Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

7seven anaharibu uzi
It's too much. Tusigeuze hapa kijiwe cha soga na political myth. Kuna watu wanaongea na General duties wanafikiri wamepata dossiers za maana na kujaza uzi kwa comments.

Kama huna la msingi sana tusubiri mtoa mada aendelee. Tuachane na soga za vijiwe vya kahawa, mnafanya wanajf wote tuonekane tunaungaunga tu.
 
Najiuliza tu kwa sauti....hadi lini mtaendelea kuwaondoa manabii wenu wenyewe?

Kama hawa wenye kampuni wananisikia, uzalendo wao ungekuwepo wangeuonyesha kwenye kuwaondoa wanaohujumu uchumi wakishirikiana na mabeberu mchana kweupe; lakini kwa kumwondoa yule ambaye mnampakazia sasa ili kuji justify kwa uovu wenu mlioutenda, damu yake itawalilia mpaka vizazi vya 10 vya viuno vyenu.

However all things work together for good...It is well with My country!
tupo utumwani...ukiwa mzalendo ukakata mianya ya mabeberu kupata mkate...unawakera wanakurudia wanakufanyia kweli...utumwa upo
 
Watu wengi hawapendi kuishi kwenye mishahara yao utafikiri wakati wanaomba hizo kazi hawakujua watalipwaje.

Hawa ndio nimewazungumzia wanataka kutoka kwa mwaka 1 awe tayari anamiliki kila kitu.

Watafutwe wote hawa wapelekwe mahali wafundishwe Uzalendo wakiwa wamevaa sare, mpaka watoke huko watakuwa wamepata somo la kweli na maarifa ambayo watawapatia watoto wao ili wasije wakaiga matendo ya wazazi wao.
Kama kampuni ingetekeleza haya, zamani hizi tabia zinfeshakufa...Lakini hao wa mishahara isiyotosha lakini wanajirundikia miposho na safari za kujazia kuliko ku solve matatizo ya nchi hawa mchwa hawa siku wakidhibitiwa nitawapa high five hawa wenye kampuni...Short of thata...Basi wao waendelee tu kujiita wazalendo..Wenye mtizamo wetu tunawatambua kwa mapana na marefu yao, na ipo siku tutafanikiwa tu kama siyo sisi tuonao tofauti kwa sasa basi vizazi vyetu...
 
Kuna kitu wengi naona mnakikwepa either kwa bahati mbaya au kwa makusudi
Kwanza naakubaliana na mabaya yaliyofanywa na kikosi kazi kwa kuwa mm pia niliwahi kupata shida nao.
Lakini kabla ya kikosi kazi Cha jiwe, enzi za awamu ya nne TRA walikua hawachukui rushwa kwa watu? Walikua hawakaamati watu na kuwapeleka mahakamani?
Je sasa hivi awamu ya Samia, TRA hawachukui rushwa?
Imagine hiyo yao informal wanaibariki lakini walio formalize kwa faida ya nchi ndiyo wanaitwa wakatili...Wao siyo wakatili eti...Miafrica ndivyo tulivyo...Acha nimuige Nyaningabu kwenye hili!
 
Umeongea ukweli.Mtu unamkuta eti Afisa misitu wakati kwake hana mti hata mmoja atajua umuhimu wa miti kweli huyu na kuitunza kwa upendo?

Viongozi wengi ni wachafu nenda ofisini kwake unakuta limeza lichafu, kuta zmechakaa, paa la nyumba limeachama, vioo vya madirisha vimepasuka ameweka kipazia uijue rangi yake mpaka upime DNA,kuta zina nyufa na ni mazalia ya popo, mitaro maji yamekuwa ya kijani lakini yeye yupo tu na kitambi chake anakula chapati na supu ya upupu eti sorry niko na majukumu ya taifa.

Unajiuliza wewe uliyefuata huduma hapo ninaweza kusubiri kwa muda gani mpaka amalize kabla sijatapika (samahani linaleta kinyaa) nisepe zangu niondokane na kadhia hii, yeye yupo miaka yote hapo. Siyo kwamba hana bajeti utakuta inatengwa lakini inapigwa. Na huyu ni mfanyakazi wa NHC,Wakala wa majengo n.k

Siyo wote lakini wengine wanajitahidi sana kama watu wa Afya(Hospitals, dispensary,),TAMISEMI mjirekebishe.
Ukiona mtu anasubiri kupata nafasi ndiyo aboreshe maisha yake, huyo wala siyo kiongozi bali ni mzigo kwa taifa. Maana wengi wa hao hawajui kuzalisha zaidi ya kutumia...Na ndiyo tulionao kwa wingi kwenye kampuni yetu...Mtu hata kupata basics zake ilikuwa shida mara akajifanya chawa kisha kapewa shavu anachojua nikwenda kukausha hazina tu na siyo kuiongezea ukubwa
 
Sikupingi. Ninaposema hekima na busara ninamaanisha liangaliwe kwa ukubwa wake huko mbeleni haitaleta shida?

Hekima na busara, kwa mfano kwamba atoke kwenye system akae pembeni atulie na mambo yake tu bado haitoshi?

Hivi tukiishi kwa visasi Kampuni yetu itakuwa ya namna gani huko mbeleni.Kwani hakuna sheria ambazo zinaweza kutumika kwa kuwajibishana?
Hawezi kukubali kutoka ki vyovyote Yule..

Ni kumfuta tu ...ghafla ili kuua mpaka chawa na mazalia yake...

Nakwambia kweli..Mobutu anakuja huyo..
 
Ni kweli wengi hawakukubaliana na siasa za jiwe, lakini naona inatumika kama excuse ya kupaka rangi mabaya aliyowahi kufanya born town.
Jiwe alifanya mengi ya ajabu hadharani, lakini hayawezi kufuta pia mabaya aliyowahi kufanya na pengine anayofanya born town. Na hapo ndio naona kuna nyuki born town wanaingia na kutumia hiyo excuse
Hilo.neno zima mkuu...

Mimi pia sipendelei ayawe..lakini Kama aliona Ni vyema wakukurupuka atangulie ili kuondoa adha zake ambazo naamini nyingi alifanya kwa kupangiwa ili kukinusuru kile Cha mwenyekiti..basi na yeye aende ...maana Ni mbaya pengine Kama late sema anajua namna ya kuicheza michezo.. kapoteza wengi pia kimya kimya
Na mbaya zaidi kaanza kutaka kujimilikisha kampuni.. ..unajua huko mbele atatufa ya nini huyu?!
 
Mistake iliyofanyika tena kubwa ni kuruhusu paka kuwa na intruders kwenye kampuni, the late ceo alizingua sana kuleta mamluki na kuruhusu paka kuwa na access na kampuni.

Sioni the new ceo akiwa na intelijensia ya kumlaza chini Mr born town, hata kwa msaada wa paka itakuwa ngumu sana


Mr born town alimlaza ceo wa lupaso, then akasafisha safu nzima ya juu ya the late ceo, hashindwi kumlaza the new ceo.

Ila sikuwahi kuwaza kuwa the new ce anawaza kumsepesha Mr born town, mbona sioni walipokosana!
Unamuonea bure late CEO, hawa watu kutoka kwa PAKA wapo miaka mingi hapa nchini tokea enzi za uhuru, na wengi wao walikuwa majeshini,serikalini ,vyuoni na hata huyo `born town anawajua sana na hata kwenye utawala wake walikuwepo, na mmoja wapo alikuwa msemaji wa jengo jeupe karibu na soko la samaki enzi za Born town, na hadi sasa tunao ndio hawa wanajifanya wataka katiba ,hawa walikuwa wanamiliki magazeti na hadi sasa wana gazeti lao la kufungia utumbo, huyu amewahi kuwa mtu mzito na kuwa meneja kampeni wa marehemu mzee Ole wa Lupaso Koplo Dunia. Born town ndiyo aliyoyataka baada ya kuwaondoa wenzake ili abaki yeye kama Don. Marehemu Ole aliawanyamazisha akina Koplo Dunia sasa wameanza tena kubweka, mtu hasahau kwao hata kama hajazaliwa kwao.
 
Unamuonea bure late CEO, hawa watu kutoka kwa PAKA wapo miaka mingi hapa nchini tokea enzi za uhuru, na wengi wao walikuwa majeshini,serikalini ,vyuoni na hata huyo `born town anawajua sana na hata kwenye utawala wake walikuwepo, na mmoja wapo alikuwa msemaji wa jengo jeupe karibu na soko la samaki enzi za Born town, na hadi sasa tunao ndio hawa wanajifanya wataka katiba ,hawa walikuwa wanamiliki magazeti na hadi sasa wana gazeti lao la kufungia utumbo, huyu amewahi kuwa mtu mzito na kuwa meneja kampeni wa marehemu mzee Ole wa Lupaso Koplo Dunia. Born town ndiyo aliyoyataka baada ya kuwaondoa wenzake ili abaki yeye kama Don. Marehemu Ole aliawanyamazisha akina Koplo Dunia sasa wameanza tena kubweka, mtu hasahau kwao hata kama hajazaliwa kwao.
Mkuu, hii code ya koplo dunia imenifanya nicheke. Nilirudia twice ndio nikaelewa vizuri.

Hawa kutoka kwa paka walikuja zama za machafuko ya kimbari sio?
 
Umeongea ukweli.Mtu unamkuta eti Afisa misitu wakati kwake hana mti hata mmoja atajua umuhimu wa miti kweli huyu na kuitunza kwa upendo?

Viongozi wengi ni wachafu nenda ofisini kwake unakuta limeza lichafu, kuta zmechakaa, paa la nyumba limeachama, vioo vya madirisha vimepasuka ameweka kipazia uijue rangi yake mpaka upime DNA,kuta zina nyufa na ni mazalia ya popo, mitaro maji yamekuwa ya kijani lakini yeye yupo tu na kitambi chake anakula chapati na supu ya upupu eti sorry niko na majukumu ya taifa.

Unajiuliza wewe uliyefuata huduma hapo ninaweza kusubiri kwa muda gani mpaka amalize kabla sijatapika (samahani linaleta kinyaa) nisepe zangu niondokane na kadhia hii, yeye yupo miaka yote hapo. Siyo kwamba hana bajeti utakuta inatengwa lakini inapigwa. Na huyu ni mfanyakazi wa NHC,Wakala wa majengo n.k

Siyo wote lakini wengine wanajitahidi sana kama watu wa Afya(Hospitals, dispensary,),TAMISEMI mjirekebishe.
Wanazingua mnoo. Wanajifanya usafi wakati makwao pa hovyom always watatafuta hata sababu ya vumbi kidogo tu. Yaan always.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mazafaka kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] hii mazafaka umenikumbusha shuleni advance. Tulikuaga tunavaa allstars sports day na vest nyeusi za spider na hizo shorts. Hizo allstars tulikua tunaziitaga mazafaka. That time shule ilikua ya girls tupu. Hapa katikati wamekuja jenga na ya boys. Sasa sijui kama wataendelea jifanya tomboys na mazafaka zao[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mtu anasubiri kupata nafasi ndiyo aboreshe maisha yake, huyo wala siyo kiongozi bali ni mzigo kwa taifa. Maana wengi wa hao hawajui kuzalisha zaidi ya kutumia...Na ndiyo tulionao kwa wingi kwenye kampuni yetu...Mtu hata kupata basics zake ilikuwa shida mara akajifanya chawa kisha kapewa shavu anachojua nikwenda kukausha hazina tu na siyo kuiongezea ukubwa
Hivi jamani hili jambo titalisort vipi. Mbaya zaidi hii mizizi ccm waliyoikita daah
Upinzani nao ndo nkaa tia maji tia maji. Huu uzalendo wa kweli utaoatikana wapi jamani? Kuendelea kuua sindo tutazidi kichochea visasi? Maana kila kundi lina watu wao. Sindo matabaka yanazidi?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom