Dark days 17/03/20...

😂 😂 😂 😂 Umeeleweka 'Mdada"..
 
frm 20julai to 15agust 2022,siku km 27 hv, tutakusubiri
 
Such a nice story.

Hadithi Njoo, uongo Njoo, UTAMU koleaaaa.😃😃😃😃
 
Asante kaka[emoji28] ubarikiwe sana

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Kuna kanjanja mwenzako anaitwa samurai anawalaghai watu anajifanya anayajua ya ulimwengu usioonekana.

Maneno meengiii kujitia jasusi kumbe mchawi wa kawaida sana.

Wala hakuna jipya hapo. Tunatambua, marais wengi sio BINADAMU.

Mnawalaghai laghai wajinga tu.
 
Ndugu kama una ndoto za kuwa Kiongozi ndani ya KAMPUNI yetu ni usizime ndoto zako.

Baada ya Katiba mpya chagua Jimbo lolote, Usiogope.

Ifike mahala wadau muhimu watoke nyuma ya keyboard kulead members wa kampuni.

Ameeen
 
Zaa n MUSIBA
 
Hesabu 23:19

Mungu Si mtu, aseme uongo;
Wala Si mwanadamu,ajute;
IWAPO amesema, hatalitenda?
IWAPO amenena hatalifikiliza?


Future ya KAMPUNI yetu imo mikononi mwa Mungu, na Si WANADAMU,

Ukiamini Imetimia.

Ameeeen.
 
Kwanza nikushukuru kwa kuchukua muda wako na kuisoma "hadithi" hiyo juu! Asante sana mkaka!!

Pili nikushukuru kutoa mawazo yako kuhusu "hadithi hiyo hapo juu" nashukuru sana!!

Mwisho niombe kukukumbusha hadithi ulioisoma haijamtaja mtu, au kuwazungumzia watu ambao nimeona unataka wahusisha!

Niendelee kukujulisha kuwa natambua kuwa yaweza kuwa hadithi hiyo imekukwaza niseme pole saa na haikuwa dhamira ya fanani!!

Ila kuna msemo literature is a mirror of the society!! Na kila mmoja yupo free ku interprete alichokisoma from his/her point of view!!

Ubarikiwe sana!! Tukutane 15agust 2022 kama utapenda!!







Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Good.

Tuone hiyo tarehe nini kitajiri.

Halafu nitarejea hapa kwenye huu uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…