Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwamba itabidi mzee alee sumu kwa pamoja na borntown kwa kuwa ndie mentor wake na ukute walishakula sumu pamoja huku mwingne trust ikimumaliza.... huku mzee akijitoa kafara yeye mwenyewe Ili sumu imfikie born town......

Maoni: born town aendelee kuwepo Ili company iwe strong na kusiwe na internal conflicts...compared na akiondoka sijui kampuni itakuaje..bora walage kidogo kidogo kuliko watu strong wakaondoka
 
Sikuwah faham kwa undani..Mzee kuwa ni kiungo hatari sana katika kampuni bt nilikuwa najiuliza tu kwa nn na kuzeeka kote kule lakin bado hawamtoi...mara wizara maalum, kumbe ni kachero zaid na zaid..Mr luga ukiangalia vizuri ile miguu yake tuu..utapata picha halisi...kweli nimeamin kuna wananchi na wenye nchi...
 
Kwamba itabidi mzee alee sumu kwa pamoja na borntown kwa kuwa ndie mentor wake na ukute walishakula sumu pamoja huku mwingne trust ikimumaliza.... huku mzee akijitoa kafara yeye mwenyewe Ili sumu imfikie born town......

Maoni: born town aendelee kuwepo Ili company iwe strong na kusiwe na internal conflicts...compared na akiondoka sijui kampuni itakuaje..bora walage kidogo kidogo kuliko watu strong wakaondoka
Born town anaharibu kampuni Kwa ufisadi RIP in advance kwake angekuwa MTU Wa maana asingepitia haya.Alafu kuua mkuu wa kampuni tena akiwa madarakani sio kitu kidogo.huyo paka naye watu wake wanajulikana watashughulikiwa.Born town anaharibu nchi ndo maana wameamua hatabaki.
 
Uzuri na ubaya wa kuwindani kwenye mipango ya kampuni unajua ila ugumu unakuja, nani atatumika na kutumika ki vipi? Pale usipowaza wewe na wanaokuwinda wanatumia udhaifu huo huo.
Usmart wa Mr. born ungelinufaisha kampuni wengi tungetaman abaki tuile cake zaidi sana ndo anajinufaisha pekee yake na wa kwake kwa ukwasi mkubwa, huku wadau wa kampuni wakitaabika.
"Don trust even ur mind sometimes, it can betray you"
 
Ohhh! Pole sana sikukusudia kukuchosha maana nilikuwa sijui kama ninayoandika yanakugusa. Niwie radhi tafadhali. Unasema niandike na kuongea tena kidogo wakati hapo hapo unachoka, huoni kama nitaendelea kukuchosha, au unapenda kuchoshwa huku ukilalamika?
ooh oh ndo naiona i,,,oi ishi ase btw sikupangii kikubwa punguza shobo! kama inauma zaa tu masta au unaonaje ukija na thread yako kabisa ya shobo shobo
 
Kwamba itabidi mzee alee sumu kwa pamoja na borntown kwa kuwa ndie mentor wake na ukute walishakula sumu pamoja huku mwingne trust ikimumaliza.... huku mzee akijitoa kafara yeye mwenyewe Ili sumu imfikie born town......

Maoni: born town aendelee kuwepo Ili company iwe strong na kusiwe na internal conflicts...compared na akiondoka sijui kampuni itakuaje..bora walage kidogo kidogo kuliko watu strong wakaondoka
Director akitoa movie au Mwandishi akitoa kitabu tafsiri ni kuwa Mission accomplished.

Kitabu kipya kitusaidie kuondoa mambo hayo, tuisuke Nchi yetu Kwa mustakabali wa miaka 200 na zaidi ijayo. Amen
 
Back
Top Bottom