Dark days 17/03/20...

Mkuu yoga asante sna kwa tamthilia hii, kwa kifupi tamthilia hii ingekuwa inaongelea vijiweni watu wangepigana visu na kutoana roho kutokana na ushabiki na chuki kutoka kambi mbili hasimu, kambi ya Wahuni aka Walamba asali na Jiwe gang(sijaandika Sukuma gang kwa makusudi kwa kuwa hakuna Sukuma gang bali ni nadhalia tu, Jiwe gang ni wale wanyonge wote Tanzania ambao walikuwa wanataka haki,na Walamba asali ni kikundi cha wachache wadini na mafisadi walioshika uchumi wa kampuni na bado wanataka kuzidi kulamba asali hata vitukuu vyao ni vilamba asali)
 
I was there na nilitoka na michuzi ya kutosha ilikuwa around 2000hrs
 
Kwamba umefanikiwa kupata info za PK, za Madam na za Borntown kwa pamoja!!!??? Acha tusome kama story tu
 
Kwamba jamaa alipewa zawadi yenye novichok ikamkausha msaidizi na YEYE anafuata sio!!?
Gari ya mil 800!!?
Codes nyingi kaka, bado tunaendelea kuunga dotes dotes. Tupate full pic.
Tunachengwa na kesi wa aliyekua boss wa hai na kijana pendwa wa the late ceo, kuna wale uviko, kuna kule mbugani.
Kuna fukuto huko, moshi uendelee kutoka tutajua moto unapowakia.
 
Mkuu ebu nipe nyepesi nyepesi ya hyo taarifa kwa kitumia code nyingine hii ni ngumu
Yule dada wa taifa sham nginja

Anasema baada ya MSTAAFU anaeaga kuwa upande current CEO Hadi kuhakikisha anaapishwa kukaaa kitini!!

Alipelekewa zawadi ya gari ya mil.800 kama zawadi Sasa baada ya KUPEWA funguo akamtuma kijana wake akakague Gari !yule msaidizi akakauka ndani ya Gari na kufa papi HAPO !!KUMBE ilikuwa mtego KWA muagaji wa magu kule Mwanza!

Dada Anasema japo ameomba kustaafu lakini too late coz sumu ishaingia kwenye blood circulatory system!na ata nock down soon and his days are numbered!!!

Decoded!

Refer DK 45 za ITV majuzi akihojiwa na Farhia huyo anaehojiwa Ndio Huyo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…