Dark days 17/03/20...

When you lose someone, you have to accept that grief and love cannot be separated. For when you reminisce the joys of your sweet love, you will be awakened by the suffering you have tried so hard to keep at bayView attachment 2331456
Unadhani utaweza kuwatoa hawa walimwengu kwenye reli?

Unajidanganya mkuu!

Picha tamu hizo wataangalia, na story itaendelea vizuri tu.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Don't take this writing tooo personal, this is just a story!! There is nothing here to relate guys! I repeat, nothing!! [emoji119]

But I think the second episode is going to bring more chaos[emoji16][emoji16]
23
24
25
26
Yet we're here waiting to hear more from you.
 
Don't take this writing tooo personal, this is just a story!! There is nothing here to relate guys! I repeat, nothing!! [emoji119]

But I think the second episode is going to bring more chaos[emoji16][emoji16]
Lete nondoo achana na hao ambao hawataki kuelewa kuwa hii ni story tu ya kufurahisha kijiwe lete vituuu tunasubiri
 
No need of elimination, just buy them, every one has a price
 
Ni vyema umfate private kaka sio hivi unavyofanya
kwenye mambo ya intelijensia kuna kitu kinaitwa "social engineering".

huu uzi kwa sehemu kubwa ulikuwa unaanika au kugusa kambo ya wakuu(kama yapo,hahahaaa)na kuna baadhi wanadhani msimuliaji anazungumzia tamthilia,thats a big no.
ujio wa huyu anayejiita bachelor II ni mpango mkakati wa kumtuliza yoga.
kwenye social engineering huwa linatengenezwa tukio ili kuzima tukio.

Bachelor II ni states person na anachofanya ni kuwatoa watu kwenye "UWEPO".dah TISS bwana mmetisha sana.

kuna watu washafatwa inbox kwa mengineyo.bachelor II endelea na igizo lako kwa kiasi fulan umejitahidi
 
Alafu watu wamemkaushiaa kama hawamo vile. Hahaa acha aendelee kumwaga mashairi
 
Don't take this writing tooo personal, this is just a story!! There is nothing here to relate guys! I repeat, nothing!! [emoji119]

But I think the second episode is going to bring more chaos[emoji16][emoji16]

Tumeanza pata nabii kwa sisi wakristu viongozi kufululiza kuanzia mwakani , kundi litakaloanzisha vuguvugu linatokea hukooooo mwaka 2023-2024 ,viongozi idadi kubwa watakata kamba.

N:b haihusiani na mada hii ambayo ni hadithi ya kusadikika. Mimi napita zangu kuwakumbusha tumuombe Mungu kila sehemu tukiwa katika hadithi,senema,video na maongezi yote.
 
Watu wa west - kigoma,burund au rwanda ila nahisi ya kwanza inaweza kua
 
Ameonesha his true colours.
 
Wakubwa wanaendelea na ULEVI wao wa madaraka, hawana habari.

Kila mjumbe ANAONA lake, bt msg moja, ni maonyo, tugeuke, tuache UOVU na dhulma.

Mwingine aona mvua matone yake ni blood,

Mwingine aona watu wengi wakiwakimbiza watu Kutoka jumba kubwa Jeupe lenye viti vingi vyekundu,

Mwingine aona kiti kutokalika!!!!

Hakuna astukaye!!!¡!!!!!!

Tuendelee kuomba.

Ameeeen.
 
Kwakua unabii umekua specific kwamba walengwa ni wakubwa, mimi sioni shida kabisa. Yawakute tu asee.

Watanzania wanateseka kwa maisha magumu, matozo ya kila aina, yote hayo ili akina Mwigulu waishi maisha ya kufuru. Mimi sina muda wa kuwaombea asee!

Dua pekee ya kuomba, ni "Mapenzi yako yatimizwe".
 
No, majanga yatagusa raia pia, Tuombee Nchi, patatikiswa tusipoomba. Inatuhusu sote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…