Dark days 17/03/20...

Ndio mpendwa hizi ni hekaya tuuu, and nothing sereous[emoji15][emoji2960][emoji2960] anyways good analysis!!

NB: Literature reflect the society!! nothing sereous!! [emoji23][emoji23][emoji23]

"This whole story is completely true", except for the all parts that are totally made up"

Dark Days 17/03/20...
 
Punguza imani potofu, Marekani wameua wangapi
 
Nilikua nakuamini mpaka kwenye taarifa hii

Hilo unalosema hakuna asiyelijua

Unachofanya unafanya janja janja tu

Kweli hii hekaya
 
 
Vita ya uchumi ni ngumu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Niliona ila kinachonishangaza ni kwa nini alimuamini wakati sote tunajua huyu ni kijana wa old CEO? Maana hakustahili kumuhusisha kwenye mambo makubwa.lakini ndo hivyo alimuamini.
Jamaa alimfanyia kitu kama cha wachungaji wa mwendekasi au waganga wa kienyeji kwa kumtengenezea tatizo mara tu baada ya nec kufanya yake halafu yeye ndio akawa mtu pekee mwenye uwezo wa kulitegua. Baada ya uteguzi late CEO akalapoka muomba chenji amejihakikishia ubranch manager mapema sana ila wengine watafikiriwa baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…