Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Braza somtime muwe mnakausha,
mtoto wa kiume unatakiwa umindi yua business,

Ilikuwa ni usome story toa comment pita kushoto,, sasa wew ndio unaonekana shoga

Muacheni mngoni wangu, apumzike kuwajibu shit,.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] riwaya imewapiga KO na hawaelewi lugha iliyotumika na Code hizi ndo kabisaa wamepotezwa, hasira wanaleta kwangu. Uwiiiiih

Akati mwenzao hii riwaya iko simple mnooo, tatizo n akili na uelewa wao,

yoga ana balaaaah
 
Sasa mbona wamsimanga mleta hekaya, au hujui kuwa naye ni mhamiaji? Angalia usije sababisha story ikaishia njiani tulia mpewe ubuyu na huyu mhamiaji, maana kina LUGUMWI wamekazana kutoza kodi ili bosi wao aendelee kula bata ughaibuni, sasa unadhani nani atakupa vitu adimu kama sio mkimbizi? Tulia mrembo.
Una mihemko sana mkuu. Mchana mwema

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
*15 years ago

Kp, ni the CEO wa kampuni moja changa, ambayo alikuwa na ambition za kuifanya kampuni yake kuwa moja ya Makampuni makubwa barani africa!! Kampuni yake ilipitia mitikisiko kadhaaa ya kiuchumi mpaka kufilisika kabisa. Ni yeye aliyempindua CEO aliyekuwepo kisha kuchukua uongozi na kuwa new CEO na kuleta mapinduzi makubwa sana kwenye kampuni yake akitumia dirty tricks!!

Iko hivi, KP in his dream, alihitaji siku moja his company kuwa one of the major company na kuziongoza kampuni zoote za ukanda wake kabla yakutawala africa nzima kibishara

Aliamini watu wa kampuni yake ni the best compare na watu wa kampuni zingine za barani africa, So through his people alikuwa akiwastudy washindani wake wote walio mzunguka kibiashara 24 hr!! Yote sababu kampuni yake haikuwa na resorces za kutosha kuwa big company as he wanted


Alianza kupandikiza watu wake kwenye kampuni hizo jirani, na kucollect taarifa zitakazo mfanya awe super company!! Kama alitokea mtu au watu waliokuwa wakienda kinyume na yeye ndani ya kampuni aliwaondoa kwenye mfumo kimya kimya hatakama walikuwa nje ya kampuni yake!!

Katika kutimiza lengo hilo, aliunda team za very trained youth and elders ambazo ziliingia nakuajiliwa kwenye kampuni shindani, including born town's company na kukolect data zote za muhimu!

Walifanya hivyo daily, weekly, monthly and yearly! Walijizolea taarifa nyingi unnoticed and sometimes noticed!! Na kuripoti back to their main company under KP leadership!! Sema Kampuni mbili zilimsubua sana!

Kampuni hizo ni Kampuni ya mr born town hapo ni before late CEO, na kampuni ya mr freedom!! These two companies also walijidhatiti kukolect info ndani ya kampuni ya KP na kumpa challenge mr KP kufikia lengo lake.

Mr Kp na team ya vijana wake baadhi walifanikiwa kuingia moja ya kampuni za jirani ambayo ina lot of products lakini haina strong CEO na kuivuruga kisha kukwapua products za kampuni hiyo na kuzibrand kwa jina la kampuni yake na kuziuza kisha kutengeneza faida kubwa sana

Faida hiyo iliifanya kampuni yake kupata mabadiliko ya kiuchumi kwa kasi na kutoka kuitwa kampuni masikini hadi kuanza kuwa kampuni tishio ukanda huo!!

Alipandikiza security team ambayo kazi yake ilikiwa nikuvuruga tu utaratibu wa kampuni husika na wakati huo huo nyuma ya pazia security team hiyo ilikuwa ikikwapua bidhaaa za kampuni husika na kuzisafirisha mpaka kwenye kampuni ya KP na kuziuza!


Jirani na kampuni ya KP kulikuwa na kampuni nyingine ya the oldest CEO in the region kwa jina la Mr nine!

Huyu baada ya kugundua ujanja wa KP katika kuboost uchumi wa kampuni yake naye alipandikiza watu wake kwenye the same company, kisha kuanza kukwapua products kuziuza na kujitegenezea faida!!

Hii ilileta mgongano wa maslai kati ya KP na Mr nine, kwani both walikuwa wanaexploit kampuni moja kufikia mahala mzozo mkubwa kuanza baina yao! Mzozo huo ulikuja kumalizwa kwa kugawana department za kampuni waliyokuwa wakijiibia products na kuwekeana boundaries za nani atachukua wapi mpaka wapi na mwingine atachukua wapi mpaka wapi!

Pamoja na utajiri huo wakutosha aliokua akikwapua kutoka kampuni hiyo, Moja ya vitu vilikuwa havimpi usingizi mr KP ni kampuni ya born town! Aliitamani sana hii kampuni na kuitaka sana!!

Why? ...

Kwanza ni kwa sababu Kampuni ya born town ilijaaliwa kuwa na kila aina ya product inayo hitajika duniani kote!! Maana nikampuni yenye eneo la kutosha with lot of many beautiful and atractive products!!

Pili ni kampuni ambayo inafikika kirahisi kutoka pande zote duniani!! Hata mizigo ya kampuni yake lazima ipitie pale kisha ndio ipelekwe kwake!

Na Tatu! Kampuni ya born town kwenye biashara ya chakula hasa cha mifugo iko vizuri sana!!

Pk, alitaka kampuni hii, mali ya born town iwe under his comand! Na alianza harakati hizo muda kidogo kujenga msingi wa lengo lake!!

wakati born town ni CEO, tayari KP alisha pandikiza watu wake muhimu na kuanza kucollect data!!

Katika kukusanya data hizo aliacha footprints ambazo zilimshtua born town, wakati Mr born town akiwa anajenga empire yake ndani ya kampuni akishirikiana vizuri na mr Uknown, aligundua mchezo mchafu wa jirani yake mr KP na alianza kudeal nae kimya kimya!! He was smiling upfront but behind the scene alikua na oparation kali ya kujua how deep mr KP is in his company!

ilimkera sana born town kujua KP ananguvu ndani ya his company!! maana Ilifika mahala KP was using born town's company shops to sell his products bila kulipa tax, sometimes hata malighafi ya makampuni ya KP yalikuwa yanapita free tu bila kuilipa kampuni ya born town And he did that using his people aliokuwa kawapandikiza in born town company!

Born town alimcheki KP kuhusu hilo suala, in a friendly way!! maana kuna big investors wanashea pamoja So nikama hakutaka ahida naye! but KP akawa mkali na kutaka kuwa kama mbabe!

so born town akaona isiwe tabu nayeye akaanza kuzitumia info alizo collect za wahusika wote wa KP na kuanza kuwapoteza silently!! Kisha akaandaa inteligence unit in the company kwa msaada wa one of his huge investor kazi yao ikawa ni kumtrack KP and sometimes kulikisha info kuwa they know about him!


KP baada ya kugundua watu wake wanapotezwa kimya kimya and also born town ana team ya watu special kumtrack yeye alikasirika sana, Alianza kutunisha misuli but born town pia akamtunishia misuli!!

Nakatika kumprove KP kuwa is nothing to him! born town aliagiza securty agency ya kampuni yake kwenda kuisaidia kampuni ile ya jirani ambayo ilikuwa na weak CEO ambayo ilikuwa inavurugwa na KP!

team hiyo Walifika wakaplant system ambazo zilimtikisa KP na jirani yake kwenye ukwapuaji wao wa bidhaa za ndani ya kampuni hiyo!

Mr KP hasira zilimjaa sana akatishia kutaka kutokufanya biashara na kampuni ya mr born town!! Akaamishia nguvu zote kwa mr freedom!! Mr born town akamkazia sana hali ilifika pabaya mpaka investors wakuu walipo wakalisha chini through phone conference and setlle the feud!! Maana waliona kinachoenda kutokea ni kupoteza investment zao ndani ya hizo kampuni mbili

Still born town haikumzuia kama CEO kuendesha oparation kwenye kampuni yake ya kutambua wafanyakazi mapandikizi wa KP. Waliokuwa wanafanya kazi kama wafanyakazi halali wa kampuni ilihali wanatokea kampuni ya KP, na aliwatimua woote waliokutwa sio halali na kuwarudisha kwa KP kwa maumivu makubwa sana!!

Kulikuwa na wafanyakazi wa KP waliokuwa wanatumia kampuni ya born town kupata chakula cha mifugo yao, mr born town aliwanyanganya mifugo na kuwatimua kitu kilicho muuma sana KP

kama kawaida KP ni mtu wa kisasi, alishindwa kudeal na born town sio kwa bahati mbaya, nikama vile vile born town pia alivyoshindwa kudeal na KP, Each one of them alitaka mwezake awe kaburini, but ilishindikana sababu Wote walikuwa na huge suport kutoka kwa huge investors ambao walikuwa wanapata profit kupitia wao kuwa ma CEO!! Na hawakutaka any of them waingie ardhini as wanaplay important role kwenye kutoa maslai mazuri kwao

Sasa baada ya born town kustep down KP through vijana wake aligundua late CEO yuko against na Born town!! baada ya kuligundua hilo alichukua hiyo taarifa kama fursa ya kutaka kurudisha lengo lake la kuwa super company wa region Na kuwa guider wa late CEO!

Alichukua maamuzi ya kumpigia simu late CEO na kumtonya ishu za born town na investors wake pia namna wanavyopiga hela ndani ya kampuni na kumsogezea some evidence!!

KP Alifanikiwa kujenga hoja zake na evidences ambazo some true and some not true lengo kumsogeza late CEO karibu yake!!

Late CEO baada ya kupewa video na audio convo za born town pamoja na picha (zingine fubricated) za born town akiwa na investors wake, na akaliganisha na aina ya mikataba aliyoikuta ofisini, aligadhabika sana!

So he thought KP was a good man and a good friend kwa kumsaidia kujua zaidi kuhusu born town namna anavyojimilikisha kampuni, na akaamua wawe marafiki!

That was hell of a mistake!! So mr born town baada ya kuona KP is more important than him, alijua he is targeted by KP and late CEO nikama njia tu! So aliamua kukaa kwenye safe mode!!

Born town aliwaalet vijana wake in the company, hawa walikuwa hawalali everday ni kutrack plan zote za late CEO na kujua KP anatafuta nini! Na yuko wapi! Walifanikiwa kuwa one step ahed

And he was good at it, while doing that born town played dead like he wasnt doing anything. Wakati nyuma ya pazia vijana wake walikuwa wakichacharika kwelikweli kumlinda yeye na familia yake kwa kukolect datta na kuzifanyia kazi before chochote hakijatokea!

Unaaambiwa kuna incident moja born town hatoisahau!


Ilikuwa hivi.......


Born town alipewa wito na late CEO wa kwenda kumwakilisha late CEO kwenye kusimikwa kwa CEO mpya wa kampuni jirani mr Gwaga!

Aliambiwa he will be there as acting CEO! na akapewa flight og yaani ile ndege og anayotembelea late CEO! Na ndani pale atakwenda na two other guys! Ambao ni Mr lagu na mr Eyo!

Aliyempa taarifa hiyo ni late CEO mwenyewe, alimpigia simu na kumuomba afanye hivyo!! Born town alikubali but as Soon as the call ended, vijana wake waliingia kazini ili kujua if it is a trap or not!!

Mr lagu yeye alikuwa assistant chair man of board of directors wa kampuni na Eyo alikuwa ni chairman wa group la wanoutaka u CEO including akina mr new culture!

Ishu ilisukwa kuwa mr born town piga uwa garagaza after his return he must be out!! So mr lagu ndie alipewa jukumu la kuhakikisha the whole mission inakuwa implemented na kufanikiwa

Huyu mr Eyo, he was there kama mzigo tu he knw nothing! Plan ilikuwa unique kidogo, one of the air host alipaswa kupewa kitu inaitwa thallium, iliyokuwa katika mfumo wa unga! Kama inavyojulikana thalium ni one of the deadliest poison ambayo ipo very slow pia!!

hii kitu, ina sifa ya kuumiza ini na moyo very slowly, na baadae hata nywele kunyonyoka kabisa! And when its too late kuwa discovered bas safari na njia!!

Sasa basi air host wetu kule ndani ambaye alikuwa pale under the guidance ya mr lagu alitakiwa amalize mchezo after receiving that package! The plan ilikuwa nikuhakikisha born town anakuwa contacted na thalium!

Sasa wakati mr born town alisha hakikishiwa safari ipo safe na hakuna shida yoyote, sms poped in kutoka kwa kijana wake!

"Sir! We are told mr lagu is to carry something to harm you in the plane, we are trying everything we can to prevent it"

Born town baada ya kuona hiyo sms, alishtuka maana taarifa za mwanzo zilisha mhakikishia kuwa he has nothing to worry about!!


Akajibu "so what should i do"

Sms ikarudi!

"Sir just go to the airport as normal, but you can delay for just 10 mnts so as we can elimante the threat"

Born town alipo isoma iyo sms akajibu kwa haraka " Ok!10 mnts"

Sasa iko hivi, Vijana wa born town walifikishiwa mezani taarifa kuhusu handbag moja nyeusi ya mr lagu kuwa ndani yake ina deadly poison targeted for mr born town!

their work ilikuwa ni namna ya kuipata hiyo handbag kabla haijaingia kwenye ndege ili sije kumdhuru born town!!


Handbag hiyo inasemekana ilitoka kwa watu wa PK baada ya mazungmzo kati ya PK na late CEO! ilisafirishwa kwa umakini na usiri mkubwa mpaka kwa one of the security details wa late CEO, as inafika pale kuna kijana wa born town aliyekuwa amepandikizwa ndani alifanikiwa kuiona ile handbag ikiletwa na mtu ambaye tayari wao walisha mu identify kama a person from PK team!

Kijana Alipochunguza zaidi akagundua handbag hiyo iliyoletwa inamaelekezo kuwa ni ya mr lagu na inapaswa kusafiri na mr born town kwenye sherehe za kusimikwa new CEO, Kilicho mshtua yule kijana ni Zile process za usiri ukiwa na uharaka sana!

Pia namna handbag ilivyoletwa na aina ya watu waliopewa kuondoka nayo pale, alihisi something fishy maana hakuwa mgeni sana na namna handbag za namna ile zinavyotumika!

So very fast alifanikiwa kuingia ndani ya ofisi ya boss wake unditected na akaipiga picha ile handa bag na akatoa notification kwa wenzake kuhusu alichokiona na kueleza kinaelekea airport na kutaja mpaka gari inayotoka pale muda ule ikiwa na vijana watatu. Wawili passengers na mmoja dereva

Chap vijana born town baada ya kupata taarifa ile wakaanza kui itrace ile gari, throug simu ya mmoja wa vijana aliyekuwa ndani ya gari ile.

wakafanikiwa kuipata na kuitail kwa nyuma! Baada ya dakika kama 15 hiv za kuifuatilia, gari ilionekana kuingia moja ya hoteli kubwa sana mjini kati, hoteli ambayo iko karibu na kando ya bahari karibu na makaburi ya watu wenye asili ya india!!

Gari ile ilipoingia ndani, hawa waliokuwa wanaifuatilia kijana moja alishuka yule mwigine akapitiliza na kupaki gari kwa mbele kidogo, nje ya ile hoteli! Kijana aliyeshuka aliingia ndani haraka kama anaelekea reception!

Akiwa anatembea aliwashuhudia vijana wawili wakishuka kitoka kwenye ile gari mmoja akiwa na ile handbag!!

Kijana aliendelea kutembea kwa haraka ili aweze kuwa karibia, ghafla aliona wale vijana wakimkabidhi handbag ile kijana mwingine wakiwa kama wanapishana hivi, yaaani hawa wakiwa wanaingia na yule kijana anayepewa hand bag yeye kama anatoka tena nje!!

Kijana ikabidi asimame aone aliyepewa anaenda wapi, aliyepewa naye alipofika nje na yeye akamkabidhi kijana mwingine aliyekuwa akiendesha gari aina carina TI aliyekuwa tayari kaipaki gari ile nje karibu na mlango wa reception ambaye na yeye baada ya kuipokea hand bag hiyo aliwasha gari haraka na kuanza kuodoka!

Pale pale yule kijana alitafuta angle nzuri akaipiga picha gari hiyo kisha kutuma kwa mwenzie aliyekuwa kapaki nje na yeye haraka akatembea mpaka nje ya geti na kukodi boda boda kuifuata hiyo gari hiyo ndogo!


Akiwa kwenye boda akatuma tena notfcation born town's headqutors kuwa wanaifuata Gari hiyo ndogo kwani ndio ina handbag!!

Baaada ya born town's headqutors kupokea taarifa yenye picha na namba za gari, chap wakamuandaa kijana mmoja akavalia sare kama za askari wa barabarani na haraka akapelekwa karibu na air port kwa kufuata maelekezo ya vijana wale wengine waliokuwa wanaifuatilia tax hiyo kwa nyuma!

Then askari wa usalama barabarani aliingia katikati ya barabara baada tu ya kuitambua gari ile na kuisimisha pembeni kama ambavyo askari wa kawaida wa barabarani hufanya!!

Then askari yule taratiibu alisogea kwenye ile gari nakuomba leseni ya udereva ya mhusika! Dereva alitoa leseni yake but as wanaendelea na mahojiano gari aina ya noa ilipaki nyuma ya gari ile aina ya corola TI!

kisha vijana watatu wakaisogelea ile gari, askari alipowaona wale vijana nikama aliwafahamu na alikuwa kama kaegemea kwenye kioo cha dereva! haraka sana aka unlock milango yote ya gari maaana button ilikuwa karibu yake tu!!

As ana unlock kijana mmoja alikuwa kesha fika mlango wa kushoto wa passenger mkabala na dereva akaingia kwenye passenger sit aka kaaa na kutoa bastola na kumwekea kwenye paja dereva.

wakati huo huo kijana mwingine akaingia siti ya nyuma nyuma ya dereva akafunga mlango haraka naye akatoa bastola akaweka kwenye shingo ya derva na mwingine akaingia kulia nyuma akakaa!

Then yule askari akasogea pembeni akamwambia dereva toa gari! Dereva akiwa anatetemeka akaanza kutoa gari!! Kijana aliyekuwa ka kaaa nyuma akamuulzia handbag iko wapi?


Dereva akajibu iko kwenye droo ya dash bord ya passenger sit mkono wa kushoto pale alipokaa huyu kijana wa mbele

Sasa bwana kumbe wakati hawa wako bizy na kuikamata hii tax kumbe wale vijana wawili pale hotelini walishuka na mkoba ambao hauna kitu, na kuchezesha mchezo mzima kama wanamkoba wenye tukio, kumbe walisha jua kuwa wanafuatiliwa toka zamani!

Mkoba wenyewe ulibaki ndani ya gari na dereva alipowashusha wale vijana pale hoteli yeye alibaki nao ndani ya gari na chap akaanza safari ya kuelekea air port kupitia njia nyingine unditected!!

Sasa hawa wa kwenye tax vijana wa born town walipomteka huyu dereva kumsarch akakutwa na handbag but haina kitu, kumbe hand bag ishafikishwa na ashakabidhiwa airhost anayesubiriwa ni born town tu afike safari ianze maana wenzake tayari washafika na wapo VIP londge!!


Baada ya vijana kugundua handbag haina kitu,haraka sana wakatoa taarifa born town's headqutors! Katika kutrace ikaonekana tayari mzigo ushafika na kapewa hair host! Na through deep connections ikajulikana kuwa mule ndani kuna poison

Hapo ndipo kijana alimpigia simu born town kum allert kuhusu kinachoendelea na kumuomba ajicheleweshe kwa dk 10,

Mzigo ulipofikishwa hair host alikwenda kuhifadhi, sehem salama! Alihifadhi eneo la flight attendant Bunks ! Eneo hilo utumika kwa flight attendant kupumzika haswa wanapokuwa na safari ndefu!!

vijana wa born town katika kupitia list ya attendant wanao safiri na ndege husika wakawa wameweza kumuidentify muhusika mwenye mzigo!!

Maana nusu ya cabin crew appointed ilikuwa ya born town! Iko hivi baada tu yakujulikana kwa safari husika, watu wa born town walihakikisha watu wao wanakuwepo ndani ya ndege ili kumlinda mr born town!

So nusu walikuwa wa born town na nusu iliyo baki ndio ilikuwa free but watu wawili katika iyo nusu ya watu free walikuwa identfied under late CEO wing!!

So baada ya kumjua air host husika wakachukua the same hand bag waliyoichukua kwa tax driver waka rush mpaka air port! Kijana mmoja kwa utambulisho maalum akatengenezewa mazingira haraka sana na akafanikiwa kupata acces mpaka kwenye ndege, kumtafuta pilot!

Haikuwa kazi ngumu kwani kila sehem born town ambayo anakuwepo basi watu wake lazima wa wepo na wawe macho!

Pilot wa ndege alikuwa mtu wa born town, alikuwa kesha pata taarifa kuwa kunakitu alikuwa anapaswa kukitafuta ndani ya ndege, na alitumiwa picha ya hair host na picha ya handbag!! Lakini hakuambiwa handbag hiyo ndani ina nini! Alitumiwa picha ya muhusika anaye paswa kumkabidhi!

Pilot Alichokifanya alikwenda moja kwa moja kwenye kwenye zile jump seats, hizi hutumiwa na flight attendant pale ndege ikiwa inaruka, seats hizi huwa zina fold up against the wall.

Akajaribu kutafuta kwa kucheki vidraw vidogo kadhaa na akawa ameikosa! Akaona isiwe tabu akasend the same sms kwa air host mwingine ambaye anajua kuwa wako pamoja!

Air host baada ya kupokea sms ile akakumbuka ameona kitu kama kile alipokuwa anaweka tablate yake! So chap akarudi kule kule ndani kwenye zile bunks!

Wakati huoTayari mr lagu na mr eyo walishaingia ndani ispokuwa born town yeye yuko nje analazimisha press ya kuaga afanyie nje pembeni na ndege yote ni kubuy time!!

Flight attendat yule Alipofika haraka sana alipocheki akaiona ile hand bag, akaitoa pale nakumpelekea pilot unnoticed! yule kijana alipofika hakuongea sana maana pilot alisha muidentify na anaelewa nini kinachoendela so secretly akamkabidhi ile hand bag then akapewa ile iliyokuwa empty mwanzoni zote zina fanan vile vile ila sasa ndani hii imetiwa glucose [emoji16]

Pilot akaichukua akampatia yule air host na ikarudishwa pale pale na vile vile unnoticed then born town akapewa hint kuwa the threat is temrineted!

Born town akasmile kisha akapiga press yake ya kumshukuru sana late CEO pembeni ya ndege pale akakwea pipa kama hakuna kilichotokea akaenda kumwakilisha!!

Taarifa zikarudi kwa late CEO kuwa dreva tax ajulikani alipo ila handbag imefanikiwa kusafiri kama ilivyokusudiwa!! Kilichokuwa kinasubiriwa ni baada ya safari mr born town lazima arudishe mpira kwa beki! Sula la tax driver kupotea halikuwa new kwake bali swala la hand bag kufanikiwa kuwa angani ndio ilikuwa good news kwake!

wakati huo born time alitaka kujua ni poison ya aina gani iliwekwa humo kwenye hand bag!! And He was maaaaaaaaaad!! But smiling as usual!!

Sir it was thallium sir!

What?

The poison sir!!

Okey!! So they want me dead ehhh!?

Yes Sir!

Good! Keep it safe!! Nikirudi najambo nayo!!

Ok sir!

So baada ya kutake off na kumwakilisha ipasavyo born time he wanted to send the message to late CEO kuwa anajua alichokifanya!

Two years passed, mr born town na kisasi chake kama kawaida akaitumia thallium ile ile kwa mtu wakaribu wa late CEO mr lagu, yule walisafiri pamoja tena kwenye kikao kikuu cha bodi ya kampuni almanusura mzee wa watu atundike jina msalabani!! Na taarifa kutolewa march 9. 2020

******************************************************************%

Mzee i cant do this!! This man ..........

Hey!! Madam CEO you need to come down please!!

No!!! How?? This man knows everything!! How did he know we are in contact with KP?? HOW??

Madam!! Sikiliza, nisikilize mimi, up to now umefanya kazi kubwa sana this is what we want!!

What? I dnt understand, why??

You will soon understand!!

No!! You need to tell me now!! am the CEO i need to know now!! What is goin on??

Sit down first madam!!

Nope!! Nakusikiliza!! Now tell me??

Mzee anatoa ishara setup ya audio na video recording yote izimwe!! Na watu wote watoke anabaki yeye na current CEO tu!!

Listen!! Do you know why this man is here?? And how did he know PK is involved?

Ndio unambie!!

Iko hivi if we want to end born town we need to make him feel like he knows everything!! We need to make him think he still in control! We need to make him believe that he stil the godfather of this company!!

That is the only way!! I know evrything about him, he is my son in this game!! Nawajua vijana wake woote since the usually reports to me!! Na nlitaka ajue kuwa i am with you!!

unakumbuka we sent our boys to his town to track him and collect info?

Yes!?........

Sasa as soon as we received an info that PK wants in, we decided tunataka kupiga ndege wawili kwa jiwe moja as i told you before!! We want this company to be free!! We want to resert everthing!!

Okey!! So what are you doing....

Kinachoendelea hapa madam CEO is exactly how our plan is suporse to work!! we want to end born town and at the same time cut ties with PK forever!! It was us who liked info intentionaly to born town that shows PK and me we are in ! And we knew how he was going to react!!

So!!???

Siumeskia na kumuona hapa how mad he is!! He is not mad about me, he is mad of KP simply becouse PK and late CEO wanted to kill him in 2018!

Okey!! So kwanini hamkunambia ilo??

Becouse it wasnt the right time madam CEO!!

Sitaki kuskia tena kitu kama icho, i need to know everything kama mnataka tuendelee na hii plan sawa?

Yes madam! So as he said anataka investors wake haraka!! Give him his investors back!! Uko mbugani mpatie eneo lake analolitaka kama alivyosema!!

Huku kwenye vifaa vya umeme allow the deal to go on as he want!! Mpe cash flow yake!! Mpe kila anacho taka!! Just Show him that your still his servant!! Go abroad, bring back investors and his money, mengine tuachie we are on the right track and the plan is working so dont worry! He will soon be forgoten!!


Am not sure!! Enheee Kuhusu watu wa PK mmesha wajua???

Yes madam we are almost done!! Sitakuleza chochote kuhusu hilo, but trust me this man born town his days are numberd!! In jis head now he is thinking about PK, me and late CEO team!! He can smile but deep down i know how he feels!!

Thats isnt my concern!! Mtaendelea kunijuza!! Ila before 2025 we need to end this sawa??

Sawa madam!!


And what abot late CEO team??

They say they dnt want you as CEO in 2025

Okey!! Lets deal with born town first then them!!

Sawa madam!!


Mzee anatoka kuelekea ofisini kwake, kichwani anamengi sana, plan ndio imeanza na imejibu kama ilivyo paswa!! Kichwani anaziona days za born town pamoja na yeye kuwa duniani zinafikia tamati soon!!

Yeye Akiwa kama key player kwenye plan ngumu ya kumuondoa mtu ambaye ameicost kampuni kwa mengi sana!! Mtu ambaye yeye mwenyewe amemlea na kumfunza karibia robo tatu ya anayo yafanya sasa!!

Anaumia kuona mwisho wao unakaribia ingawa Anajiona kama shujaa ajaye ila hatokuwa na jina kama wengine, machozi yana mtoka akiwa ka kaaa kwenye kiti akiitazama picha ya founder wa kampuni!!

Then sms inaingia kwenye simu yake!!


"Its either you or me this time"

Mzee anaisoma anasmile kisha ana reply!!

RIP in advance son!! Till we meet again!

***********************************************

END of season 1(dark days 2022)


in loving memory of late CEO
In loving memory of born town
In loving memory of mzee


Dear readers!! This is mark an end of season 1 dark days! As i am writing this; season two is on action!!

Napenda kuwashukuru woote for your suport, hate and funy coments!!

Kama kuna mahala nimewaangusha am sorry! Na kama kuna mahala tumefurahi it is good!!

One thing i promise you seson two is going to be lit, but siwez promise itakuwa lini[emoji24][emoji24][emoji24]


Thanks alot, i love you guys..... Ila kampuni yetu ina mazito mengi yaja stay tune and heads up!!
Dah hatari sana
 
Braza somtime muwe mnakausha,
mtoto wa kiume unatakiwa umindi yua business,

Ilikuwa ni usome story toa comment pita kushoto,, sasa wew ndio unaonekana shoga

Muacheni mngoni wangu, apumzike kuwajibu shit,.
Pilipili ya shambani yakuwashia nini?

Uniite shoga, uniite mbwa, uniite kunguni nk nk bado hutanibadilisha kwa lolote, hata huyo uliyepata kiherehere cha kumjibia jinsia yake anajua atabaki kama alivyo.

Siku zote matusi sio mtaji, nenda kalipe kodi kwa LUGUMWI 😁
 
Eyo naye anatokea kanda ya mwendazake ila upande B. Ni mkongwe kati ya wenyeviti wa kampuni pinzani zinazousaka u-C.E.O
Yaani kama born town angedhurika na ile sumu..ingekuwa ngum sana kujua kama hyu babu nae alikuwamo kumbe ni mbeba lawama tu masikin hajui chochote..loh ngoja nitafute pesa nimeamin kwa kias flan pesa inatetea uhai..na kama huna uhai wako upo mashakani..
 
Born town namkubali San pk hapn hamuwezi born town. Pk anaifuruga San mashark ya kina mayele hakutawaliki kule HV majuz wanataka kuzichapa na kina mayele mpk kina mayele kina bangala na mugalu wote kina moloko wanandamana kumpinga kp kuivamia campuni yao sijui kwann kp anajiamini mkp kutaka kuwafuruga kina bangala Ila pia kina mayele hamn kitu Kaz kupaaka nywele rangi bleaching na urembo wa kujichubua na kukata mauno huku rasilimali za kampuni yao ikichukuliwa na kp bila kikwazo yoyotee
Born town adumu tu kwa sas bado Nina Imani nae kwa jinsi anavyo dili na kp vinginevyo kp atakuja kuvamia kampuni hvhv
Yaan born town kwa moves zake lazima umpende. Wao wanaplan wanadhan na yeye hana plans na taarifa[emoji23][emoji23] pk apigwr kisawa sawa. Kwanza waende ngara kule wakawachomoe na hapo kigoma. Wawatoe woteee. Warudishwe kwao. Hatutaki shobo sisi. Pk mwenyewe afya yake mgogoro. Kimekondeana mpka moyo unaonekana kwenye ngozi[emoji23][emoji23]
Born town, nakuaminia katika hili... ila mpango wa hifadhi zetu kuwanyanyasa ndugu zetu hatutaki na kule miambani. Lakini naomba umgonge pk kisawa sawa.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom