Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Anayeliwa nafunza kawaachia taharuki, borntown is naked now hana pa kujificha, mwamba katulia tu aridhini wala hana neno na mtu, tulia man mjanja wenu kende zinabembea in public πAlietepeta n borntown au anaeliwa na funza huko[emoji1787][emoji1787]
Mhmmm, nasiku ukijua kuhusu keshi ya ughaibu iliyo muweka lupango mwenye democrasia utatamani kuhama kampuni.Daah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.
Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
Labda watu dizaini yakoBwashee, borntown ni maji taka yasiyofaa hata kumwagilizia bustani ya maua, ana jitahidi kutengeneza Kiki lakini wapi, he is naked now,kila mtu anajua kuwa borntown ni jambazi.
Old CEO kalala kaburini hayupo ila watu wanazidi kumpenda, you know why?
Tulia uncle kazi "iendelee"Labda watu dizaini yako
Jiwe mwenyewe kaua watu wengi tu kwa hiyo nayeye aliua kwa upangaUkiua Kwa upanga nawe utakufa Kwa upanga
Hawafikii Ile trillion 1.5 iliyokwapuliwa kipindi Cha jiweTafuta uzi wake. Kifupi alielezea namna akina mr tembo walivyo wezi na maharamia tena wamewekeza apartment nje ya Tanzania unakuta mtu ana miliki mpaka nyumba 200. Kiufupi Magufuli ajaye ana clean up kazi kubwa mno.
Dah yaani kijiwe cha born town walijaribu sana kufitinisha ila just wait very soon wazalendo wanaenda kuchukua nchi na ndipo utakaposhuhudia hao mafisadi na majambazi yenu yanapelekwa motoni yote. Dkt Magufuli hakuwahi kuwa mwizi na wala hakuwahi kufanya ufisadi bali alikuwa mtu mwenye haki na mapenzi mema ya kizalendo na wananchi na nchi yake na ndiyo maan mmejitahidi kufitinisha ila mmeshindwa. Ukitaka kuona ujinga wenu umeshindwa sikiliza maoni ya wananchi mtaani, kila mtanzania anatamani Dkt Magufuli arudi afufuke.Hawafikii Ile trillion 1.5 iliyokwapuliwa kipindi Cha jiwe
nothing lasts long,....
born town and all those who involved in this case will die the painfully dde
Amennothing lasts long,....
born town and all those who involved in this case will die the painfully death.
huyu ndio nani kwenye huu uziDkt Magufuli
Marufuku kumtaja mtu kwa jina lake hapa tunatumia code tu kufungua jina halisi la mtu.huyu ndio nani kwenye huu uzi
Nani kasema marufuku kutaja jina la mtu, haya mambo ya code ni kuchangamsha bongo tu,hakuna cha marufuku sijui nani kakuruhusu,huko ni kukariri jambo na kulihalarisha.Marufuku kumtaja mtu kwa jina lake hapa tunatumia code tu kufungua jina halisi la mtu.
Nadhani umeelewa π
Haya subiri sasa zamu ya borntownHawafikii Ile trillion 1.5 iliyokwapuliwa kipindi Cha jiwe
Ni basha wa matha'ako..huyu ndio nani kwenye huu uzi
Fafanua mkuu!Mhmmm, nasiku ukijua kuhusu keshi ya ughaibu iliyo muweka lupango mwenye democrasia utatamani kuhama kampuni.
tafadhali huu uzi haukufai sio sehem sahihi kwakoNi basha wa matha'ako..