Yupo anaangalia Isidingo arudi kutusimuliaKimya!?au upo maputo na MAMA!?
Hii ni stori mbona unatamka majina ya watu Wewe!!?Kwa hiyo nzee kenyata kawakataa wateule na team late CEO au?na yawezekana Ruto alitonywa siku ile kwenye basi kwamba anachunguzwa?msaidieni huyu bi hangaya jamani wenye nafasi ya kufanya hivyo..si kila analoshauriwa anafanya tu!!Mwigulu akiamka na lake akimshauri ye anapita nalo!!Wale wamama aliowajaza wawe sehemu ya Baraza ndiyo kabisaaa...wakipiga story usiku vyumbani wakiamka asubuhi wanampigia simu hangaya "shougaaaaah.."ye anakurupuka anapita nayo!!Sasa huyu hatapewa sumu ila anajimaliza mwenyewe taratiiiibu.
Tutajua soon Baada ya yoga kuja na storiRoute za nje ya kampuni yetu za mara kwa mara za current CEO wa kampuni yetu,
Je ni mipango inasukwa ya kuunda kamati ya kumalizana au kiti cha moto hapakaliki?
. Maana yake ni nini mkuu!!?
Hii nzuri sana😄JAKAYA KIKWETE THE NEW UNITED NATIONS GENERAL SECRETARY......is.... loading............
Huyu mzee Mungu ambariki sana, kwenye utawala wake nilikuwa mtu mwenye furaha kupitiliza, nilikula good moments haijawahi tokea, mengine ni mapungufu ya kawaida ya kibinadamu tu ila kazi aliiweza sanaJAKAYA KIKWETE THE NEW UNITED NATIONS GENERAL SECRETARY......is.... loading............
Uvumilivu ni ule ule, TWASUBIRI.Tutajua soon Baada ya yoga kuja na stori
Mungu ambariki Sana. Huyu Mzee alikua kazi yake. Mungu ampe maisha marefuHuyu mzee Mungu ambariki sana, kwenye utawala wake nilikuwa mtu mwenye furaha kupitiliza, nilikula good moments haijawahi tokea, mengine ni mapungufu ya kawaida ya kibinadamu tu ila kazi aliiweza sana
Huyu mzee Mungu ambariki sana, kwenye utawala wake nilikuwa mtu mwenye furaha kupitiliza, nilikula good moments haijawahi tokea, mengine ni mapungufu ya kawaida ya kibinadamu tu ila kazi aliiweza sana
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapo pa "shougeerrr* nimeisikilizia kwa lafudhi ya kiarushaKwa hiyo nzee kenyata kawakataa wateule na team late CEO au?na yawezekana Ruto alitonywa siku ile kwenye basi kwamba anachunguzwa?msaidieni huyu bi hangaya jamani wenye nafasi ya kufanya hivyo..si kila analoshauriwa anafanya tu!!Mwigulu akiamka na lake akimshauri ye anapita nalo!!Wale wamama aliowajaza wawe sehemu ya Baraza ndiyo kabisaaa...wakipiga story usiku vyumbani wakiamka asubuhi wanampigia simu hangaya "shougaaaaah.."ye anakurupuka anapita nayo!!Sasa huyu hatapewa sumu ila anajimaliza mwenyewe taratiiiibu.