Dark days 17/03/20...

Urusi hii inatumika mpaka kesho, ukihama mtaa lzm uwe na noti ya ulikotoka na ukifika mtaa mpya unalipoti na kukabidhi noti ya ulikotoka, sio huki siku izi unahamia mtaa fulani ni ww na mwenye nyumba na hata huyo mwenye nyumba hana muda wa kukujia mradi madalali wamekuketa washapata chao biashara imeisha yy anataka chake muachane
 
Duh
 

Late CEO alikuwa na uwezo mdogo sanaaaaaaaaaaa wa kufikiri, that is why at times he was Acting like an idiot
 
Moja kati ya code ngumu kuielewa ni hii ya Mr Lagu na Mr Eyo kama kuna anaejua anisaidie kunifungilia hizi code maana zinakuja halafu zinakataa
 
mkuu tupe dondoo ilikuaje
 
Ni kweli mkuu.
 
Hahaha bongo bana, wakati mimi sina hata kumi, wengine wanawaza vyeo kweli hatufanani...
 
Hebu soma vizuri hii riwayaaa.
 
Hahaha bongo bana, wakati mimi sina hata kumi, wengine wanawaza vyeo kweli hatufanani...
Mkuu
Hatma ya Maisha ya mtu ipo KWENYE ujumbe ambao unapokea mara kwa mara kutoka KWA watu mbali mbali wakati wa makuzi yako!!

Ishi hatma YAKO KILA mtu ana mission to acomplish!!!

Kile kilocho jaa moyoni ndicho kimtokacho mtu!!!
 
Hili jukwaa kubwa sana kwako ,yoche soma kuanzia kulia kwenda kushoto
ni mangula na cheyo ndiyo walienda kuhudhuria nafasi ya uapisho.
cheyo alienda kama mpinzani na mangula alienda kama chama TAWAla wakati huo kikwete alienda kama muwakikishi wa jiwe.

sumu ili leta effect kwa mangula mpaka akalazwa, na ilizushwa yule kibiongo kamfanyizia mangula, kumbe ni ile side effect
 
Sawa kiongozi
 
Tuna mawazo sawa. Sipati picha ni namna gani wanavyopata wakati mgumu wa kutamani kumjua huyu fanani wetu.
 

Ongeza nyama kidogo Mr samurai, natamani kujua zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…