Dark days 17/03/20...

AO5 aliyataka mwenyewe kwa tamaa zake.
-C04 naye aliyataka mwenyewe kwa tamaa zake...

Mwenzao he is normal living his life but dont touch him....he is the son and ring leader of the dip state.... grow up on their hands and they trust him, he know every room....also he is the part of the team to safeguard the company..please dont go beyond him....you will learn why even those sons of father respected him and is the friend of them..
 
Daah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.

Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
Mhmmm, nasiku ukijua kuhusu keshi ya ughaibu iliyo muweka lupango mwenye democrasia utatamani kuhama kampuni.
 
Tafuta uzi wake. Kifupi alielezea namna akina mr tembo walivyo wezi na maharamia tena wamewekeza apartment nje ya Tanzania unakuta mtu ana miliki mpaka nyumba 200. Kiufupi Magufuli ajaye ana clean up kazi kubwa mno.
Hawafikii Ile trillion 1.5 iliyokwapuliwa kipindi Cha jiwe
 
Hawafikii Ile trillion 1.5 iliyokwapuliwa kipindi Cha jiwe
Dah yaani kijiwe cha born town walijaribu sana kufitinisha ila just wait very soon wazalendo wanaenda kuchukua nchi na ndipo utakaposhuhudia hao mafisadi na majambazi yenu yanapelekwa motoni yote. Dkt Magufuli hakuwahi kuwa mwizi na wala hakuwahi kufanya ufisadi bali alikuwa mtu mwenye haki na mapenzi mema ya kizalendo na wananchi na nchi yake na ndiyo maan mmejitahidi kufitinisha ila mmeshindwa. Ukitaka kuona ujinga wenu umeshindwa sikiliza maoni ya wananchi mtaani, kila mtanzania anatamani Dkt Magufuli arudi afufuke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…