We waache wajifanye wana uchungu kuliko wote.Mfianchi bila shaka hujawahi minywa korodani [emoji23][emoji23]
Unapoingiza majina halisi ya watu hapa unafanya hii kuwa ni story ya kweli, kitu ambacho yoga amesisitiza hii ni hekaya tu ya kuburudisha, sasa Ukianza kuleta majina ya kina nani sijui, mara oooh huyo ni deshi deshi utajitafutia balaa bure [emoji1]
Mbaya zaidi yoga hataminywa kende hawatampata [emoji16]ila wewe utapatikana na utaminywa ili ufunguke kwa nini unatoa siri za wakubwa.
NB: yoga ndiye katoa tahadhari msitaje majina ya watu ambao yeye hajawataja ktk hii story.
Jitahidi kuelewa man.
Hakuna smart man aliye hai, masmart wa ukweli walishakufa na walituachia vitu vya tija tunavyovitumia hapa duniani, huyo godfather uchwara ni kibaka tu wala hana usmart wowote ndio maana kanasa kwenye ulimbo wa paka, borntown is naked now kavuliwa mavazi yote na paka hana ujanja wowote, tulia tangazo lipo njiani πUsmart wake nadhani upo kwenye kukusanya taarifa za siri kwa njia za siri ili kutimiza azma yake. Kwa kweli huyu Born town sio wa mchezo aisee!
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
A 05 na c 04 tunaomba msaada mkuu
Hivi paka ndiyo nani mbona anakuzwa sana?Hakuna smart man aliye hai, masmart wa ukweli walishakufa na walituachia vitu vya tija tunavyovitumia hapa duniani, huyo godfather uchwara ni kibaka tu wala hana usmart wowote ndio maana kanasa kwenye ulimbo wa paka, borntown is naked now kavuliwa mavazi yote na paka hana ujanja wowote, tulia tangazo lipo njiani π
Born town alikugongea dem nnHakuna smart man aliye hai, masmart wa ukweli walishakufa na walituachia vitu vya tija tunavyovitumia hapa duniani, huyo godfather uchwara ni kibaka tu wala hana usmart wowote ndio maana kanasa kwenye ulimbo wa paka, borntown is naked now kavuliwa mavazi yote na paka hana ujanja wowote, tulia tangazo lipo njiani [emoji1]
Naona sindano inafanya kazi hadi imeshindwa kujenga hoja unaweweseka tu.Born town alikugongea dem nn
Mpaka umefika hapa hujamwelewa paka ni nani?Hivi paka ndiyo nani mbona anakuzwa sana?
Ila me najiuliza sana,iv ndugu ulo radh kumfurahia paka kumuangamiza borntown?mm binafs siko team borntown kwa anayotufanyia hapa kwetu,,ila kwa paka vs borntown niko upande wa borntownNaona sindano inafanya kazi hadi imeshindwa kujenga hoja unaweweseka tu.
Tulia mjomba wako keshavuliwa mavazi na paka, next ni kumchapa fimbo tu [emoji1]
Jiandae kwa maombolezo paka keshatamalaki borntown hachomoiππIla me najiuliza sana,iv ndugu ulo radh kumfurahia paka kumuangamiza borntown?mm binafs siko team borntown kwa anayotufanyia hapa kwetu,,ila kwa paka vs borntown niko upande wa borntown
Iweje awe na nguvu ya kutuamlia mambo??Mpaka umefika hapa hujamwelewa paka ni nani?
Subiri mwendelezo wa hekaya utajua paka ni nani ππ
Katokota kawa ndondo la ki gari πMr. Born Town my all time prezidaa
Hata panya road wana nguvu ya kutuamulia mambo yetu maana ni vibaka kama alivyo huyo kibaka anayetuamulia tuishi kijingaIweje awe na nguvu ya kutuamlia mambo??
Kwa wanaume wa Dar tu na tena baadhi ya sehemu kama kinondoni au temeke, ila gongolamboto au kitunda hata Mara hawaweziHata panya road wana nguvu ya kutuamulia mambo yetu maana ni vibaka kama alivyo huyo kibaka anayetuamulia tuishi kijinga
Hii bila shaka ni ndoto ya mchana kweupe.Katokota kawa ndondo la ki gari π
Hata Mr borntown ni mkazi wa kinondoni, je huoni kuwa unamkashifu πKwa wanaume wa Dar tu na tena baadhi ya sehemu kama kinondoni au temeke, ila gongolamboto au kitunda hata Mara hawawezi
Wewe hujui haya mambo yanavyoendeshwa. Kunywa mbege ulale ukiamka utaelewa.Kama alisingiziwa je,hakujua?. Na kama alijua,je, alichukua hatua gani kuonesha kwamba hahusiki na utekaji huo?
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app