Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Vita ni kali, uwezekano wa kumstaafisha mstaafu ni mdogo sana.

Nasikia kuna komando mmoja akimwambia late CEO kuwa huwezi kuongoza kampuni bila kumwondoa born town. Akaomba apewe kazi ya kumwondoa born town. Late CEO akachelea mwana kulia. Kalia yeye.

Late CEO ni kama alimdharau born town kiuwezo katika medani ya vita. Ni bora angekubaliana na yule komando.
Mkuu huko kwenye kampuni kuna mengi sana hatujui..
Kiufupi Late CEO alijaribu sana tuu..

Narudia.. Late CEO hakumdharau... Bali alijaribu... Uzuri born town alikuwa akipewa taarifa kabla..

Hukuwahi kusikia mtaani kipindi flani walitumwa watu 5 kwa kazi maalum juu ya born town 4 wakarudisha jezi kwa kipa?
 
Mkuu huko kwenye kampuni kuna mengi sana hatujui..
Kiufupi Late CEO alijaribu sana tuu..

Narudia.. Late CEO hakumdharau... Bali alijaribu... Uzuri born town alikuwa akipewa taarifa kabla..

Hukuwahi kusikia mtaani kipindi flani walitumwa watu 5 kwa kazi maalum juu ya born town 4 wakarudisha jezi kwa kipa?
ajina nani hao mwana hebu hata DM tu nijue pekeyangu! Maisha kumbe yanaenda kasi ee
 
riwaya ndani ya riwaya...

history started far long time, Ex FUC aka Mr chair was part of it but his babu's confused him with their dreams......now its the history..

Tanzania ni zaidi ya wengi tuijuavyo, kuna mengi sana ya gizani, unavyowaza sio ilivyo... uhalisi unabaki gizani, ukiingia kuutafuta utapotea huko gizani... mmoja yuko hai..

Hata pale ofisi kuu wengi wanabaki gizani, ni wawili tu ndio nao ni sehemu ya walio gizani na wanajua mengi....

Nchi kuwa salama na watu kuishi mkwanywa bia na kuwa huru, mkalala na kugongana usiku TUTAMBUE KUNA MENGI GIZANI TUSIOYAONA...
Dah! Nazidi kupotezwa jamani
 
Mkuu huko kwenye kampuni kuna mengi sana hatujui..
Kiufupi Late CEO alijaribu sana tuu..

Narudia.. Late CEO hakumdharau... Bali alijaribu... Uzuri born town alikuwa akipewa taarifa kabla..

Hukuwahi kusikia mtaani kipindi flani walitumwa watu 5 kwa kazi maalum juu ya born town 4 wakarudisha jezi kwa kipa?
Aisee!
 
Hahaa nimekumbuka kitu..
Unajua hata kipindi hiko 70's Aliyekuwa CEO wa kwanza wa Kampuni yalishamtokea mara nyingi akawa anakwepeshwa na wasamaria wema..
Akataka kujua chanzo.. Akaambiwa umekaa sana kwenye kitu.. Achia madaraka yeye hasikii..
Kwenye 80's akiwa kwenye vikao vya ndani ya kampuni akasema nikitoka kwenye kiti hiki basi Mfanyakazi wangu hodari (anatoka kwenye jamii ya wafugaji) ndiye anayefaa..
Washikadau wa kampuni wakapigwa butwaa huyu msimamizi mkuu wa shughuli za kampuni anatusumbua namna hii kila dakika ni uhujumu uchumi...
Wakasema hapana.. Aliandaliwa msafara kutoka Makao kuja mjini akala mzinga wa hatari.. Ceo wa wakati huo alipopata taarifa ya msiba wa msaidizi wake mkuu wa shughuli.. Akajua kituo kinachofuata ni yeye mwenyewe.. Ndipo ikatoa tangazo kubwa kwamba NANG'ATUKA..
Basi washikadau wakatulia na ndipo ikaleta terms ya kuchukua kiti cha CEO ni miaka 10 tuu..
Ukizidisha kitakachokupata usilalamike..
Ebhana sio poa
 
Hilo nakubaliana na wewe, ila sio mtu mmoja bali ni kundi la watu. Ndio maana anajua yanayoendelea kwenye team zote 5
Katika hilo hata mimi pia nakubaliana na wewe, pengine hata jina hili la YOGA ni "acronym" ya majina fulani. Tukubali tu ya kwamba katika hii ni tamthiliya ndani yake imeshadadiwa na kushereheshwa na matukio fulani ambayo unaweza kusema kuwa baadhi yake yamewahi kutokea na kuwagusa moja kwa moja wahusika fulani halisi.

Kutokana na hizo "matching concepts" ni dhahiri kwamba uzi huu unafuatiliwa kwa ukaribu na umakini mkubwa sana na makundi ya wale ambao uhusika wao unafanana na watu fulani wenye hulka, haiba, tabia na matendo ya born town, Mkuu, late CEO and the likes.
 
Nimesoma hii story na comments kuanzia page ya kwanza mpaka mwisho nimegundua BORN TOWN ni mtu muhimu sana, ni kiungo bora sana kwenye kampuni na yuko well organized anaangalia mbali sana especially kwenye part ya security ya kampuni ahsante kwa hii hadithi ndugu [mention]yoga [/mention]
Ila ndiyo hivyo wahuni wameshammezesha ndoano.
 
Ukisoma hii riwaya kwa Malini ni Kama vile Kuna naked project somewhere, na ukizicode story na ukapigia misitari baadhi ya washirki unaona Kama Kuna likeji nyingi,ni Kama kusema kuwa wamezima CCTV camera halafu wakaweka mkanda unaojirudia au picha chafu, Sasa watu wanakazana kuangalia picha au replaing badala ya kujiuliza nn shida,

Mwisho was ck kunamahali wananataka kutupeleka halafu watatuacha solembe,

Kwenye jina la yoga naona some codes Ila ngoja tuache tu.
 
Nimesoma hii story na comments kuanzia page ya kwanza mpaka mwisho nimegundua BORN TOWN ni mtu muhimu sana, ni kiungo bora sana kwenye kampuni na yuko well organized anaangalia mbali sana especially kwenye part ya security ya kampuni ahsante kwa hii hadithi ndugu [mention]yoga [/mention]
Mkuu, ulichelewa sana kulitambua hili. He is the plan master. Yaani ndo playmaker.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wee sema nikudadavulie, kwa code gan ngumu hapo? Woiiiiiiih
Outsider, Insider, Mr Culture, aliyeoigiwa simu na KP kupewa pole ya kuumwa, ambaye anadaiwa late CEO alimfanya vibaya ambaye ni rafiki wa mpiga simu. Who is this? Mr Culture na huyu ni watu wawili tofauti, aliyeoigiwa simu anampigia cyrrent CEO simu wanakutana na kupanga mipango.
 
Back
Top Bottom