Na bad enough huenda yeye ndiye anayedhamini hii storyHamuwezi kumfanya chochote..
Yule mtoto wa mjini kitambo, mmeshindwa kumfanya chochote Mbowe ndio muweze kwa Born Town. Nyie mjini si mmekuja na treni, rambo na ndala wakiwaona
Hahahah wazee wa vidole juu ni watu wa michongo aiseeDaah!! Born town anaenda kumlambisha mchanga maushungi. Assistant New CEO anakuja kulipa kisasi kwa Mr.Born town.
Ila tawi la vidole viwili juu ni wahuni sana, wanatuigizia sana kumbe mishe zao na mboga mboga ni moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91] na wawe makini zaidi...Hadi mpira kwapani born town 3 bila dhidi ya bushstar
Ww tuongezee episode zingine za mwendelezo. Wengine hatujaihusisha na tukio lolote ila tumependa story ilivyo ya msisimko. Safi kabisaJamani mnataja watu mie sijawataja [emoji16][emoji16][emoji16] please hii ni story tuuu wapendwa [emoji41][emoji16][emoji23][emoji28]
The best Mastermind ever to live in our country.Born Town mzee wa kinyele[emoji23] jamaa ni mdeadly in a decent smile!
kuwa na adabu kijana wa miaka ya 90's....sawa??Mbususu ya ceo Alie kwenye kampuni ina utamu wake!ni sawa na ku do na kampuni nzima!!!
Just kidding Bolivia!!we ukipewa haupokei!!!???kuwa na adabu kijana wa miaka ya 90's....sawa??
Nani huyo!!!?CEO was wote ni huyo hapo, hao wengine wote watumikaji tu, timu nzima mpya ilienda kujitambulisha kwake.
Alinyooshwa tena na jeshi la mtu mmoja, akachukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mzee wako naskia hata kabla hajazeeka alikua na matatizo ya nguvu za kiume. Alikua anahonga sana ili wasimtangaze[emoji23][emoji23] wengine alihonga ukuu wa wilaya eti ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?!????Kwa umri wake hata akiwa hivyo si mbaya. Kazipiga za kutosha anataka nini tena.
Mzee wa miaka 70+ unataka aendelee na ngono baada ya kutunza afya akifaidi matunda yake?
Alinyooshwa wapi? Hakuwahi kuyumba wala kutetereka, aliyenyooshwa yupo analiwa na funza huko..
Ina MAANA hata kimoja alikiwa hapigi!!!???alizaaje Sasa!!!??Alinyooshwa tena na jeshi la mtu mmoja, akachukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mzee wako naskia hata kabla hajazeeka alikua na matatizo ya nguvu za kiume. Alikua anahonga sana ili wasimtangaze[emoji23][emoji23] wengine alihonga ukuu wa wilaya eti ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?!????
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Wewe kweli wa jana, nani aliyemvusha maji?Mbususu ya ceo Alie kwenye kampuni ina utamu wake!ni sawa na ku do na kampuni nzima!!!
Corona ndo ilikuwa kama kichaka cha kujifichiaJamaa ni muumini mzuri wa kristo ndicho kilimuokoa kile😅 af jamaa walivyokuwa wahuni wakatembelea upepo wa Korona yani kila waliempiga na kitu kizito wakaipa lawama Covid kwa hio kundi la maboya waliamini New CEO kakabwa na Corona and the rest of the Company members
Lazima wamesoma.Ila Kama ni ya kweli hii kampuni inahitaji umakini wa hali ya juu maana Kuna watu wanaishikilia kampuniNajaribu kuimagine kama hao akina Mr born town wanasoma huu uzi sijui itakuwaje?
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
nakutumia dmMkuu sorry kama ntakukwaza naomba unitumie yote na mimi dm maana tayari Kuna vipande huko nyuma walishavichomoa, kama hutojali lakini.
Crack code mkuu.Mzee mchonga alitaka ahatarishe awamu ya pili ya Kipipa kisa Baada ya Kipipa kuuza benki ya NBC KWA makaburu !!mzee mchonga akakaairika Sana akamwambia Pengo kuwa kijana wake hafai amalize muda wake wa mhula mmoja akae pembeni!!Sasa Kipipa akazipata akamtuma dokta FULANI akamcheki afya mzee mchonga na ku do something kwenye blood circulatory system ya mchonga!!!alipoanza kuumwa tu wakam direct nje KWA matibabu kumbuka Waziri wa mambo ya nje alikiwa mr smile Sasa akampeleka kwenye kizahanati mtoto Hadi umauti ulipomkuta akapelekwa marehem mzee mganga/MCHAWI Kuuguza mzee mwenzake na ku spin taarifa Hadi RIP mzee mchonga ndio Mr smile Njia ikawa nyeupe kwenda kitalani!!!SOURCE YA TAARIFA NI HUMU HUMU JF KWA KUUNGANISHA DOTS!!!SAMAHANINI WAKUU!!!