Tatizo lake alikuwa materialist ndio hapa alianza kujichanganya, yeye alipenda vitu bila kuviwekea misingi ya utu na uwazi. Kwa mfano issue ya elimu bure alikurupuka maana nchi yetu bado ni changa haina financial supremacy kutoa free service. Leo ukienda kwenye shule zetu unalia, hali mbaya sana. Badala ya kuboresha elimu yeye alipenda sifa zaidi.
Kiongozi sio kujenga madaraja na kutunisha misuli. Kwenye dunia ya leo unadanganya watu kwa unaweletea maendeleo badala ya kuwajengea uwezo wajiendeleze wenyewe. Mzee alikuwa mtendaji ila hakuwa kiongozi mzuri