Dark days 17/03/20...

Wee ujui kitu Wala uelewi adhar za paka wew umo umo tu kushangilikia vitu usivyo vijua kwa undani wake born town ataku backfire wee subiriaa
Hivi wee una tatizo gan? Mbna uko bitter sana, vipi umeachwaaaa?? Poleeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatimaye andiko la Tumia Akili linaenda kutimia. Yule mstaafu sasa anastaafishwa.
Vita ni kali, uwezekano wa kumstaafisha mstaafu ni mdogo sana.

Nasikia kuna komando mmoja akimwambia late CEO kuwa huwezi kuongoza kampuni bila kumwondoa born town. Akaomba apewe kazi ya kumwondoa born town. Late CEO akachelea mwana kulia. Kalia yeye.

Late CEO ni kama alimdharau born town kiuwezo katika medani ya vita. Ni bora angekubaliana na yule komando.
 
Late CEO hakupenda kuua ,sema ndio na jina kapachikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…