Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kama yeye mwenyewe alisema anayajua mapazia ya chumbani kwake, kwanini na wao wasiingie kuona kitanda chake?

Ukijifanya unaweza kwenda mbele wenzio wanarudi kinyume nyume lakini mnakutana sehemu moja.

Vitu vingine tusome kama story tu mkuu ili tuongeze siku za kuishi.
Kuna msemo wa kiswahili wanausemaga wazee flani "Ukijua vya hivi na wenzio nao wanajua vya hivi"
 
Yule dada wa taifa sham nginja

Anasema baada ya MSTAAFU anaeaga kuwa upande wa mama Hadi kuhakikisha anaapishwa kukaaa kitini!!

Alipelekewa zawadi ya gari ya mil.800 kama zawadi Sasa baada ya KUPEWA funguo akamtuma kijana wake akakague Gari !yule msaidizi akakauka ndani ya Gari na kufa papi HAPO !!KUMBE ilikuwa mtego KWA muagaji wa magu kule Mwanza!

Dada Anasema japo ameomba kustaafu lakini too late coz sumu ishaingia kwenye blood circulatory system!na ata nock down soon and his days are numbered!!!

Decoded!

Refer DK 45 za ITV majuzi akihojiwa na Farhia huyo anaehojiwa Ndio Huyo!!!
They wasted that man again. Dah, hii mambo sio okay kabisa.
 
KWAMBA!
Baada ya mapambano meengi Sana! kuumizana,kuuana,kutukanana,kusaidiana,kuacha legacy na kulitumukia TAIFA!
Kuna dhambi pia nimefanya sasa ni bora nikahiji nisamehewe dhambi niwe msafi kama Mtoto niliyezaliwa leo!
Ndipo nilipe sasa lile agano nilioingia na mungu wa Dunia Baada ya kunipigania na kufikia ndoto zangu!!ndipo nikamalizie safari yangu huko akhera(kuzimu) nilipopatia utajiri na heshima za kidunia!!
Nimuage na mke wangu kwa hija kengele imeshalia !!
Buriani !mtaniandika kwenye kitabu cha kumbukumbu!!!
NAJARIBU KUWAZA KWA SAUTI!WAKUBWA WANA MENGI SANA MIOYONI MWAO!!
ok,naona bt yuko na mj.,hii tamthiliya ije season 2
 
1. I seee kuna watu wana bahati, yule mzee mwenye miaka 98-1 + 0=.......ana bahati sana. Yaani watoto wake wawili wamebahatika kuwa ma ceo wa kampuni? Duh kweli walisema. Mtoto wa mchepuko lazima awe na akili ona alivyokuwa anavushwa vushwa madarasa kisa ana akili dah. Basi atakuwa na raha ndo maana kaishi sana. Kumbe ni katoto kake ka siri. Basi kuna watu watapinga, haya kabla ya kunipinga uje hapa uniambie baba yake ni nani? Mchepuko oyeee hata mimi nimetamani nizae katoto kangu ka kwanza na mtu mkubwa huwezi jua kakaja kuwa ka CEO ka kampuni.
Hapa nawaza wakikutana huwa wanaongea toto na dingi ake dah kweli alicho nacho ataongezewa, na ambae hana hata hicho kidogo atanyanganywa. 😀😀😀

2: Aaaaaaaa kumbe kile kiti ni cha moto huwezi kukikalia hivi hivi eeh? Unaambiwa kabla hajakikalia ilibidi apelekwe baharini akafanyiwe maombi siku tatu. Mwenzio kakikalia kachomolewa gafla wewe utaanzage kukikalia tena mimi nilivyo muoga ningeombewa baharini mwezi mzima kabisa.

Tusome vitabu bana hii kitu bila kuingia maktaba ukasoma huwezi ielewa. Hiyo no moja nilikuwa naichanganya na ya yule mtoto mwenye visima vingi vya kuchotea mawese ya kula .kama hujaelewa utajua mwenyewe.

Afu watu mnaotaja watu kwenye hii simulizi ya yoga sio vizuri , hii ni simulizi kama simulizi nyingine. Ila watu mnachukulia kweli duh.
 
Back
Top Bottom