Dark days 17/03/20...

Duh....nimebahatika kusoma zaidi ya vitabu 15 hapo🙏🙏🙏
 
Pointi
 
Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Nimesoma hii passage umeweka codes nyingi ambazo umekuja kuzifungua fungua mbeleni.

Kibaya ni kwamba ujumbe mkubwa umeuficha kwenye elimination proccess ya CEO. Ingawa kwa uangalifu mkubwa sana umekwepa kuhusu uhusika wa bwana ngozi mwenye kijiwe chake kipya pale mji kasoro bahari.

Trust me, kuna yasiyojulikana yameanza kuvuja kwenye pakacha. Uhusika wa Born Town hauna shaka ila who is who ndo still coded until destined moment.
 
Ukipenda, waweza fananisha na hoteli ambayo gorofa yake ya juu kabisa, kila ufikapo top unakuta top ingine, ad infinitum
 

Jamaa ni wamoto kwenye uandishi.
Hizo movie kwenye hiyo list nimeangalia zote na sijawai fikiria kuzifuta[emoji122][emoji122][emoji122]
 
anko umenikosha kwa hii list.umenikumbusha mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…