Dark days 17/03/20...

yoga leo yuko busy chamwino kupokea hati za mabalozi wapya
KWAMBA

Yoga ni yeye mwenyewe!!?

Au Bachelor II kamtisha na ile picha pale alioipost!!?

Kwamba yoga anamtumia Bodyguard yule wa kike ku post humu wakijiandalia Njia nyeupe ya aidha kukiachia kiti KWA maslahi ya kugombea tena hapo Baadae!!?

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Yoga labda kapigwa na.kitu kizito kichwani akazimia akapoteza fahamu, akafungwa kitambaa kisha.computwr yake ikachukuliwa na simu kupigwa tunae, je mmewasha tracker ktk mwili wake, hapana boss bado hatujawasha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…