Huo ni unabii.
Ok dig deep maana ya Tanganyika na mipaka yake kabla ya ujio wa WAKOLONI ilianza na kuishia wap.
Nenda pia Lango la jiji, kawaulize wazee maana ya ''Bandari salama''.
Nenda ktk historia, uliza pia ilikuwaje hapa kukawa center ya ukombozi wa HARAKATI za ukombozi Afrika nzima na kimbilio la wote WALIODHULUMIWA HAKI.
MISRI ndipo alipokimbilia Mary na mtoto Yesu Kutoka Israel mara ya kwanza kuepuka mtoto kuuwawa na Pirato.
MISRI ya rohoni IPO Africa. Mto NILE umeanza nyanza Hadi MISRI. Chanzo ni hapa.
Mto NILE umetabiriwa kukauka, unadhan Israel na MISRI time hii watakambilia wapi kufuata maji?
Kikombe Cha Loliondo kilileta watu karibia Kutoka pande nyingi za Dunia ingawa kilitoka Kuzimu.
Yajayo yatakuwa zaidi ya hapo, Dunia nzima watakuja kupata pumziko hapa.
Amen