It's too much. Tusigeuze hapa kijiwe cha soga na political myth. Kuna watu wanaongea na General duties wanafikiri wamepata dossiers za maana na kujaza uzi kwa comments.7seven anaharibu uzi
tupo utumwani...ukiwa mzalendo ukakata mianya ya mabeberu kupata mkate...unawakera wanakurudia wanakufanyia kweli...utumwa upoNajiuliza tu kwa sauti....hadi lini mtaendelea kuwaondoa manabii wenu wenyewe?
Kama hawa wenye kampuni wananisikia, uzalendo wao ungekuwepo wangeuonyesha kwenye kuwaondoa wanaohujumu uchumi wakishirikiana na mabeberu mchana kweupe; lakini kwa kumwondoa yule ambaye mnampakazia sasa ili kuji justify kwa uovu wenu mlioutenda, damu yake itawalilia mpaka vizazi vya 10 vya viuno vyenu.
However all things work together for good...It is well with My country!
Kama kampuni ingetekeleza haya, zamani hizi tabia zinfeshakufa...Lakini hao wa mishahara isiyotosha lakini wanajirundikia miposho na safari za kujazia kuliko ku solve matatizo ya nchi hawa mchwa hawa siku wakidhibitiwa nitawapa high five hawa wenye kampuni...Short of thata...Basi wao waendelee tu kujiita wazalendo..Wenye mtizamo wetu tunawatambua kwa mapana na marefu yao, na ipo siku tutafanikiwa tu kama siyo sisi tuonao tofauti kwa sasa basi vizazi vyetu...Watu wengi hawapendi kuishi kwenye mishahara yao utafikiri wakati wanaomba hizo kazi hawakujua watalipwaje.
Hawa ndio nimewazungumzia wanataka kutoka kwa mwaka 1 awe tayari anamiliki kila kitu.
Watafutwe wote hawa wapelekwe mahali wafundishwe Uzalendo wakiwa wamevaa sare, mpaka watoke huko watakuwa wamepata somo la kweli na maarifa ambayo watawapatia watoto wao ili wasije wakaiga matendo ya wazazi wao.
Siyo miungu wakumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha!tupo utumwani...ukiwa mzalendo ukakata mianya ya mabeberu kupata mkate...unawakera wanakurudia wanakufanyia kweli...utumwa upo
Imagine hiyo yao informal wanaibariki lakini walio formalize kwa faida ya nchi ndiyo wanaitwa wakatili...Wao siyo wakatili eti...Miafrica ndivyo tulivyo...Acha nimuige Nyaningabu kwenye hili!Kuna kitu wengi naona mnakikwepa either kwa bahati mbaya au kwa makusudi
Kwanza naakubaliana na mabaya yaliyofanywa na kikosi kazi kwa kuwa mm pia niliwahi kupata shida nao.
Lakini kabla ya kikosi kazi Cha jiwe, enzi za awamu ya nne TRA walikua hawachukui rushwa kwa watu? Walikua hawakaamati watu na kuwapeleka mahakamani?
Je sasa hivi awamu ya Samia, TRA hawachukui rushwa?
Ukiona mtu anasubiri kupata nafasi ndiyo aboreshe maisha yake, huyo wala siyo kiongozi bali ni mzigo kwa taifa. Maana wengi wa hao hawajui kuzalisha zaidi ya kutumia...Na ndiyo tulionao kwa wingi kwenye kampuni yetu...Mtu hata kupata basics zake ilikuwa shida mara akajifanya chawa kisha kapewa shavu anachojua nikwenda kukausha hazina tu na siyo kuiongezea ukubwaUmeongea ukweli.Mtu unamkuta eti Afisa misitu wakati kwake hana mti hata mmoja atajua umuhimu wa miti kweli huyu na kuitunza kwa upendo?
Viongozi wengi ni wachafu nenda ofisini kwake unakuta limeza lichafu, kuta zmechakaa, paa la nyumba limeachama, vioo vya madirisha vimepasuka ameweka kipazia uijue rangi yake mpaka upime DNA,kuta zina nyufa na ni mazalia ya popo, mitaro maji yamekuwa ya kijani lakini yeye yupo tu na kitambi chake anakula chapati na supu ya upupu eti sorry niko na majukumu ya taifa.
Unajiuliza wewe uliyefuata huduma hapo ninaweza kusubiri kwa muda gani mpaka amalize kabla sijatapika (samahani linaleta kinyaa) nisepe zangu niondokane na kadhia hii, yeye yupo miaka yote hapo. Siyo kwamba hana bajeti utakuta inatengwa lakini inapigwa. Na huyu ni mfanyakazi wa NHC,Wakala wa majengo n.k
Siyo wote lakini wengine wanajitahidi sana kama watu wa Afya(Hospitals, dispensary,),TAMISEMI mjirekebishe.
Hawezi kukubali kutoka ki vyovyote Yule..Sikupingi. Ninaposema hekima na busara ninamaanisha liangaliwe kwa ukubwa wake huko mbeleni haitaleta shida?
Hekima na busara, kwa mfano kwamba atoke kwenye system akae pembeni atulie na mambo yake tu bado haitoshi?
Hivi tukiishi kwa visasi Kampuni yetu itakuwa ya namna gani huko mbeleni.Kwani hakuna sheria ambazo zinaweza kutumika kwa kuwajibishana?
Wapotezee nzi wanajaa.Kwanini ndg? Nilikuwa ninatoa mawazo yangu. Sasa hivi naacha kuandika.
Hilo.neno zima mkuu...Ni kweli wengi hawakukubaliana na siasa za jiwe, lakini naona inatumika kama excuse ya kupaka rangi mabaya aliyowahi kufanya born town.
Jiwe alifanya mengi ya ajabu hadharani, lakini hayawezi kufuta pia mabaya aliyowahi kufanya na pengine anayofanya born town. Na hapo ndio naona kuna nyuki born town wanaingia na kutumia hiyo excuse
Kwenye Nini alimzid kete? Bei gani?Aliyemzulumu jiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa kila nikikumbuka hili nacheka
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Hawezi kukubali kutoka ki vyovyote Yule..
Ni kumfuta tu ...ghafla ili kuua mpaka chawa na mazalia yake...
Nakwambia kweli..Mobutu anakuja huyo..
Nimeshangaa maana alieyeleta Uzi hakusema msicomment chochote. [emoji846]Wapotezee nzi wanajaa.
Unamuonea bure late CEO, hawa watu kutoka kwa PAKA wapo miaka mingi hapa nchini tokea enzi za uhuru, na wengi wao walikuwa majeshini,serikalini ,vyuoni na hata huyo `born town anawajua sana na hata kwenye utawala wake walikuwepo, na mmoja wapo alikuwa msemaji wa jengo jeupe karibu na soko la samaki enzi za Born town, na hadi sasa tunao ndio hawa wanajifanya wataka katiba ,hawa walikuwa wanamiliki magazeti na hadi sasa wana gazeti lao la kufungia utumbo, huyu amewahi kuwa mtu mzito na kuwa meneja kampeni wa marehemu mzee Ole wa Lupaso Koplo Dunia. Born town ndiyo aliyoyataka baada ya kuwaondoa wenzake ili abaki yeye kama Don. Marehemu Ole aliawanyamazisha akina Koplo Dunia sasa wameanza tena kubweka, mtu hasahau kwao hata kama hajazaliwa kwao.Mistake iliyofanyika tena kubwa ni kuruhusu paka kuwa na intruders kwenye kampuni, the late ceo alizingua sana kuleta mamluki na kuruhusu paka kuwa na access na kampuni.
Sioni the new ceo akiwa na intelijensia ya kumlaza chini Mr born town, hata kwa msaada wa paka itakuwa ngumu sana
Mr born town alimlaza ceo wa lupaso, then akasafisha safu nzima ya juu ya the late ceo, hashindwi kumlaza the new ceo.
Ila sikuwahi kuwaza kuwa the new ce anawaza kumsepesha Mr born town, mbona sioni walipokosana!
Mkuu, hii code ya koplo dunia imenifanya nicheke. Nilirudia twice ndio nikaelewa vizuri.Unamuonea bure late CEO, hawa watu kutoka kwa PAKA wapo miaka mingi hapa nchini tokea enzi za uhuru, na wengi wao walikuwa majeshini,serikalini ,vyuoni na hata huyo `born town anawajua sana na hata kwenye utawala wake walikuwepo, na mmoja wapo alikuwa msemaji wa jengo jeupe karibu na soko la samaki enzi za Born town, na hadi sasa tunao ndio hawa wanajifanya wataka katiba ,hawa walikuwa wanamiliki magazeti na hadi sasa wana gazeti lao la kufungia utumbo, huyu amewahi kuwa mtu mzito na kuwa meneja kampeni wa marehemu mzee Ole wa Lupaso Koplo Dunia. Born town ndiyo aliyoyataka baada ya kuwaondoa wenzake ili abaki yeye kama Don. Marehemu Ole aliawanyamazisha akina Koplo Dunia sasa wameanza tena kubweka, mtu hasahau kwao hata kama hajazaliwa kwao.
Wanazingua mnoo. Wanajifanya usafi wakati makwao pa hovyom always watatafuta hata sababu ya vumbi kidogo tu. Yaan always.Umeongea ukweli.Mtu unamkuta eti Afisa misitu wakati kwake hana mti hata mmoja atajua umuhimu wa miti kweli huyu na kuitunza kwa upendo?
Viongozi wengi ni wachafu nenda ofisini kwake unakuta limeza lichafu, kuta zmechakaa, paa la nyumba limeachama, vioo vya madirisha vimepasuka ameweka kipazia uijue rangi yake mpaka upime DNA,kuta zina nyufa na ni mazalia ya popo, mitaro maji yamekuwa ya kijani lakini yeye yupo tu na kitambi chake anakula chapati na supu ya upupu eti sorry niko na majukumu ya taifa.
Unajiuliza wewe uliyefuata huduma hapo ninaweza kusubiri kwa muda gani mpaka amalize kabla sijatapika (samahani linaleta kinyaa) nisepe zangu niondokane na kadhia hii, yeye yupo miaka yote hapo. Siyo kwamba hana bajeti utakuta inatengwa lakini inapigwa. Na huyu ni mfanyakazi wa NHC,Wakala wa majengo n.k
Siyo wote lakini wengine wanajitahidi sana kama watu wa Afya(Hospitals, dispensary,),TAMISEMI mjirekebishe.
[emoji23][emoji23][emoji23] hii mazafaka umenikumbusha shuleni advance. Tulikuaga tunavaa allstars sports day na vest nyeusi za spider na hizo shorts. Hizo allstars tulikua tunaziitaga mazafaka. That time shule ilikua ya girls tupu. Hapa katikati wamekuja jenga na ya boys. Sasa sijui kama wataendelea jifanya tomboys na mazafaka zao[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mazafaka kabisa
Hivi jamani hili jambo titalisort vipi. Mbaya zaidi hii mizizi ccm waliyoikita daahUkiona mtu anasubiri kupata nafasi ndiyo aboreshe maisha yake, huyo wala siyo kiongozi bali ni mzigo kwa taifa. Maana wengi wa hao hawajui kuzalisha zaidi ya kutumia...Na ndiyo tulionao kwa wingi kwenye kampuni yetu...Mtu hata kupata basics zake ilikuwa shida mara akajifanya chawa kisha kapewa shavu anachojua nikwenda kukausha hazina tu na siyo kuiongezea ukubwa