Dark days 17/03/20...

Kwani yoga ni jinsia ke? Mi nadhani ni me. Au hatujui
Ndugu yangu usiamini jinsia ya member yeyote hapa jf kwa kutazama picha yake tu, agharabu kama unamjua na jina lake halisi unalijua hapo amini.

Hakuna amjuae Yoga ni jinsia gani japo kuna wajuba hapa huwa wanamkodolea macho na kumwita bebi lkn kiukweli hawajui 😂
 
Zitto kamaliza kila kitu
Z
 
Sauti haitoshi mzee baba 😂😂😂hebu ongeza kidogo wagema ulimbo hawajakusikia
Z
 
yoga anasubiri rais wa MR FREEDOM aapishwe kwanza ndo alete uzi hapa.

Shida wakati anapitia mafile ya bosi wale akashangaa anapigwa na kitu kizito kichwani na kupoteza fahamu, anakuja kuzinduka kazungukwa na watu wazito wanamuuliza we yoga kwanini haujawapelekea wenzako ule mwendelezo wa uzi ulisema utaendelea nao tat 26?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…