Kwamba wewe na Etwege mna akili au siyoShule hamna hapo, kuandika tu hajui.
Hivi kwa nn mkiwa kwenye uzauzito mnakuwa na visirani sana? Mara nyingi nimekuuliza kwani ni lazima ubebe mimba?Kwamba wewe na Etwege mna akili au siyo
Hahahahaha kila siku nakuuliza mwanaume anakuwaje na mimba? Swali liko pale pale, je wewe na Etwege ndiyo watu wenye akili?Hivi kwa nn mkiwa kwenye uzauzito mnakuwa na visirani sana? Mara nyingi nimekuuliza kwani ni lazima ubebe mimba?
Ww ni mwanaume?Hahahahaha kila siku nakuuliza mwanaume anakuwaje na mimba? Swali liko pale pale, je wewe na Etwege ndiyo watu wenye akili?
polonium 204 killed Arafat 👇🏻 hapa kwetu wakifanya investigation hata kama ni miaka 100,bado watapa jibu litatoka tu kilichosababishaKabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Haaaa😎😎😎😎😎Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Seriously????Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
sawa tuko pamoja ,the saga continueTarget is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
GoodTarget is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Good
Nilipoona picha ya Bt Kule hija ikisambaa mtandaoni!Moyo ulishtuka Sana nikajua tayari anaaga kabisa!!!
Nikakumbuka na swali la mkewe Kule kikaoni kuhusu malipo ya wastaafu wake za ma CEOs wawe wanalipwa mishahara! nikajua ana hofu ya kua mwenyewe soon pale godfather akienda hell!!!
Nilipotazama ile picha ya Bt usoni kuna weupe fulani hv wa kupauka Sana kama mtu mweusi aleungua na maji akapona Huwa anapata makovu FULANI mekundu hivi nikaona ule sio weupe wa Nuru ninaoujua Mimi!!
Nipo Mkuu!!
Kinachofata ni spinning za kufa mtu!teuzi kibao Sana!Let it happens publicity.
Target locked.
Company is free.
Current CEO u'r safe.
What about KP? Is he safe or roots have burnt?
I Wonder.
ili picha ya bt na mj ilikua na kama ka ujumbe fulani.Good
Nilipoona picha ya Bt Kule hija ikisambaa mtandaoni!Moyo ulishtuka Sana nikajua tayari anaaga kabisa!!!
Nikakumbuka na swali la mkewe Kule kikaoni kuhusu malipo ya wastaafu wake za ma CEOs wawe wanalipwa mishahara! nikajua ana hofu ya kua mwenyewe soon pale godfather akienda hell!!!
Nilipotazama ile picha ya Bt usoni kuna weupe fulani hv wa kupauka Sana kama mtu mweusi aleungua na maji akapona Huwa anapata makovu FULANI mekundu hivi nikaona ule sio weupe wa Nuru ninaoujua Mimi!!
Now tagert is locked!!? current CEO is safe!!? pandora box opened!!?mid night 20/7/2022 a history in Bt company!!!?
I can conclude that the company now is going to be free!!!
Let's wait!!
Hata Tumia akili Alishaaga KWA kusema hii" imekamilika aga kabisa maana hutorudi""!
KWELI Hii ni stori tu!!
Huna lolote, tapeli mshenzi tu wewe.Target is locked ............
Mark the day.......
The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!
one of the historical moment in mr born town's company!
Now we can start season 2 .............
The Pandora box is opened.
Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........
15th of Agust!! Season two itakua hapa!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app