NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Nasikia wimbi la nne la corona NDIO kichaka cha yajayo yanayotungwa na kobe au!!?Ukiona kobe ametulia ujue ..........
KaribuHabari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!
After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,
Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
Wewe Yoga hujatumwa na PK kweli wewe?Habari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!
After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,
Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
If its true, pole sana kipenzi!! Anyways sina conection hiyo ila kuna wahusika wako humu wanapita pita hapa watakusaidia!! Pole sana
#seen#
This is naked truth sikupenda kujiweka wazi katika huu uzi ila imenibidi mimi mtoto wa mkulima nisiye na mtu wa kuweza kunishika mkono kunitoa Rufiji.If its true, pole sana kipenzi!! Anyways sina conection hiyo ila kuna wahusika wako humu wanapita pita hapa watakusaidia!! Pole sana
#seen#
Andika uzi..wahusika watauona kuwa na imani.This is naked truth sikupenda kujiweka wazi katika huu uzi ila imenibidi mimi mtoto wa mkulima nisiye na mtu wa kuweza kunishinda mkono kunitoa Rufiji.
Umetumia njia gani kujua kuwa neno NYIKANI ni TANGANYIKA?Dunia itapigwa mapigo ya kutisha, bahari na mto Nile vitakauka, jambo litakalopelekea taabu, maji yatapatikana CHANZO Cha mto NILE pekee ambapo ni Tanganyika.
Isaya 19:5-7. Ni hivi:
Baada ya Gharika, Nuhu alizaa watoto watatu.
1.Hamu 2. Yafeth 3. Shemu.
Dunia yote imejazwa mataifa Kutoka hao watatu.
.HAMU kamzaa :
1.Kushi 2. MISRI 3. Put 4. Canaan.
YAFETH kamzaa:
1.Gomeri 2. Magogu 3.Madai 4. Yaani 5. Javani nk.
Shemu akamzaa:
1.Elamu 2. Ashuru 3. Alfaksad 4. Ludi 5. Aramu
MATAIFA YOTE YATAABUBU PAMOJA. Isaya 19:23,24.
Katika siku hiyo itakuwako njia KUU itokayo MISRI na kufika hata ASHURU,
Mwashuri atafika MISRI na MISRI atafika Ashuru. Na wamisri wataabudu pamoja na waashuri.
19:24 Katika siku hiyo Israeli atakuwa wa TATU pamoja na MISRI na Ashuru.
Watakuwa baraka kati ya Dunia.
MADHABAHU MISRI: (Isaya 19:19.).
Katika siku hiyo itakuwako madhabahu katika Nchi ya MISRI Kwa BWANA.
TAFSIRI YA MISRI KIUNABII.
1. MISRI ni mtoto wa HAMU mwana wa NUHU.
2. MISRI ni Nchi iliyopo Africa, usisahau Wana wa HAMU kushi na Canaan, Puti na MISRI ni mataifa ya AFRICA.
3. MISRI ya KIROHO. Tanganyika au NYIKANI. Ufunuo 11:8.
Mji Ule mkuu, uitwao Kwa jinsi ya ''Roho'' Sodoma, na MISRI.
Ikumbukwe kuwa mji wa Sodoma na gomora na Gaza alitawala mtoto wa HAMU aitwaye Canaan alielaaniwa na babaye. MWANZO 10:1-32.
TANGANYIKA au NYIKANI kama sehemu salama ya kukimbilia: (Ufunuo 12:6,14).
JoKA akisubiri MWANAMKE azae Ili ammeze mtoto., MWANAMKE akazaa, mtoto akatwaliwa MBINGUNI.
JoKA akakasirika, yule MWANAMKE akakimbilia NYIKANI ambapo ana Mahali palipotengenezwa na Mungu Ili wamlishe huko muda wa siku Elfu mia mbili na sitini.
MTOTO=YESU,YESHUA,ISSA alienyakuliwa Mbinguni.
MWANAMKE=KANISA,KUSANYIKO la waaminio MUNGU mmoja.
Mahali SALAMA panapoandaliwa kumtunza MWANAMKE au kanisa, wamwabuduo Mungu mmoja ktk siku hizi za mwisho ni TANGANYIKA.
Ufunuo 12:15. NYOKA akatoa maji mithili ya mto ammeze,Nchi ikamsaidia MWANAMKE, ikayameza maji, MTO NILE ukakauka.
Tanganyika akimbiliapo MWANAMKE maji hayatakauka ambapo ndio chanzo Cha mto NILE.
MATAIFA YOTE wamwabuduo Mungu mmoja na Kumkiri YESU kuwa ni Masihi watakuja huku ambapo Mungu amepaandaa special walindwe dhidi ya JoKA. Na huku pekee ndo patakuwa na MAJI.
ABT, KITI CHA U-CEO wa kampuni yetu kutokalika:
Fuatilia Unabii juu ya KAMPUNI yetu, ingia You tube,, manabii wengi wameonyeshwa juu ya Hilo.
Pia imagine Mungu aiandae Nchi yetu kupokea jambo kubwa kiasi hicho amini lazima KUTIKISIKE na KUCHIMBIKE.
Asomaye na afahamu. Amen
una kichwa kizito kama uji wa magimbi.Code ya "kp" sijaweza kuifungua
Mwehu wewe mesiha usidharau mungu wa dini za watu mpuuzi weweMkuu umejiunga 2018, lakini fake id yako ina tarehe ya kuondoka mkuu aliye mbele ya haki! Is it coincidence au? Ndio ww masiha au tumsubiri mwingine?
Yoga tumeona mwaka huu kumetulia sana hakuna vifoo wala taharuki vp mwakani usalama itakuwepo au ndyo mmoja mmoja ataanza kuanguka
Huo ni unabii.Umetumia njia gani kujua kuwa neno NYIKANI ni TANGANYIKA?
Nimenotice Hilo, amefanya editing jinaLabda alibadili id baada ya msiba kutupata au!!!?
Thanks n much loveπππ€πππΉπΏRejea hashtag [emoji123]
zanzibar alishatoka?mtu mwenye roho mbaya duniani hakuna.Nimesoma hii passage umeweka codes nyingi ambazo umekuja kuzifungua fungua mbeleni.
Kibaya ni kwamba ujumbe mkubwa umeuficha kwenye elimination proccess ya CEO. Ingawa kwa uangalifu mkubwa sana umekwepa kuhusu uhusika wa bwana ngozi mwenye kijiwe chake kipya pale mji kasoro bahari.
Trust me, kuna yasiyojulikana yameanza kuvuja kwenye pakacha. Uhusika wa Born Town hauna shaka ila who is who ndo still coded until destined moment.
Jana hayo nilikuwa nasikikiza kwenye SINEMA pale kanisa la SABATO.ngoja tusubiriHuo ni unabii.
Ok dig deep maana ya Tanganyika na mipaka yake kabla ya ujio wa WAKOLONI ilianza na kuishia wap.
Nenda pia Lango la jiji, kawaulize wazee maana ya ''Bandari salama''.
Nenda ktk historia, uliza pia ilikuwaje hapa kukawa center ya ukombozi wa HARAKATI za ukombozi Afrika nzima na kimbilio la wote WALIODHULUMIWA HAKI.
MISRI ndipo alipokimbilia Mary na mtoto Yesu Kutoka Israel mara ya kwanza kuepuka mtoto kuuwawa na Pirato.
MISRI ya rohoni IPO Africa. Mto NILE umeanza nyanza Hadi MISRI. Chanzo ni hapa.
Mto NILE umetabiriwa kukauka, unadhan Israel na MISRI time hii watakambilia wapi kufuata maji?
Kikombe Cha Loliondo kilileta watu karibia Kutoka pande nyingi za Dunia ingawa kilitoka Kuzimu.
Yajayo yatakuwa zaidi ya hapo, Dunia nzima watakuja kupata pumziko hapa.
Amen
Soma mwenyewe usisikize, uliwackia wakitaja Tanganyika?Jana hayo nilikuwa nasikikiza kwenye SINEMA pale kanisa la SABATO.ngoja tusubiri