Kuna msemo wa kiswahili wanausemaga wazee flani "Ukijua vya hivi na wenzio nao wanajua vya hivi"Kama yeye mwenyewe alisema anayajua mapazia ya chumbani kwake, kwanini na wao wasiingie kuona kitanda chake?
Ukijifanya unaweza kwenda mbele wenzio wanarudi kinyume nyume lakini mnakutana sehemu moja.
Vitu vingine tusome kama story tu mkuu ili tuongeze siku za kuishi.
Hii ngoma inanipeleka kwa snake xenzia (twisted eyez)So kuna wazee wawili?
Wa UK retired ila anayeongelewa na yoga anapiga kazi na ofisi yake ipo hapo makao makuu ya kampuni, wafungua code waliotangulia walimtambua kuwa ni Kachikum G, sasa code ya huyo wa UK ni ipi?
They wasted that man again. Dah, hii mambo sio okay kabisa.Yule dada wa taifa sham nginja
Anasema baada ya MSTAAFU anaeaga kuwa upande wa mama Hadi kuhakikisha anaapishwa kukaaa kitini!!
Alipelekewa zawadi ya gari ya mil.800 kama zawadi Sasa baada ya KUPEWA funguo akamtuma kijana wake akakague Gari !yule msaidizi akakauka ndani ya Gari na kufa papi HAPO !!KUMBE ilikuwa mtego KWA muagaji wa magu kule Mwanza!
Dada Anasema japo ameomba kustaafu lakini too late coz sumu ishaingia kwenye blood circulatory system!na ata nock down soon and his days are numbered!!!
Decoded!
Refer DK 45 za ITV majuzi akihojiwa na Farhia huyo anaehojiwa Ndio Huyo!!!
The issue is wanadamu tumewekewa fumbo kubwa sana. Huwezi ona rohoni kwa mwenzio anawaza nini! Laiti ingekuwa uwezekano huo uko nafsi za wengi zingepona. Fucck the system!!!Nyota Nini!!?utakataa zawadi kisa una nyota!!?
BLUETOOTHNifungulieni code ya BT wajameni
BLUETOOTH
bt na mjMzee wa msoga. View attachment 2284428
ok,naona bt yuko na mj.,hii tamthiliya ije season 2KWAMBA!
Baada ya mapambano meengi Sana! kuumizana,kuuana,kutukanana,kusaidiana,kuacha legacy na kulitumukia TAIFA!
Kuna dhambi pia nimefanya sasa ni bora nikahiji nisamehewe dhambi niwe msafi kama Mtoto niliyezaliwa leo!
Ndipo nilipe sasa lile agano nilioingia na mungu wa Dunia Baada ya kunipigania na kufikia ndoto zangu!!ndipo nikamalizie safari yangu huko akhera(kuzimu) nilipopatia utajiri na heshima za kidunia!!
Nimuage na mke wangu kwa hija kengele imeshalia !!
Buriani !mtaniandika kwenye kitabu cha kumbukumbu!!!
NAJARIBU KUWAZA KWA SAUTI!WAKUBWA WANA MENGI SANA MIOYONI MWAO!!
ππBLUETOOTH
...........Nimeonyeshwa kuwa patatokea tetemeko kubwa la ardhi hapa Tanzania ,...ambalo litaharibu makazi,.miundo mbinu nchini na baadhi ya maisha ya watu yatapotea..tujiandae kisaikolojia ndugu zangu..
ππππππππππππ hizo popcorn zitakuwa ni semi 2 za 4Oft containersNimeshaandaa popcorn za laki 9 na bia kreti 6 namsubiri hapa..
Kwamba!?Eti nasikia kuna tetesi mpya hapa mjini.
Mripoti ale ban.Mleta PICHA anaharibu Uzi Kwa namna moja au ingine.
Anatucheleweshea Season 2 Kutoka mapema.
Moja ya wahusika katika simulizi yetu karudisha jezi.Kwamba!?
utakua unachezewa na watu wa ukoo wako ww ndo maana unaota mambo ya ajabu,Nimeonyeshwa kuwa patatokea tetemeko kubwa la ardhi hapa Tanzania ,...ambalo litaharibu makazi,.miundo mbinu nchini na baadhi ya maisha ya watu yatapotea..tujiandae kisaikolojia ndugu zangu..
Huu kiboko mkuu [emoji41][emoji41]Kuna msemo wa kiswahili wanausemaga wazee flani "Ukijua vya hivi na wenzio nao wanajua vya hivi"
Mmh kazi ipo tuendelee kusikia na kutazama mapicha picha ya wazito wa kampuni yetu.Mkuu wakitengo cha taasisi ya moyo ila nahisi ana kazi zaidi ya hiyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wajameni tupendane tuBLUETOOTH