Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwani yoga ni jinsia ke? Mi nadhani ni me. Au hatujui
Ndugu yangu usiamini jinsia ya member yeyote hapa jf kwa kutazama picha yake tu, agharabu kama unamjua na jina lake halisi unalijua hapo amini.

Hakuna amjuae Yoga ni jinsia gani japo kuna wajuba hapa huwa wanamkodolea macho na kumwita bebi lkn kiukweli hawajui 😂
 
nimeshakuzoea, una wananga Watanzania kama wewe ni mrundi au kabila moja na Mwendazake, kuna post moja kwenye Mada jamaa yako afukuliwe na aje ajibu mabaya yake ukajikosha.
sasa hapa unataka nikuorodheshee kwa awamu zote na ya 6
au ya 5 ya mwendazake miaka 6 ?

bandari Mwanza imekwapua mabilioni
Kajenga kwao airport na kampuni yake
mbuga ya wanyama..........

Zitto kamaliza kila kitu
Z
 
Kwanini alilazimisha Kiwanja cha Ndege kwa Kampuni yake
Kafunga /kafuta Bandari ya Bagamoyo ile iwekwe kwenye Mji wake
kachomoa pesa ili ajenge Reli Isaka Mwanza
Kahamisha Twiga si angehamisha na Mlima Kilimanjaro kabisa
Gesi ya kusini na kuwafukuza Acacia na wamerudi mlango wa nyuma huwezi, Rasilimali angegawa sawa wala tusingelalamika lakini kuzibeba kama Mobutu au Abacha ndipo hapo mnapopishana na wenzenu, Kwenye chama mlijazana, Uwaziri mpaka maofisini je mngemaliza miaka 10 si mngesema Lugha yenu ni ya Taifa?
Sauti haitoshi mzee baba 😂😂😂hebu ongeza kidogo wagema ulimbo hawajakusikia
Z
 
yoga anasubiri rais wa MR FREEDOM aapishwe kwanza ndo alete uzi hapa.

Shida wakati anapitia mafile ya bosi wale akashangaa anapigwa na kitu kizito kichwani na kupoteza fahamu, anakuja kuzinduka kazungukwa na watu wazito wanamuuliza we yoga kwanini haujawapelekea wenzako ule mwendelezo wa uzi ulisema utaendelea nao tat 26?
 
Back
Top Bottom