaaax.
Ukimu ignore hutaziona chiefYaani anatibu mbaya mbovu na hajui lolote kaja Uzi emoji za kucheka cheka mpuuz Sana ingekuta huku tunaweza kublokian Kam fb bas ningembloku nisiweze kuona comment zake Wal Uzi wake
Kumbe inawezekana oky ngoja niifanyie Kaz mkuu ctaki kukutana nae kwa Uzi wowote mmUkimu ignore hutaziona chief
Sijui mkuuLile kundi la mkatoliki na stamina hivi bado lipo??
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Upo kazin.I just liked your gesture MISTER ; the narration is so magnificent.
Members, I think NOW is the time Atleast we should contribute something to our camarade: Nashauri kama hutojali utu PM your contact number for our great contribution.
Our Almighty Lord has been so good angalau the truth has been put in lies . Kindly PM your contact number so as to share our love and support.
Great narration my young brother ! Take care man.
😀😀😀😀😀😀I just liked your gesture MISTER ; the narration is so magnificent.
Members, I think NOW is the time Atleast we should contribute something to our camarade: Nashauri kama hutojali utu PM your contact number for our great contribution.
Our Almighty Lord has been so good angalau the truth has been put in lies . Kindly PM your contact number so as to share our love and support.
Great narration my young brother ! Take care man.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha yamekuchapa hasira unaleta kwangu,. Inahusu? Hizo sio shida zangu.Tako Sana wee na huna ujualo upo upo kucheka tu shenzi type
Kwan huu uzi ni wako? Wee mwenye uelewa mbna hukuleta uzi km huu? Tutolee stress zako za maisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa viumbe wa MMU sijui wameletwa na nani humu? Huyu Mahondaw na Cocastic...
Naona vinajibishana uharo tuu humu ndani.
Wana Lumumba mmeanza majaribu.I just liked your gesture MISTER ; the narration is so magnificent.
Members, I think NOW is the time Atleast we should contribute something to our camarade: Nashauri kama hutojali utu PM your contact number for our great contribution.
Our Almighty Lord has been so good angalau the truth has been put in lies . Kindly PM your contact number so as to share our love and support.
Great narration my young brother ! Take care man.
Bora uwaulize wee, [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah! Mbona mimi sivisikii hivyo vicheko? Au speaker za simu yangu zitakuwa mbovu nini!