Kwani uliambiwa hiyo ni stori ya kweli? Mbona tangu mwanzo alitahadharisha kwamba hii ni riwaya tu.Mimi mtu wa kwanza kuisoma na kucomment, imejaa uongo mtupu na bora kabisa ilivyofutwa.
Kwani hata yeye si anasema ni hekaya tu...sasa huo ukweli unaoutaka wewe ni upi? Kuwa muelewaMimi mtu wa kwanza kuisoma na kucomment, imejaa uongo mtupu na bora kabisa ilivyofutwa.
Mi sijaisoma KABISA!!nasikia wamefuta a sio!!Ila kuna kautofauti kwenye uandishi jmn
Hebu tusimulie kwa uchache.Umefutwa mm nilisoma ila sijakopy
Ukiangalia kwenye profile yake last activity ni leo sasa sijui inamaana gani...Ni ngumu Sana kuthibitisha kuwa aliposti,Ila ukimya wa yoga unantisha!
Kama Mods wamefuta Basi JF siyo sehemu salama turudi FB kununua misambwanda na migongo ya dada zetu.
Uzi kapost jana saa saba na nusu usiku, niliposoma nilimueleza anasrma uongo mkubwa. Nashukuru Uzi kufutwa, ulijaa uongo Sana. Jf sio kijiwe cha kahawaNi ngumu Sana kuthibitisha kuwa aliposti,Ila ukimya wa yoga unantisha!
Kama Mods wamefuta Basi JF siyo sehemu salama turudi FB kununua misambwanda na migongo ya dada zetu.
KIAZI WEWEUzi kapost jana saa saba na nusu usiku, niliposoma nilimueleza anasrma uongo mkubwa. Nashukuru Uzi kufutwa, ulijaa uongo Sana. Jf sio kijiwe cha kahawa
Unataka kuniambai kuwa yoga kashusha kipande Jana na kimefutwaHili sio jukwaa huru tena kama mpaka hadithi tu zinafutwa,vip kuhusu usalama wa members humu hasa taarifa zao???
Wewe ni **maUzi kapost jana saa saba na nusu usiku, niliposoma nilimueleza anasrma uongo mkubwa. Nashukuru Uzi kufutwa, ulijaa uongo Sana. Jf sio kijiwe cha kahawa
Mimi ndizi, wewe papaiWewe ni **ma
Ujalazimishwa lkn kusoma kwani kuna pesa yyte amabyo uliombwa utoeHuu uzi nadhani hapa ndo last destination yake maana mleta uzi amekuwa sio mtu wa ku-keep promise zake .Usiku mwema wakuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ujalazimishwa usomeNimefungua tu Uzi nimekutana na story yako. Uongo mwingi sana, unatuona sie majuha sio?
Mkuu, naomba nitumie pm tafadhali..Mimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa
Mimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa
Mkuu. mnyililo naomba unitumie pm pleaseMimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa