Dark days 17/03/20...

Bontown ana backup kubwa sana kutoka security company kwa taarifa yako! na kubwa kuliko zote analindwa na wazee wa pwani!

kabla hujapanga jambo ashajua
Kuna mchawi mmoja alitoka hadharani anajiita she yahyaha akasema anampa ulinzi borntown,

saiz ni story mlinzi alishafukiwa, bt mlindwaji tupo naye.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mlinzi Mungu sio vibwengo. Amen
 
Kuna tukio moja lilitokea airport kwenye mataa pale gari wakati zimesimamishwa walikuja jamaa na pikipiki,wakamgonga shaba dereva mmoja mwenye gari ndogo Kisha wakaondoka na briefcase, walosogea kwenye tukio wanasema jamaa alikuwa na hela kibao lakini jamaa waliondoka na briefcase tu,
Wazee wa vijiwe vya kahawa wakawa wanadai wale usalama wamegeukana jamaa alikuwa anataka kuvujisha siri wakamuwahi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna mchawi mmoja alitoka hadharani anajiita she yahyaha akasema anampa ulinzi borntown,

saiz ni story mlinzi alishafukiwa, bt mlindwaji tupo naye.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mlinzi Mungu sio vibwengo. Amen
Mkuu
Ina MAANA mission ishakamilika Ndio MAANA uzi upo hewani!!
Sasa tusubiri tangazo tu!!?

Yaani matangazo ya Rip;-

Born town
Mkuu.......ka aka mzee
Paka!!?

Ina maana anamaanisha hivyo!!?

Mbona kutakua na mtanziko MKUBWA eneo la maziwa makuu!!?
 
Mkuu
Ina MAANA mission ishakamilika Ndio MAANA uzi upo hewani!!
Sasa tusubiri tangazo tu!!?

Yaani matangazo ya Rip;-

Born town
Mkuu.......ka aka mzee
Paka!!?

Ina maana anamaanisha hivyo!!?

Mbona kutakua na mtanziko MKUBWA eneo la maziwa makuu!!?
Mtanziko upi ndugu? Hadithi italeta vp mtanziko?

Nilimaanisha mtafiti anapofikia hatua ya Kutoa REPORT KAZI Huwa alishamaliza muda mrefu.

Ni kama habari tusomazo Kwa magazeti, Kuna baadhi ya ofisi habar hizo Huwa zimewafikia wiki 2 au tatu kabla hazijatufikia sie waswahili. Amen
 
Bontown ana backup kubwa sana kutoka security company kwa taarifa yako! na kubwa kuliko zote analindwa na wazee wa pwani!

kabla hujapanga jambo ashajua
MKUU

Kulindwa na WAZEE ni ulinzi wa .majini!yaani muunganiko wa moyo na roho wa majini na muhusika!!anakuwa anashtuliwa mapigo ya moyo na hayo majinipindi yanapo m alert hatari Fulani!!!

Ngoja tuone
 
Saa nyingine hutakiwi kudharau mtu kwa kazi yake, hadhi yake, mazingira yake. Kumbe hata wazee wa vijiwe vya kahawa nao wana habari muhimu maana si wote wanywa kahawa hawana maisha. Wengine wakitoka ofisini kabla ya kwenda nyumbani hupitia kijiwe na kupata kahawa kidogo ili kuchangamsha mwili.
 
Nimesoma hii story na comments kuanzia page ya kwanza mpaka mwisho nimegundua BORN TOWN ni mtu muhimu sana, ni kiungo bora sana kwenye kampuni na yuko well organized anaangalia mbali sana especially kwenye part ya security ya kampuni ahsante kwa hii hadithi ndugu [mention]yoga [/mention]
 
Kama ni muhimu kwako, pole.
 
Kama PAKA kwako ni muhimu kuliko Born town nakupa pole zaidi sababu humjui who is CAT in this business.
Pole pia kwa kumwona huyo mwizi ni muhimu kwako. Najua wewe ni new member hapa na umekuja leo leo baada ya kusikia kuwa born town kavulishwa mavazi πŸ˜‚πŸ˜‚

Yes he is naked endelea kumwona ni wa muhimu 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…