Dark days 17/03/20...

Oyaaa... nyie wa kanisani kaeni pembeni.. mnazingua. Sisi tuko hapa kwa mada ingine nyie mnaleta mambo mengine. Mnaboaaaaaaaa. Mnahimisha mada kabisaa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Umeniwahi mkuu, hawa wanaoleta mambo ya kanisa wamerukia tu huu uzi na kutaka kuuharibu mwenyewe Yoga alishaufunga hawa wa kwa Kakpbe/mwingira wantujazia inzi kwenye mada tofauti.
 
Hata utoke mapovu vipi nae BT atarudi mavumbini tena kwa mateso na kusaga meno
 
Kwa faida ya Nchi Born Town lazima apumzike. Atake asitake. Hakuna kiongozi atafanikiwa kama huyu Bwana yuko hai.

Keep waiting
Iyo mashine nyingine, may be Afe tokana na mda wake fika Duniani ila sio kwa michezo ya kijinga, mtu unapesa , unajua michezo michafu unakufaje KWA michezo ya kijinga? May be Kama hujui Dunia inaenda vipi na hu mshamba,sasa mwamba sio mshamba, Kuna sehem alikuepo, checkup ya mazingira yake ya kukaa sio ya kitoto , nilijaribu google ile mashine ndogo tu kama sim, sijapata ila anaejua aniambie nami niagize Kama haina mlolongo wa kuipata KWa matumizi yangu binfsi, ile ngoma naitaka, hivi mtu amekaa serikalin miaka kibao alafu atishwe na vitu vidogo? Wanaomtafuta wataondoka mmoja baada ya mwingine,ila yeye yupo acheni michezo wajomba
 

Hahaa ukiwaangalia macho ndio utajua hakuna haja ya DNA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…