Dark days 17/03/20...

Hahaaa Dom tena!!!! Ulipo tupo!!!! Kuna swali gumu hulijibu SAMURAI!!!

Why tuwe na strong deep state na Bado wanyama hai wakapanda ndege kimagendo?

Why USWIZI pesa zetu zinahamishwa kule, why hujuma na machozi tele Kwa members everywhere, why!!!!!

nimemjibu kibwengo mwenzio juu hapo, There is dark dip state who blackmail dip state, CEO and all vibwengo like you.
Dark dip state in dip dark is the big boss and must earn the shares.

Dark dip state and dip state sometime works together either to safeguard you or to bite you, but dark dip state is very big and live in dip dark. Sometime they bite you for your own safety and survival and if not you might be in dip shit.
some of you vibwengo must live in good life (this is the plan) how, by fetching some water in the same pit and feed some of you.
 

Kwamba KIBWENGO!!! Raia sio!!!

Kikinuka hakunaga izo mambo, vita ya Ukraine na Ile ya UG tumeona hao mnaowaita vibwengo wakizuiwa wasitoke NJE ya NCHI kusaidia hao mnaowaita so special.

Kila akojoaye amesimama ni Askari, kama Si sasa, BAADAYE.
 
Is that true/possible the CEO asiwajue depst and akahisi yeye ndio top?
 
Ok kumbe hapa kikubwa , watu nikipigana vikumbo KWa kila mmoja kutengeneza imaya yake ya kufidi kampuni,katika vivuli vya dark D.Svs D.S kupitia kwenye kile ungalizi wa Kampuni na Co wa mda HUO, KWa kiufupi pitia maelezo YAKO KWa mkono mwingine nao wezi na mafisadi Kama mafisadi wengine, Wala hakuna Cha masmlahi mapana,Kama yapo just for 45% in simple analysis, na ukitaka ona vita Kama Co wazibie Iyo mianya ya upigaji, hapo neno maslahi mapana utakua unalikuta mpaka kitandani kwako,na Kama ndivyo kampuni haiwezi songa,
 
Kwamba KIBWENGO!!! Raia sio!!!

Kikinuka hakunaga izo mambo, vita ya Ukraine na Ile ya UG tumeona hao mnaowaita vibwengo wakizuiwa wasitoke NJE ya NCHI kusaidia hao mnaowaita so special.

Kila akojoaye amesimama ni Askari, kama Si sasa, BAADAYE.

ukiona machafuko ya ndani ya vibwengo na taifa likasambaratika basi tambua hao vibwengo wako pirated na dark pirates and that is the war for dark pirates to control tha game and this way someone very big will come and occupy the territory na yatakwenda as she want via small groups of these dark pirates.

Ukiona vibwengo wamevamiwa na vibwengo wenzao kutoka nje ya mipaka yao ujue tayari hiyo dip state ilishadhibitiwa na dip state ya nje ya mipala kitambo sana na vita ilianzia huko na mara nyingi unakuta hakuna controlling ya dark dip state operating from very dip and this is big dark dip state than all.
 
Upumbavu mtupu
 
We jamaa bana acha porojo. Comment moja unasema deep state hawamuwezi bt sababu ni uzao wao anawafahamu vizuri. Comment nyingine unasema hakuna anaeweza kuivuruga deep state. Unajipinga mwenyewe!

Hao deep state ni watu tu wenye roho na miili. Yawezekana wako smarter than average, but they're still humans with natural weaknesses!

Wakati twiga wetu wanapigishwa magoti na kuingizwa kwenye ndege kupelekwa uarabuni deep state hawakuwepo? Wakati wapuuzi wanapiga matrilioni ya pesa za walipakodi escrow na richmond, deep state hawakuwepo? Mikataba ya kipuuzi ya madini na gesi, deep state walikua wapi?

They're humans, and there are limits to their power.

Kaa kwa kutulia, sisi tuendelee kupata isidingo kutoka kwa Yoga. Kuita watu Vibwengo haikufanyi uwe smarter than any of us. Take a chill pill!
 
Huyu katudhalisha Sana tuita vibwengo, akiendelea, atapigwa novina tumbo liamie kichwani,na kichwe kiamie tumboni,
 
TANZANIA njema ya kiaje?walamba asali Tanzania njema ndiyo hii tuliyonayo Sasa.
Kwako wewe pia itakuwa njema mpaka umuone mjomba ako kawa waziri?

Kuiona nchi njema ni lazima uwe mlamba asali,tofauti na hapo zitasikika lawama tuuu
Una uhakika kwa sasa siyo miongoni?

Do not be so naive, watu tunalamba asali lakini bado tunataka nchi yetu iwe njema ili kulamba kwetu asali kuwe kwa milele siyo kwa misimu...For this reason ndiyo maana tuna kesha usiku na mchana kutafuta hiyo njema.
 
Hongera sana...
 
Mkuu

Leo nimepata majibu kwanini CEO wa kampuni akiwa mvaa kanzu au anaesujudu WIZI unaongezeka Sana!kama wakati wa BT,Older CEO mwenye umri mkubwa,na Lady Gaga!!

KUMBE wanakujua UKWELI kupitia falaky ndio maana Wanaiba Sana tena wazi kuliko hata ma CEO wa misalaba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…