Dark days 17/03/20...

kumbuka borntown ni mwamba wa hizi mambo ndio maana akaamua amsogeze na nduguye Mango karibu bahati mbaya EL hajiwezi tena chamoto wangekiona
 
Yoga hakupost hii story kwenye jukwaa la entertainment ama jukwaa la siasa bali akileta hapa.

You know what?
 
kumbuka borntown ni mwamba wa hizi mambo ndio maana akaamua amsogeze na nduguye Mango karibu bahati mbaya EL hajiwezi tena chamoto wangekiona
Lakini si unasikia kilio cha born town! Analalamika kuwa old CEO alisababisha akaporomoka haswaa πŸ˜‚πŸ˜‚

Mango naye aliminywa kende hadi kakimbilia kwa kabwela mzito.

Mpaka sasa sijauona usmant wa born town na genge lake maana weshavulishwa mavazi sasa wanajiuma uma tu na kujifariji, time will tell.
 
FDR :- franklin delano roosevelt na utawala wa Miaka 12 ndani ya TANZANIA,uzi wa Tumia akili !ilitokea marekani itatokea na huku! Mango umri wake mkubwa Sana hawezi tawala KWA miaka 12 hapa Tz!!
TUSUBIRI
Duu uelewa unatofautiana,, wengine wameelewa kuwa franlin Delano Roosevelt tayari alishaanza utawala kitambo na ndo alikuwa Kama anamalizia hiv

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
sijakuelewa unaposema "walishavulishwa mavazi" wakati kwa sasa Borntown ndie remote control wa king'amuzi cha BimPemba na kaambiwa airudishe system ya Borntown na akairudisha na kuwatoa wa late CEO kwa hiyo mr borntown is awake now
 
Mungu yuko kinyume na muuaji yoyote yule. Unakumbuka sababu ya Daudi kutomjengea Bwana hekalu? Aliambiwa mikono yake imejaa damu
Huyo kijana sio mtawala wa nchi, ugomvi na Mungu ni kumuua mtawala wa nchi kwasababu hakuna mtawla aliyejiweka, awe mbaya au mzuri
 
Hii ni kujifariji tu mkuu. Hatuna vijana wa system wa namna hii. Walichoweza ni kumuadhibu Mr. New culture, huyu mwingine wataisha wote ikitokea wanapanga huu mpango.
 
Agachu yu!
 
Maandishi yamejaa mahaba mpaka yanakosa uhalisia. Kwamba born town alipachika wapinzani wote? Je baada ya kuwafuatilia mbali kuna chochote kilichobadilika?
 
Wanabakia kuwa smart sana kwani wao ndio wako hai na wanaendesha show kwa sasa. Huyu mwingine ameshaoza tayari!!
 
sijakuelewa unaposema "walishavulishwa mavazi" wakati kwa sasa Borntown ndie remote control wa king'amuzi cha BimPemba na kaambiwa airudishe system ya Borntown na akairudisha na kuwatoa wa late CEO kwa hiyo mr borntown is awake now
Kwa hiyo mpaka yeye kuwa "remote control" hujaelewa tu kuwa borntown is naked?

Na kushangaa bwashee ila wait utasikia kilio na kusaga meno soon.
 
Wanabakia kuwa smart sana kwani wao ndio wako hai na wanaendesha show kwa sasa. Huyu mwingine ameshaoza tayari!!
Kwamba wako hai halafu jiwe anaoza kaburini wala hawatafuti hao wahuni.

Sasa hiyo taharuki waliyo nayo ni juu ya nn?

Nikwambie kitu "hakuna smart man anayeishi duniani kwa sasa, hata aliyevumbua hiyo simu uliyo nayo hayupo (ila alikuwa mtu smart sana)

sasa hao majizi unadai kuwa wako smart πŸ˜‚πŸ˜‚ hawajawahi hata kuleta jambo jipya hapa duniani, usmart wao ni nn?

Nasikitika sana kuona Tanzania kuna wajinga like u
 
Binafsi waliounga juhudi wote wakati ule niliwadamehe walipitia nyakati ngumu sana.

Ukikataa kuunga juhudi kwa kupokea mpunga basi jiandae Red Blood cells zako ni halali yao.

hata wale covid 19
 
Hiyo namna ni kwa Katiba bora na katiba mpya tu.
 
we mwwongo. Late CEO mzalendo gani anayefanya matendo yale? Borntown anaonekana wa maana sana kuliko yeye.Kwani yeye akiwa mtawala wapinzani wanamzuia nini kuongoza? alikuwa na sifa gani nzuri na kwanini alazimishe kupendwa?
 
we mwwongo. Late CEO mzalendo gani anayefanya matendo yale? Borntown anaonekana wa maana sana kuliko yeye.Kwani yeye akiwa mtawala wapinzani wanamzuia nini kuongoza? alikuwa na sifa gani nzuri na kwanini alazimishe kupendwa?
Bwashee, borntown ni maji taka yasiyofaa hata kumwagilizia bustani ya maua, ana jitahidi kutengeneza Kiki lakini wapi, he is naked now,kila mtu anajua kuwa borntown ni jambazi.

Old CEO kalala kaburini hayupo ila watu wanazidi kumpenda, you know why?
 
Usione kusmile kwa Borntown kama umewahi kumwakaza hasau ni mtu wa visasi, si tunamkumbuka yule mzee mjeda wa Kimasai alikuwa afande mkuu pale chuo cha wajeda kwa mr mamvi yule mzee amlimshtukia Born town alipokuwa kamisaa wa siasa, miaka ile wajeda walikuwa na makamisaa wa siasa, sasa kumbe Mr Born town akawa anachukua nyeti za mjeda wa kimasai na kumpelekea CEO wa kwanza, sasa CEO wa kwanza hakuwa na unafiki ikabidi amuite mkuu wa wajeda na kumuonyesha barua/ripoti kutoka kwa Born town aliyoandika kumchongea mjeda mkuu wa shule ya wajeda, na mkuu wa wajeda akamwambia mwalimu mkuu wa chuo cha wajeda kuwa Born town kaandika taarifa hii kumpelekea CEO wa kwanza ,sasa Mjeda wa kimasai akapandisha mori ikabidi mr born town afunge haraka virago, wengine wanadai alinaswa makofi, lol Mr born town akapata u CEO cha kwanza alichofanya ni kumtosa mjeda wa kimorani na kumbania stahiki zake, nasikia mjeda wa kimasai hali kiuchumi ilikuwa mbaya sana baada ya Mr Born town kumuwekea vikwazo kila sehemu,kifupi Born town muone hivyo hivyo anakukaanga huku anasmile na hasau , muulizeni hata aliyekuwa swaiba wake `mr barafu nyeupe kileleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…