Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Dunia itapigwa mapigo ya kutisha, bahari na mto Nile vitakauka, jambo litakalopelekea taabu, maji yatapatikana CHANZO Cha mto NILE pekee ambapo ni Tanganyika.
Isaya 19:5-7. Ni hivi:



Baada ya Gharika, Nuhu alizaa watoto watatu.

1.Hamu 2. Yafeth 3. Shemu.
Dunia yote imejazwa mataifa Kutoka hao watatu.

.HAMU kamzaa :
1.Kushi 2. MISRI 3. Put 4. Canaan.

YAFETH kamzaa:
1.Gomeri 2. Magogu 3.Madai 4. Yaani 5. Javani nk.

Shemu akamzaa:
1.Elamu 2. Ashuru 3. Alfaksad 4. Ludi 5. Aramu

MATAIFA YOTE YATAABUBU PAMOJA. Isaya 19:23,24.

Katika siku hiyo itakuwako njia KUU itokayo MISRI na kufika hata ASHURU,

Mwashuri atafika MISRI na MISRI atafika Ashuru. Na wamisri wataabudu pamoja na waashuri.

19:24 Katika siku hiyo Israeli atakuwa wa TATU pamoja na MISRI na Ashuru.

Watakuwa baraka kati ya Dunia.

MADHABAHU MISRI: (Isaya 19:19.).

Katika siku hiyo itakuwako madhabahu katika Nchi ya MISRI Kwa BWANA.

TAFSIRI YA MISRI KIUNABII.

1. MISRI ni mtoto wa HAMU mwana wa NUHU.
2. MISRI ni Nchi iliyopo Africa, usisahau Wana wa HAMU kushi na Canaan, Puti na MISRI ni mataifa ya AFRICA.

3. MISRI ya KIROHO. Tanganyika au NYIKANI. Ufunuo 11:8.

Mji Ule mkuu, uitwao Kwa jinsi ya ''Roho'' Sodoma, na MISRI.
Ikumbukwe kuwa mji wa Sodoma na gomora na Gaza alitawala mtoto wa HAMU aitwaye Canaan alielaaniwa na babaye. MWANZO 10:1-32.

TANGANYIKA au NYIKANI kama sehemu salama ya kukimbilia: (Ufunuo 12:6,14).

JoKA akisubiri MWANAMKE azae Ili ammeze mtoto., MWANAMKE akazaa, mtoto akatwaliwa MBINGUNI.

JoKA akakasirika, yule MWANAMKE akakimbilia NYIKANI ambapo ana Mahali palipotengenezwa na Mungu Ili wamlishe huko muda wa siku Elfu mia mbili na sitini.

MTOTO=YESU,YESHUA,ISSA alienyakuliwa Mbinguni.

MWANAMKE=KANISA,KUSANYIKO la waaminio MUNGU mmoja.

Mahali SALAMA panapoandaliwa kumtunza MWANAMKE au kanisa, wamwabuduo Mungu mmoja ktk siku hizi za mwisho ni TANGANYIKA.

Ufunuo 12:15. NYOKA akatoa maji mithili ya mto ammeze,Nchi ikamsaidia MWANAMKE, ikayameza maji, MTO NILE ukakauka.

Tanganyika akimbiliapo MWANAMKE maji hayatakauka ambapo ndio chanzo Cha mto NILE.

MATAIFA YOTE wamwabuduo Mungu mmoja na Kumkiri YESU kuwa ni Masihi watakuja huku ambapo Mungu amepaandaa special walindwe dhidi ya JoKA. Na huku pekee ndo patakuwa na MAJI.

ABT, KITI CHA U-CEO wa kampuni yetu kutokalika:
Fuatilia Unabii juu ya KAMPUNI yetu, ingia You tube,, manabii wengi wameonyeshwa juu ya Hilo.

Pia imagine Mungu aiandae Nchi yetu kupokea jambo kubwa kiasi hicho amini lazima KUTIKISIKE na KUCHIMBIKE.

Asomaye na afahamu. Amen
Asante Sana kwa ufafanuzi. Nimekuelewa. Ubarikiwe. Tuendelee kujifunza zaidi.
 
Dunia itapigwa mapigo ya kutisha, bahari na mto Nile vitakauka, jambo litakalopelekea taabu, maji yatapatikana CHANZO Cha mto NILE pekee ambapo ni Tanganyika.
Isaya 19:5-7. Ni hivi:



Baada ya Gharika, Nuhu alizaa watoto watatu.

1.Hamu 2. Yafeth 3. Shemu.
Dunia yote imejazwa mataifa Kutoka hao watatu.

.HAMU kamzaa :
1.Kushi 2. MISRI 3. Put 4. Canaan.

YAFETH kamzaa:
1.Gomeri 2. Magogu 3.Madai 4. Yaani 5. Javani nk.

Shemu akamzaa:
1.Elamu 2. Ashuru 3. Alfaksad 4. Ludi 5. Aramu

MATAIFA YOTE YATAABUBU PAMOJA. Isaya 19:23,24.

Katika siku hiyo itakuwako njia KUU itokayo MISRI na kufika hata ASHURU,

Mwashuri atafika MISRI na MISRI atafika Ashuru. Na wamisri wataabudu pamoja na waashuri.

19:24 Katika siku hiyo Israeli atakuwa wa TATU pamoja na MISRI na Ashuru.

Watakuwa baraka kati ya Dunia.

MADHABAHU MISRI: (Isaya 19:19.).

Katika siku hiyo itakuwako madhabahu katika Nchi ya MISRI Kwa BWANA.

TAFSIRI YA MISRI KIUNABII.

1. MISRI ni mtoto wa HAMU mwana wa NUHU.
2. MISRI ni Nchi iliyopo Africa, usisahau Wana wa HAMU kushi na Canaan, Puti na MISRI ni mataifa ya AFRICA.

3. MISRI ya KIROHO. Tanganyika au NYIKANI. Ufunuo 11:8.

Mji Ule mkuu, uitwao Kwa jinsi ya ''Roho'' Sodoma, na MISRI.
Ikumbukwe kuwa mji wa Sodoma na gomora na Gaza alitawala mtoto wa HAMU aitwaye Canaan alielaaniwa na babaye. MWANZO 10:1-32.

TANGANYIKA au NYIKANI kama sehemu salama ya kukimbilia: (Ufunuo 12:6,14).

JoKA akisubiri MWANAMKE azae Ili ammeze mtoto., MWANAMKE akazaa, mtoto akatwaliwa MBINGUNI.

JoKA akakasirika, yule MWANAMKE akakimbilia NYIKANI ambapo ana Mahali palipotengenezwa na Mungu Ili wamlishe huko muda wa siku Elfu mia mbili na sitini.

MTOTO=YESU,YESHUA,ISSA alienyakuliwa Mbinguni.

MWANAMKE=KANISA,KUSANYIKO la waaminio MUNGU mmoja.

Mahali SALAMA panapoandaliwa kumtunza MWANAMKE au kanisa, wamwabuduo Mungu mmoja ktk siku hizi za mwisho ni TANGANYIKA.

Ufunuo 12:15. NYOKA akatoa maji mithili ya mto ammeze,Nchi ikamsaidia MWANAMKE, ikayameza maji, MTO NILE ukakauka.

Tanganyika akimbiliapo MWANAMKE maji hayatakauka ambapo ndio chanzo Cha mto NILE.

MATAIFA YOTE wamwabuduo Mungu mmoja na Kumkiri YESU kuwa ni Masihi watakuja huku ambapo Mungu amepaandaa special walindwe dhidi ya JoKA. Na huku pekee ndo patakuwa na MAJI.

ABT, KITI CHA U-CEO wa kampuni yetu kutokalika:
Fuatilia Unabii juu ya KAMPUNI yetu, ingia You tube,, manabii wengi wameonyeshwa juu ya Hilo.

Pia imagine Mungu aiandae Nchi yetu kupokea jambo kubwa kiasi hicho amini lazima KUTIKISIKE na KUCHIMBIKE.

Asomaye na afahamu. Amen
kuna unabii ulikuwa unaandikwa kwenye gazeti la TAZAMA lililokuwa linatoka kila jumanne kwa wiki mwandishi anaandika kama wewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko mkuu hakufikiki.....

Watu wa huko ni wazee na wengine wastaafu... (vijana wachache) kuna mmoja alikuwa kwenye mission za UN for 30 years.. (just imagine)..
Hawa watu wanajua siri za kampuni mbalimbali huko nje...

Wachache wako kazini mfano humu katajwa mmoja tuu... Mr Unknown...

Kama unakumbuka alijifanya anaumwa akaondoka kwenda nje kwa matibabu.. (kabla ya dark days) Kumbe yupo kazini kwa namna nyingine...

Hao watu wa gizani hata humu ndani wapo... ila kuna vigezo vizito sana kuingia huko... hao watu wana hela sio kawaida... pia wana IQ kubwa sana
Aisee
 
Narudia tena this is a story haiusiani na chochote please [emoji16][emoji16][emoji16] tusome tu!! Nothing sereous!!
Kuna mtu kaniambia Mshana dark days ni coded thread yenye kugusa maslahi makubwa ya wakubwa..MAKINIKA NAYO..! Tangu hapo nimeuogopa huu uzi[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
Mkuu
Hakuna adventists wa kweli KABISA anaekubali mafundisho ya UTATU mtakatifu Eti Mungu baba,mwana na Roho mtakatifu labda Adventist wa mchongo!!!
Hao adv.....nao wamekwama, hawaamini juu ya Roho mtakatifu pia hawazijui codes au lugha za Mbinguni na za Malaika.


Mungu ni MMOJA, Roho mtakatifu ni Roho alietumwa na Yesu baada ya kupaa Mbinguni.

KAZI yake ni kukaa ndani na kuwafundisha wamwaminio Yesu wasipotee.

Anawapa wamwaminio uwezo wa kulifungua na kulitumia ''JICHO'' la ROHO, kuingia Ulimwengu wa ROHO kupitia NURU.

kule gizani wanalitumia kuingia Ulimwengu wa Giza. Wanaliita ''JICHO'' la tatu lipo katikati ya paji la uso.

Wale wa mbali GIZANI wakiwa kwenye madhabahu zao zipo CODES za lugha wazitumiazo kuwasiliana na mamlaka za juu Ili kupata majibu ya maswali ya watawaliwa.

Vile vile Wamwanio Yesu, YESHUA au ISSA, walipewa uwezo wa kutumia lugha hizo za CODES Ili kuwasiliana na mamlaka za JUU sana za NURU kuanzia MBINGU ya NNE Hadi ya SABA.

Lugha hizo kuwekwa ktk Codes ni kuwaficha mapepo na mashetani wasijue mkristo aombacho Kwa Mungu juu, maana hawazijui lugha za Mbinguni na za Malaika.

Cha kushangaza ni kuwa Codes za gizani Mungu aliye juu ana mamlaka kuzifungua ndomana Siri zao Huwa zinavuja.

Biblia Ina Kila kitu wazi, bt hizi Dini wanachukua baadhi na kuacha mengine.

Pia wanatafsiri maandiko vibaya kuwapotosha wavivu wa kusoma na kufungua codes kupitia ROHO Mtakatifu.

Aliye na JICHO la ROHO la NURU kupitia ROHO Mtakatifu Hana haja ya kutabiriwa na wahuni, au kunyweshwa maji ya wafu sababu ANAONA Kila kitu.

Tunapoekekea ukianza Utaratibu wa DINI moja ya MPINGA Kristo,Dini zote zitayeyuka, na watu wote watakaopinga watajikusanya na kuungana, vuguvugu Hilo la kujikusanya limeshaanza underground.

Amen.
 
Hao adv.....nao wamekwama, hawaamini juu ya Roho mtakatifu pia hawazijui codes au lugha za Mbinguni na za Malaika.


Mungu ni MMOJA, Roho mtakatifu ni Roho alietumwa na Yesu baada ya kupaa Mbinguni.

KAZI yake ni kukaa ndani na kuwafundisha wamwaminio Yesu wasipotee.

Anawapa wamwaminio uwezo wa kulifungua na kulitumia ''JICHO'' la ROHO, kuingia Ulimwengu wa ROHO kupitia NURU.

kule gizani wanalitumia kuingia Ulimwengu wa Giza. Wanaliita ''JICHO'' la tatu lipo katikati ya paji la uso.

Wale wa mbali GIZANI wakiwa kwenye madhabahu zao zipo CODES za lugha wazitumiazo kuwasiliana na mamlaka za juu Ili kupata majibu ya maswali ya watawaliwa.

Vile vile Wamwanio Yesu, YESHUA au ISSA, walipewa uwezo wa kutumia lugha hizo za CODES Ili kuwasiliana na mamlaka za JUU sana za NURU kuanzia MBINGU ya NNE Hadi ya SABA.

Lugha hizo kuwekwa ktk Codes ni kuwaficha mapepo na mashetani wasijue mkristo aombacho Kwa Mungu juu, maana hawazijui lugha za Mbinguni na za Malaika.

Cha kushangaza ni kuwa Codes za gizani Mungu aliye juu ana mamlaka kuzifungua ndomana Siri zao Huwa zinavuja.

Biblia Ina Kila kitu wazi, bt hizi Dini wanachukua baadhi na kuacha mengine.

Pia wanatafsiri maandiko vibaya kuwapotosha wavivu wa kusoma na kufungua codes kupitia ROHO Mtakatifu.

Aliye na JICHO la ROHO la NURU kupitia ROHO Mtakatifu Hana haja ya kutabiriwa na wahuni, au kunyweshwa maji ya wafu sababu ANAONA Kila kitu.

Tunapoekekea ukianza Utaratibu wa DINI moja ya MPINGA Kristo,Dini zote zitayeyuka, na watu wote watakaopinga watajikusanya na kuungana, vuguvugu Hilo la kujikusanya limeshaanza underground.

Amen.
Jicho la tatu !!!?Nilijua ni mambo ya giza AMBAYO hata MUNGU Mwenyezi hayataki yakiendana na ulozi hasa uchawi kiasi KWAMBA ninchukizo mbele za Mungu!!!
Mafundisho ya kulifungua yapo HUMU kupitia meditation!!!
Sasa SIJUI kulifungua kiroho ndio Hivyo au lah!!!?
JOCHO LA TATU NA MAMBO YA KIROHO !!!?
JAMBO JIPYA KABISA HILI AISEH!!?
Baadhi ya mafundisho yaliyoachwa ni pamoja na kitabu cha henoko!!!?Book of Enoch!!!?
 
Jicho la tatu !!!?Nilijua ni mambo ya giza AMBAYO hata MUNGU Mwenyezi hayataki yakiendana na ulozi hasa uchawi kiasi KWAMBA ninchukizo mbele za Mungu!!!
Mafundisho ya kulifungua yapo HUMU kupitia meditation!!!
Sasa SIJUI kulifungua kiroho ndio Hivyo au lah!!!?
JOCHO LA TATU NA MAMBO YA KIROHO !!!?
JAMBO JIPYA KABISA HILI AISEH!!?
Baadhi ya mafundisho yaliyoachwa ni pamoja na kitabu cha henoko!!!?Book of Enoch!!!?
Kitabu Cha HENOKO walikificha warumi na Wayahudi wasiomkubali Kristo.

Ulimwengu wa ROHO ni mmoja.

Inategemea sasa unaingiaje ikiwa ni kupitia GIZA au kupitia NURU.

Kama Unaamini katika Mungu mmoja na unamwamini Yesu ni DHAMBI kujifunza kulitumia Hilo JICHO la tatu.

Ingia Ulimwengu wa ROHO kupitia MAOMBI, Roho Mtakatifu yupo kuonyesha Yote yalojificha. Amen
 
Dunia itapigwa mapigo ya kutisha, bahari na mto Nile vitakauka, jambo litakalopelekea taabu, maji yatapatikana CHANZO Cha mto NILE pekee ambapo ni Tanganyika.
Isaya 19:5-7. Ni hivi:



Baada ya Gharika, Nuhu alizaa watoto watatu.

1.Hamu 2. Yafeth 3. Shemu.
Dunia yote imejazwa mataifa Kutoka hao watatu.

.HAMU kamzaa :
1.Kushi 2. MISRI 3. Put 4. Canaan.

YAFETH kamzaa:
1.Gomeri 2. Magogu 3.Madai 4. Yaani 5. Javani nk.

Shemu akamzaa:
1.Elamu 2. Ashuru 3. Alfaksad 4. Ludi 5. Aramu

MATAIFA YOTE YATAABUBU PAMOJA. Isaya 19:23,24.

Katika siku hiyo itakuwako njia KUU itokayo MISRI na kufika hata ASHURU,

Mwashuri atafika MISRI na MISRI atafika Ashuru. Na wamisri wataabudu pamoja na waashuri.

19:24 Katika siku hiyo Israeli atakuwa wa TATU pamoja na MISRI na Ashuru.

Watakuwa baraka kati ya Dunia.

MADHABAHU MISRI: (Isaya 19:19.).

Katika siku hiyo itakuwako madhabahu katika Nchi ya MISRI Kwa BWANA.

TAFSIRI YA MISRI KIUNABII.

1. MISRI ni mtoto wa HAMU mwana wa NUHU.
2. MISRI ni Nchi iliyopo Africa, usisahau Wana wa HAMU kushi na Canaan, Puti na MISRI ni mataifa ya AFRICA.

3. MISRI ya KIROHO. Tanganyika au NYIKANI. Ufunuo 11:8.

Mji Ule mkuu, uitwao Kwa jinsi ya ''Roho'' Sodoma, na MISRI.
Ikumbukwe kuwa mji wa Sodoma na gomora na Gaza alitawala mtoto wa HAMU aitwaye Canaan alielaaniwa na babaye. MWANZO 10:1-32.

TANGANYIKA au NYIKANI kama sehemu salama ya kukimbilia: (Ufunuo 12:6,14).

JoKA akisubiri MWANAMKE azae Ili ammeze mtoto., MWANAMKE akazaa, mtoto akatwaliwa MBINGUNI.

JoKA akakasirika, yule MWANAMKE akakimbilia NYIKANI ambapo ana Mahali palipotengenezwa na Mungu Ili wamlishe huko muda wa siku Elfu mia mbili na sitini.

MTOTO=YESU,YESHUA,ISSA alienyakuliwa Mbinguni.

MWANAMKE=KANISA,KUSANYIKO la waaminio MUNGU mmoja.

Mahali SALAMA panapoandaliwa kumtunza MWANAMKE au kanisa, wamwabuduo Mungu mmoja ktk siku hizi za mwisho ni TANGANYIKA.

Ufunuo 12:15. NYOKA akatoa maji mithili ya mto ammeze,Nchi ikamsaidia MWANAMKE, ikayameza maji, MTO NILE ukakauka.

Tanganyika akimbiliapo MWANAMKE maji hayatakauka ambapo ndio chanzo Cha mto NILE.

MATAIFA YOTE wamwabuduo Mungu mmoja na Kumkiri YESU kuwa ni Masihi watakuja huku ambapo Mungu amepaandaa special walindwe dhidi ya JoKA. Na huku pekee ndo patakuwa na MAJI.

ABT, KITI CHA U-CEO wa kampuni yetu kutokalika:
Fuatilia Unabii juu ya KAMPUNI yetu, ingia You tube,, manabii wengi wameonyeshwa juu ya Hilo.

Pia imagine Mungu aiandae Nchi yetu kupokea jambo kubwa kiasi hicho amini lazima KUTIKISIKE na KUCHIMBIKE.

Asomaye na afahamu. Amen
Wewe msabato unaleta hekaya zako.
Eti misri ya kiroho ni Tanganyika?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom