Dark days 17/03/20...

Mungu na mungu ni tofauti. Muumba mbingu na vilivyomo ni Mungu sio mungu (sijakose). Hata mimi na wewe tunaweza kuwa na sifa ya mungu.
Hata Bibia inasema sisi ni miungu wadogo hapa duniani. Ni kweli tunapoamini na kuabudu asiye Mungu wa herufi kubwa "M" tunakuwa tunamuamini mungu katika umoja na miungu katika wingi.

Upo sahihi mkuu.
 
Hapo ndipo akili zako zilipoishia. Dini haikupeleki kokote, Mbinguni hakuna dini ya wasabato, Rumi, nk.

Ukristo Si DINI ni IMANI. Hata waislam ni wakristo sababu Wanaoamini juu ya ISSA.

Hilo nalo ni darasa lingine.

Badilika.
Aiseh
Waislamu nao ni wakristo wanamwamini issah Bin Mariam!!!!
Sijawahi sikia HII kitu Ndio nasikia kwako NDUGU!!
 
Aiseh
Waislamu nao ni wakristo wanamwamini issah Bin Mariam!!!!
Sijawahi sikia HII kitu Ndio nasikia kwako NDUGU!!
Mungu ni MMOJA.


Mafundisho ya utatu ni ya masonryyy ALAMA ya bikari, Bermuda nk ni mafundisho ya MASHETANI.

Kama walivyochakachua dini ya romee, waliingiza pia na Kwa isl.... Wakaingiza NYOTA na mwezi viabudiwe., Vitabu vya kutengeza majini navyo ndani. Nk nk.

Yesu wa Biblia ndo ISSA wa q....n, ndo huyo atakayerudi kuuhukumu ulimwengu Kwa wote wasiomwamini.

IMANI,IMANI, wote wasioamini kuhusu huyo ni wapinga Kristo. So ni wamoja, Islam na christians, Mungu MMOJA.

Amen, Amen, Amen.
 
Hiyo deepppp staaaaattttt, iliyojichimbia ndani gizani ndo hyo bikari, pembetatuu, jua na mwezi kama trkey na Sunday JUA kama Romeee.

CEO yeyote akizingua lazima Aondoke, ni kampuni ndani ya KAMPUNI chini Sanaa.

Zamani Mungu ndo alikuwa MTAWALA mf ktk Israel, akisaidiwa na makuhani.

Wakapinga WANADAMU wakataka mfalme, wakapewa Sauli mfalme wa kwanza Israel.

Mungu hakuondoka moja Kwa moja kitini, aliendelea kufanya KAZI deeeep kupitia manabii. Na walipozingua aliwatoa Kwa KITI.

Kama kawa, Shetani akaiga. Romeee ilipotawala kampuni zote duniani, walipopambania uhuru kampuni zikajitawala, Romeee hakutoka direct, alihamia deeeeep deeeep sana. Underground.

Hakuonekana direct bt kamba zake za ndani gizani zikiendelea kutawala.

Mwandishi anaandika Dark Days za kampuni yetu, sababu kubwa kbs za late CEO kuleft ni kuenda tofauti na maelekezo ya deeeeep under romeeee,

Mabwana waliagiza kampuni zote ziwapige Chapa members wote wawe zombies, wengi walikubali bt waliokataa waliondoka Kwa nguvu ya mtutu,

Kumbuka kampuni kama 2 za north afr.... Waliingiza WAZEE Hadi chumbani wakawaondoa ma CEOs,

Na hapa kwetu ndicho kilichotokea, wako deep sana sana.

Unaweza usimuelewe SAMURAI asemacho bt anawaongelea hao, na huyo BT ni mmoja wao wa ndani gizani.

Anasema WAZEE wa Saigon mwanamkubali ni wao...ni Kweli, vita hiyo so ndogo.

Niliwahi kuongelea Mapepo ktk form ya kibinadamu bt hamkuelewa, ni deeep Dow...n gizani.


Deeeep deeeep sana, ht trum..p... Amewahi kuwalalamikia ni very powerful.. Pembetatuu, bikari, verrr deeep.

Hata jukwaaaa hili ni deeeeep down.... Sana sana. Mwanzilishi wake...verrry deeep.

Asomaye na afahamu!!!!!

Amen Amen, Amen.
 
Hadi nimeogooa Sana!!tupo uchi Sana humu!!
 
Mkuu
NDIO MAANA
Walipomshikilia kijana WETU!!
Ambaye anajulikana kama mwanzilishi wa jukwaa!hawakuweza kumtia hatiani coz YEYE ni nembo tu wapo wenyewe!wenye jukwaa lao!!!
 
Nabii Eliya alimwambia Mfalme Ahabu atubu kwani ana dhambi nyingi ameua watu. Mfalme Ahabu akashupaza shingo kwa kuwa alikuwa na Jeshi la wafilisti wenye nguvu.
 
Unatuchanganyia uongo na ukweli unataka tukuamini kuwa unasema ukweli??🤣🤣
 
Mkuu
NDIO MAANA
Walipomshikilia kijana WETU!!
Ambaye anajulikana kama mwanzilishi wa jukwaa!hawakuweza kumtia hatiani coz YEYE ni nembo tu wapo wenyewe!wenye jukwaa lao!!!

Mkuu
NDIO MAANA
Walipomshikilia kijana WETU!!
Ambaye anajulikana kama mwanzilishi wa jukwaa!hawakuweza kumtia hatiani coz YEYE ni nembo tu wapo wenyewe!wenye jukwaa lao!!!
Ni jukwaa lake bt yy ni level za international.
 
Samahani, maelezo yako Ni mazuri na yamenyooka. Je tunaweza kuyapata wapi ili tujifunze zaidi? MFANO hili la kiti Cha uceo kutokukalika na wanaomwamini YESU wote watakilimbilia Tanzania?
 
Mkuu ni vipi naweza kufika huko gizani??
 
Mkuu ni vipi naweza kufika huko gizani??
Huko mkuu hakufikiki.....

Watu wa huko ni wazee na wengine wastaafu... (vijana wachache) kuna mmoja alikuwa kwenye mission za UN for 30 years.. (just imagine)..
Hawa watu wanajua siri za kampuni mbalimbali huko nje...

Wachache wako kazini mfano humu katajwa mmoja tuu... Mr Unknown...

Kama unakumbuka alijifanya anaumwa akaondoka kwenda nje kwa matibabu.. (kabla ya dark days) Kumbe yupo kazini kwa namna nyingine...

Hao watu wa gizani hata humu ndani wapo... ila kuna vigezo vizito sana kuingia huko... hao watu wana hela sio kawaida... pia wana IQ kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…