Dark days 17/03/20...

Kuna msemo wa kiswahili wanausemaga wazee flani "Ukijua vya hivi na wenzio nao wanajua vya hivi"
 
They wasted that man again. Dah, hii mambo sio okay kabisa.
 
ok,naona bt yuko na mj.,hii tamthiliya ije season 2
 
1. I seee kuna watu wana bahati, yule mzee mwenye miaka 98-1 + 0=.......ana bahati sana. Yaani watoto wake wawili wamebahatika kuwa ma ceo wa kampuni? Duh kweli walisema. Mtoto wa mchepuko lazima awe na akili ona alivyokuwa anavushwa vushwa madarasa kisa ana akili dah. Basi atakuwa na raha ndo maana kaishi sana. Kumbe ni katoto kake ka siri. Basi kuna watu watapinga, haya kabla ya kunipinga uje hapa uniambie baba yake ni nani? Mchepuko oyeee hata mimi nimetamani nizae katoto kangu ka kwanza na mtu mkubwa huwezi jua kakaja kuwa ka CEO ka kampuni.
Hapa nawaza wakikutana huwa wanaongea toto na dingi ake dah kweli alicho nacho ataongezewa, na ambae hana hata hicho kidogo atanyanganywa. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

2: Aaaaaaaa kumbe kile kiti ni cha moto huwezi kukikalia hivi hivi eeh? Unaambiwa kabla hajakikalia ilibidi apelekwe baharini akafanyiwe maombi siku tatu. Mwenzio kakikalia kachomolewa gafla wewe utaanzage kukikalia tena mimi nilivyo muoga ningeombewa baharini mwezi mzima kabisa.

Tusome vitabu bana hii kitu bila kuingia maktaba ukasoma huwezi ielewa. Hiyo no moja nilikuwa naichanganya na ya yule mtoto mwenye visima vingi vya kuchotea mawese ya kula .kama hujaelewa utajua mwenyewe.

Afu watu mnaotaja watu kwenye hii simulizi ya yoga sio vizuri , hii ni simulizi kama simulizi nyingine. Ila watu mnachukulia kweli duh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…