Direct you're correct Mr. Watu hawajui mifumoBontown ana backup kubwa sana kutoka security company kwa taarifa yako! na kubwa kuliko zote analindwa na wazee wa pwani!
kabla hujapanga jambo ashajua
Kuna mchawi mmoja alitoka hadharani anajiita she yahyaha akasema anampa ulinzi borntown,Bontown ana backup kubwa sana kutoka security company kwa taarifa yako! na kubwa kuliko zote analindwa na wazee wa pwani!
kabla hujapanga jambo ashajua
MkuuKuna mchawi mmoja alitoka hadharani anajiita she yahyaha akasema anampa ulinzi borntown,
saiz ni story mlinzi alishafukiwa, bt mlindwaji tupo naye.ππππππ
Mlinzi Mungu sio vibwengo. Amen
Hata awe na ulinzi wa wazee wa pwani, siku ya kupondwa kichwa haikwepeki, hii duniani ni ndogo sana siku ikifika atapondwa tu.Bontown ana backup kubwa sana kutoka security company kwa taarifa yako! na kubwa kuliko zote analindwa na wazee wa pwani!
kabla hujapanga jambo ashajua
Hivi inawezekana kweli magagula kuwa ndiye mr lagu?Mbona anaonekana alikuwa mbali sana na our late CEOMr.Lagu. Magagula bado tu mkuu basi jumlisha na Mangungo kama bado hujapata ti jibu jaribu kunywa maziwa mgando.
ndio kilichobaki sasa.mission imekamilika.Tukasubiri tangazo TU!!
Mtanziko upi ndugu? Hadithi italeta vp mtanziko?Mkuu
Ina MAANA mission ishakamilika Ndio MAANA uzi upo hewani!!
Sasa tusubiri tangazo tu!!?
Yaani matangazo ya Rip;-
Born town
Mkuu.......ka aka mzee
Paka!!?
Ina maana anamaanisha hivyo!!?
Mbona kutakua na mtanziko MKUBWA eneo la maziwa makuu!!?
MKUUBontown ana backup kubwa sana kutoka security company kwa taarifa yako! na kubwa kuliko zote analindwa na wazee wa pwani!
kabla hujapanga jambo ashajua
Hmn aisee wwe unachojua N habr za madanga tu na vibampa wa mjiniSasa nitoe hoja gan? Hebu nambie? Najua zaidi yako.
Kaa kwa kutulia, mxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mchokozi sanaaa, khaaaaah.Hmn aisee wwe unachojua N habr za madanga tu na vibampa wa mjini
Saa nyingine hutakiwi kudharau mtu kwa kazi yake, hadhi yake, mazingira yake. Kumbe hata wazee wa vijiwe vya kahawa nao wana habari muhimu maana si wote wanywa kahawa hawana maisha. Wengine wakitoka ofisini kabla ya kwenda nyumbani hupitia kijiwe na kupata kahawa kidogo ili kuchangamsha mwili.Kuna tukio moja lilitokea airport kwenye mataa pale gari wakati zimesimamishwa walikuja jamaa na pikipiki,wakamgonga shaba dereva mmoja mwenye gari ndogo Kisha wakaondoka na briefcase, walosogea kwenye tukio wanasema jamaa alikuwa na hela kibao lakini jamaa waliondoka na briefcase tu,
Wazee wa vijiwe vya kahawa wakawa wanadai wale usalama wamegeukana jamaa alikuwa anataka kuvujisha siri wakamuwahi [emoji3][emoji3][emoji3]
Itakuwa vyema na haki ikiwa hivyo!Upo uwezekano 2025 ikaamua hatma ya taifa!
Kama ni muhimu kwako, pole.Nimesoma hii story na comments kuanzia page ya kwanza mpaka mwisho nimegundua BORN TOWN ni mtu muhimu sana, ni kiungo bora sana kwenye kampuni na yuko well organized anaangalia mbali sana especially kwenye part ya security ya kampuni ahsante kwa hii hadithi ndugu [mention]yoga [/mention]
Kama ni muhimu kwako, pole.
Upd choyo bwana mafwedha , mzee luga , mstaaf wetu wa chama langumaIla mzee. mzee naona Kama anatak kuzimishwa faster na born town awe makini San na
Ni Nani hyu mzee luga na eyoo bado sijapata code hyo na Ni kampuni gani ilikuwa inamsimika mtu 2018. Au South
Choyo mafwedha mkt wa kudumu pduMr Luga ni aliyewahi kushika wadhifa wa secretary general enzi za Ukapa kisha akashika umakamu mwenyekiti enzi za born town na late ceo ndani ya board inayotawala kampuni. Mkoa anaotokea ni ule una kabila la wanaokula umbwa (hahaha).
Mr Eyo hata mimi bado sijampata.
Pole pia kwa kumwona huyo mwizi ni muhimu kwako. Najua wewe ni new member hapa na umekuja leo leo baada ya kusikia kuwa born town kavulishwa mavazi ππKama PAKA kwako ni muhimu kuliko Born town nakupa pole zaidi sababu humjui who is CAT in this business.