NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
MkuuMsijipe umuhimu ambao hamna humu.
Kakudanganya huyo mkuu!Hapana KWA info anazonipa si wa kubeza!tena kuna vitu anasema havijasimuliwa vizuri!!anajua mkanda wote!
So anamaanisha kuna baadhi ya vitu havipo sahihi kwenye hii stori sio?Hapana KWA info anazonipa si wa kubeza!tena kuna vitu anasema havijasimuliwa vizuri!!anajua mkanda wote!
upumbavu ni suala pana,hata kichaa huona wenzie ndio vichaa.Siwezi kuvumilia upumbavu, mimi nimejiuliza tu kwanini wapumbavu ni wengi kiasi hiki, ila nimepata jibu wanaomkubali Jiwe ni watu kama wewe ambao pia mko wengi.
Kama kule yaliyokuwa mapori ya akiba sasa national parks kama vile Burigi kulikuwa ni machungio ya mifugo yao hadi wanyama pori wakahama, sasa hivi wanasema wameanza kurudi.Hao ni watumishi wa CAT.wana hasira na JK sio kwa sababu wanampenda jpm ila ni ile operation ya kanda ya ziwa.mpango wao wa kumega aridhi kule ulishtukiwa na jk akauzima hadi wa Leo wana visasi.Wanajaribu kuunda conspiracy ili wamnyakue jk,WATASHANGAZWA
Hapana KWA info anazonipa si wa kubeza!tena kuna vitu anasema havijasimuliwa vizuri!!anajua mkanda wote!
Mkoa wa kagera ulikua unaondoka.Kama kule yaliyokuwa mapori ya akiba sasa national parks kama vile Burigi kulikuwa ni machungio ya mifugo yao hadi wanyama pori wakahama, sasa hivi wanasema wameanza kurudi.
Walikuwa na ujasiri mkubwa sana kiasi kwamba mtu (mvamizi) alikuwa na uwezo wa kumpeleka mzawa mahakamani akidai anabughudhiwa kwenye ardhi yake.
Ile operation ilisaidia pakubwa maana kuna kipindi risasi zilikuwa zinapigwa mchana kweupee na siyo Watanzania, walikuwa untouchable.
Mtu anayehitaji kujua unyama uliokuwa ukifanyika kwenye mapori haya aulize wazawa wa mkoa wa Kagera na Kigoma kuna habari za kutisha na kusimumua kwa wakati huo huo.
So kwenye haya mambo hekima itumike ili tubaki na story yetu pendwa hapa Jamvini
umepotea sana ndugu [mention]yoga [/mention] majukumu ni mengi ila alosto ya hadithi hii nayo ni kubwa
Hao ndio chawa wa awamu ya 5.Bila shaka ulikuwa mtu wa karibu mno na JPM nimepitia baadhi ya michango yako bado ule uchungu wa kumpoteza JPM unakutesa boss
Hujui kuandika.Who care.
Mzoga wenu ulishafukiwa
CAT ndo Nani mkuu decode kidogo[emoji16]Hao ni watumishi wa CAT.wana hasira na JK sio kwa sababu wanampenda jpm ila ni ile operation ya kanda ya ziwa.mpango wao wa kumega aridhi kule ulishtukiwa na jk akauzima hadi wa Leo wana visasi.Wanajaribu kuunda conspiracy ili wamnyakue jk,WATASHANGAZWA
Kweli mzee hujakosea mpaka mtu ananunua shamba na kupiga marufuku wazawa wasiingize mifugo yao wala kilimo walikuwa wameshajipa uhakika.Mkoa wa kagera ulikua unaondoka.