Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Ndio mpendwa hizi ni hekaya tuuu, and nothing sereous[emoji15][emoji2960][emoji2960] anyways good analysis!!

NB: Literature reflect the society!! nothing sereous!! [emoji23][emoji23][emoji23]

"This whole story is completely true", except for the all parts that are totally made up"

Dark Days 17/03/20...
 
Mimi ukiniuliza nini kilimuuwa old CEO nitakwambia jambo moja tu dam sio nzuri kuimwaga. Nadhani alipofikia ku eliminate watu wenye akili walijiongeza yani ukiuwa ujuwe utauwawa na hiki ndicho kimewakuta all killer. Angalia kinachoendelea hapo Ukraine huyo jamaa wa Russia msishangae kuamka asubuh amesha pumzika. Kitu anakifanya hapo Ukraine hakiwezi muacha tena atanie. Yani anajuwa siku zake zinahesabika. Yani kuuwa nijambo hatari sana kwa maisha yako pia.
Punguza imani potofu, Marekani wameua wangapi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] guys who told you there is so called "truth" in this narrations?? [emoji23][emoji23]

By the way our new CEO is now busy. few days ago, level two of the mission "checks and balance" was deployed! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stage one on that level inatekelezwa kwa kasi, and the next stage, is stage two!! [emoji23][emoji23][emoji23] The top head in one of the securty agency is about to be taken down!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lets wait for another episode ....,[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua nakuamini mpaka kwenye taarifa hii

Hilo unalosema hakuna asiyelijua

Unachofanya unafanya janja janja tu

Kweli hii hekaya
 
Time came, new CEO akapokea ugeni wake kutoka DOHA, ndani ya ile presidetial suite kuna room nyingine ndogo, so kijana na CEO wakapata time ya kupeana updates!

Kijana alitumia miezi zaid ya mitatu kuandaa taarifa yake!! So akaanza kumbrief CEO akamwambia huyu mtu ni god father wa kampuni! Na hayuko peke yake!! external companies zote zilizo invest kwenye kampuni yetu niether ni za kwake au zinazomwamini sana mr born town!

kuanzia kwenye kampuni zetu zote ndogo ndogo zinazohusika na utalii, umeme, mafuta na ujenzi hawa watu ni share olders! Hakuna sehemu hawapo!! Branches manager wetu wote uliowarudisha kazini asilimia 70 ni watu wake!! Hivyo tumezingirwa na watchdogs wa mr born town hakuna kitu utafanya au kutena bila yeye au group lake lisijue!

Huyu mtu nguvu kubwa anaipata kwa investors wetu wa nje!! ni anaaminika sana!! Project yetu ya kampuni kuhusu ile bandari iliyokuwa crashed na the late CEO ambayo tunairudhisha ukweli nikwamba owners wa hiyo project ni most powerfull people in this world, na kuna mazingira ya mr born town kuwa among wanufaika

Akamwambia kuna mambo wanayoyafanya sasa hivi kurudisha gharama na hasara waliyopata kutokana na uongozi wa the late CEO!! unaona kampuni yetu ya umeme, sasa hivi tunauza sana jenerta badala ya solar sytems!! lakini pia kule kwenye vitalu vya uwindaji yule investor aliyetimuliwa na the late CEO, branch manager amesha ridhia arudi na awekeze! So juhudi za kuweka mazingira ya uwekezaji zinaendelea

Kijana akasisitiza hakuna mahala utagusa he is not there!! All Head of our security ni too loyal kwake, ispokuwa mmoja tu! Huyu analysis inaonyesha bado anamkubali sana late CEO!

Kampuni pinzani zoote unazoziona hapa nchini their Chairmans are his people! huyu tuliyekuwa na kesi naye juzi! Ambaye externa investors wametishia kustop investemnts kwenye kampuni yetu kama kampuni haita drop kesi, analysisi bado inafanyika kujiridhisha kama ni mtu wake au lah!!

Lengo la the late CEO kumshughulikia huyu mr new culture lilikuwa ni kuivunja kabisa kampuni yake baada ya kugundua kuwa ni hawa hawa investors wanaomsponser huyu mr born town ndio wanaomsponsa na yeye! Sasa why wanawasponser two people with different idiologis hapo ndio task force imejikita na soon tutapata majibu



Huyu mtu mr born town wealth yake ni more than 100 years! Most of his dirty money are kept in malaysia! so kupambana naye inabidi kuwa makini na smart sana!!

Akasema kuna kundi ambalo halimtaki tena mr born town kuwa kama kiongozi wao, wanataka changes na kinachoononekana hawa watu wamejipanga sana! Wako kwenye harakati za kumuweka mtu wao!! shida hili kundi ni la watu wa ndani tu sio wa nje! Nje bado anasupport kubwa sana!!


CEO alikuwa makini sana akimsikiliza kijana wake!! Hakushtuka sana sababu baadhi ya vitu anavijua sema hakuvijua indetail kama ambavyo kijana amemfafanulia!!

So CEO baada ya briefing iile akamwambia kijana kuwa her chances are very low to survive this guy!! Kulingana na alivyo jisimika! So options zake nizipi??

Kijana baada yakuulizwa hivyo akasema option zipo but ni very risk!! We have planned a mission, but what we have to do nikuwatembelea hawa external investors unnoticed, if they are getting a proffit of 20% in their investment in our company sisi tu waongezee up to 60% or more with a condition that mmoja mmoja wasaide wewe uwe chairman mpya!! Kwamba we need to atract them to be in our side!!

Lakini pia kuwahakikishia hakuna kuvunja au kukataa mradi wao wowote!! We offer them good interest they give us power!! Maana wako after money and not some one! Istoshe wewe ndio CEO sasa hivi!

Pili kwakuwa kila dipartment ina branch manager ambao ni too loyal kwa mr born town, hao hakuna kuwagusa all we need to do nikuwaacha tu, let them be free as long as we know them! hawa watu wananjaaa sana, tuwaache Wale kwa urefu wa kamba zao[emoji1787] na wakati huo moja baada ya mwingine tuwa convert secretly wawe upande wetu, wabishi tuta apply other ways [emoji1787][emoji1787]

And this is why na introduce kwako hii kitu inaitwa " checks and balances mission"

kijana akachukua red printed document akampatia akamwambia hii ina kila kitu! Take this with you! Read it carefull then TUPE GO aheard kila kitu kitakuwa Sawa!!

Baada ya ile meeting CEO alichukua ile document na kuitunza mwenyewe! Kisha wakaagana, akatoka kwenye kile chumba wakapiga picha na yule mwarabu from doha ionekane yeye ndie alikuwa anazungumza nae na sio yule kijana then CEO akaendelea na ratiba zake!!

Sasa what is "cheks and balance mission" hii ni mission planned na kijana wa the new CEO akiwa na wenzake watano!! Project hii ilikuwa na level tatu! Target wa mission ni mr born town! Lengo ni awe termineted airther friendly or hard way!!

Project hii imekuwa categorised kwa level tatu!

Level one ni Kuua makundi yoote na kuorganise kundi moja kubwa lenye nguvu nyuma ya new CEO. Ili ikamilike Level hii iliwekwa katika stage tatu!

Moja ni kuwashusha temper na hasira team late CEO, wanashushwaje temper na hasira??? nikuhakikisha miradi yoote ya the late CEO ndani ya kampuni ina kuwa implemented kama ilivyoanzishwa na the late CEO, hii itasaidia kuwarudisha kundini wawe na the new CEO karibu! [emoji41]

Lakini pia ni kuwaidentify wale wabishi wenye misimamo sanaaaaa kuwashughulikia nicely na sio in a harsh way, ila ikibid harsh way itumike!

Pili, miradi hiyo yote ya the late CEO waitwe wale outsider investors ambao ndio humpa kiburi mr born town waje wawe involved especially kwenye kuiendesha hiyo miradi itakapo kamilika With a very good interest kwao! Ilengo na wao wawe karib na huyu the new CEO

tatu,kuhakikisha wale resistant yaani lile kundi lisilo mkubali mr born town lipewe freedom na ulaji wa hali ya juu kwa kuinvesting in the company!!

Second level!

Hii ina stage mbili tu, Stage one is to ensure good publicity kwa new CEO, apendwe sana, yaani saaana! kwa kuhakikisha customers wa kampuni wanamkubali sana CEO!

Stage ya pili itawahusu all security agencies,hapa kijana aliwaza kutindua wote wenye mrengo hasi na CEO unoticed

Level ya tatu
Hii ndio yenyewe! Kama level one, two na three zikifanikiwa mr born town hana chake iwe nje na ndani so ni kumgoa kucha tu!

Wakati haya yakiendelea, mr born town homa ya jiji, nayeye alikuwa na yakwake kichwani!

Moja ya vitu alivyoviamini kutokana na uzoefu wake kwenye game ni kuwa ukiona mtu anafuata sana kila unalomwelekezatena bila kukosea ujue kunajambo analifanya na anajaribu kukuficha [emoji23][emoji23]

Baada ya tafakuri kwa kina Alichokifanya ni akampigia simu kijana wake mmoja, akamwambia huyu CEO nahisi kunakitu behind the scene kinaendelea! She is too good, yaani kila nnalotaka anafanya nothing is wrong! This isnt right!!

I have something in my mind nafikiri nikifanya itanipa jibu!! Nafkiri sasa Tutamuhitaji zadi mwenyekiti wa bodi!! Huyu ndio atakuwa karata yetu kujua what is goin on! Lakini pia akawaalet vijana wake pale makao makuu, kwamba heads up!! Wafuatilie whats goin he need updates!!

Kijana akamtafuta mwenyekiti wa bodi! Ikumbukwe mwenyekiti wa bodi alikuwa team late CEO, yeye ndio alimnyima kibali cha kutoka nje kijana msema sana baada ya kudugwa mirisasi, lakini pia, hata fidia yake alimnyima kabisaaa. kijana alipata majeraha kazini alistahili kulipwa!!

Kijana akaworganise timu yake wakamfuata Mwenyekiti wa bodi privetly, direct wakamwabia anachopaswa kufanya unless otherwise something worse would happen to him!

Chearman wa bodi kulingana na alivyotikiswa na wale vijana he had no choice but to implement the plan!! Akaanza kumpinga live CEO hadharani! one day akiwa kaalikwa kuwahutubia vinana wajasiliamali katika aliyo yaongea akatamka wazi kkuwa CEO anaendesha kampuni yao kwa sasa anaiendesha kwa kuchukua loans sana! Akasema kampuni yao itaweza kufilisika soon kama hatua zisipochukua haraka! Ikiwezekana atolewe!!

Hiyo kauli ya atolewe ndio ilimtoa CEO Mafichoni tena kwa hasira juu!! Hisia zilimwendesha badala ya critical analysisi ya kujiuliza kwanini huyu mtu ametamka haya sasa, na si hulo nyuma? Hiz guts na confidence za kusema haya amezitoa wapi?? badala yake CEO Alimnaga live chearman wa bodi na kudecler live kuwa yeye bado yupo yupo sana kwenye position hiyo!! Na akamtaka yeye mwenyekiti ndio atoke kwenye position hiyo!! Kimwonekano wake alimaanisha alichokuwa nakisema. Kumbe bwana, our CEO felt in Mr born town trap! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] A Very Big mistake[emoji1787][emoji1787]

Unaruhusuje hisia kwenye jambo sereous hivi.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]

mr born town baada ya hiyo reaction ya CEO akawa amejithibitishia kuwa CEO wa sasa atakuwa na kitu behind the scene anakifanya ili aweze kubaki madarakani!! Na hicho kitu kama hajashilikishwa so she is betraying him!!! Mr born town was very maaaaaaaaad askwambie mtu!!! Very Maaaad!!

Je kete za mr born town zitaanzia wapi ili kuila kingi kwenye draft?...........

Is the CEO able to bring late CEO team under her wing??

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mambo ni mengi muda ni mchache!!!
 
Time came, new CEO akapokea ugeni wake kutoka DOHA, ndani ya ile presidetial suite kuna room nyingine ndogo, so kijana na CEO wakapata time ya kupeana updates!

Kijana alitumia miezi zaid ya mitatu kuandaa taarifa yake!! So akaanza kumbrief CEO akamwambia huyu mtu ni god father wa kampuni! Na hayuko peke yake!! external companies zote zilizo invest kwenye kampuni yetu niether ni za kwake au zinazomwamini sana mr born town!

kuanzia kwenye kampuni zetu zote ndogo ndogo zinazohusika na utalii, umeme, mafuta na ujenzi hawa watu ni share olders! Hakuna sehemu hawapo!! Branches manager wetu wote uliowarudisha kazini asilimia 70 ni watu wake!! Hivyo tumezingirwa na watchdogs wa mr born town hakuna kitu utafanya au kutena bila yeye au group lake lisijue!

Huyu mtu nguvu kubwa anaipata kwa investors wetu wa nje!! ni anaaminika sana!! Project yetu ya kampuni kuhusu ile bandari iliyokuwa crashed na the late CEO ambayo tunairudhisha ukweli nikwamba owners wa hiyo project ni most powerfull people in this world, na kuna mazingira ya mr born town kuwa among wanufaika

Akamwambia kuna mambo wanayoyafanya sasa hivi kurudisha gharama na hasara waliyopata kutokana na uongozi wa the late CEO!! unaona kampuni yetu ya umeme, sasa hivi tunauza sana jenerta badala ya solar sytems!! lakini pia kule kwenye vitalu vya uwindaji yule investor aliyetimuliwa na the late CEO, branch manager amesha ridhia arudi na awekeze! So juhudi za kuweka mazingira ya uwekezaji zinaendelea

Kijana akasisitiza hakuna mahala utagusa he is not there!! All Head of our security ni too loyal kwake, ispokuwa mmoja tu! Huyu analysis inaonyesha bado anamkubali sana late CEO!

Kampuni pinzani zoote unazoziona hapa nchini their Chairmans are his people! huyu tuliyekuwa na kesi naye juzi! Ambaye externa investors wametishia kustop investemnts kwenye kampuni yetu kama kampuni haita drop kesi, analysisi bado inafanyika kujiridhisha kama ni mtu wake au lah!!

Lengo la the late CEO kumshughulikia huyu mr new culture lilikuwa ni kuivunja kabisa kampuni yake baada ya kugundua kuwa ni hawa hawa investors wanaomsponser huyu mr born town ndio wanaomsponsa na yeye! Sasa why wanawasponser two people with different idiologis hapo ndio task force imejikita na soon tutapata majibu



Huyu mtu mr born town wealth yake ni more than 100 years! Most of his dirty money are kept in malaysia! so kupambana naye inabidi kuwa makini na smart sana!!

Akasema kuna kundi ambalo halimtaki tena mr born town kuwa kama kiongozi wao, wanataka changes na kinachoononekana hawa watu wamejipanga sana! Wako kwenye harakati za kumuweka mtu wao!! shida hili kundi ni la watu wa ndani tu sio wa nje! Nje bado anasupport kubwa sana!!


CEO alikuwa makini sana akimsikiliza kijana wake!! Hakushtuka sana sababu baadhi ya vitu anavijua sema hakuvijua indetail kama ambavyo kijana amemfafanulia!!

So CEO baada ya briefing iile akamwambia kijana kuwa her chances are very low to survive this guy!! Kulingana na alivyo jisimika! So options zake nizipi??

Kijana baada yakuulizwa hivyo akasema option zipo but ni very risk!! We have planned a mission, but what we have to do nikuwatembelea hawa external investors unnoticed, if they are getting a proffit of 20% in their investment in our company sisi tu waongezee up to 60% or more with a condition that mmoja mmoja wasaide wewe uwe chairman mpya!! Kwamba we need to atract them to be in our side!!

Lakini pia kuwahakikishia hakuna kuvunja au kukataa mradi wao wowote!! We offer them good interest they give us power!! Maana wako after money and not some one! Istoshe wewe ndio CEO sasa hivi!

Pili kwakuwa kila dipartment ina branch manager ambao ni too loyal kwa mr born town, hao hakuna kuwagusa all we need to do nikuwaacha tu, let them be free as long as we know them! hawa watu wananjaaa sana, tuwaache Wale kwa urefu wa kamba zao[emoji1787] na wakati huo moja baada ya mwingine tuwa convert secretly wawe upande wetu, wabishi tuta apply other ways [emoji1787][emoji1787]

And this is why na introduce kwako hii kitu inaitwa " checks and balances mission"

kijana akachukua red printed document akampatia akamwambia hii ina kila kitu! Take this with you! Read it carefull then TUPE GO aheard kila kitu kitakuwa Sawa!!

Baada ya ile meeting CEO alichukua ile document na kuitunza mwenyewe! Kisha wakaagana, akatoka kwenye kile chumba wakapiga picha na yule mwarabu from doha ionekane yeye ndie alikuwa anazungumza nae na sio yule kijana then CEO akaendelea na ratiba zake!!

Sasa what is "cheks and balance mission" hii ni mission planned na kijana wa the new CEO akiwa na wenzake watano!! Project hii ilikuwa na level tatu! Target wa mission ni mr born town! Lengo ni awe termineted airther friendly or hard way!!

Project hii imekuwa categorised kwa level tatu!

Level one ni Kuua makundi yoote na kuorganise kundi moja kubwa lenye nguvu nyuma ya new CEO. Ili ikamilike Level hii iliwekwa katika stage tatu!

Moja ni kuwashusha temper na hasira team late CEO, wanashushwaje temper na hasira??? nikuhakikisha miradi yoote ya the late CEO ndani ya kampuni ina kuwa implemented kama ilivyoanzishwa na the late CEO, hii itasaidia kuwarudisha kundini wawe na the new CEO karibu! [emoji41]

Lakini pia ni kuwaidentify wale wabishi wenye misimamo sanaaaaa kuwashughulikia nicely na sio in a harsh way, ila ikibid harsh way itumike!

Pili, miradi hiyo yote ya the late CEO waitwe wale outsider investors ambao ndio humpa kiburi mr born town waje wawe involved especially kwenye kuiendesha hiyo miradi itakapo kamilika With a very good interest kwao! Ilengo na wao wawe karib na huyu the new CEO

tatu,kuhakikisha wale resistant yaani lile kundi lisilo mkubali mr born town lipewe freedom na ulaji wa hali ya juu kwa kuinvesting in the company!!

Second level!

Hii ina stage mbili tu, Stage one is to ensure good publicity kwa new CEO, apendwe sana, yaani saaana! kwa kuhakikisha customers wa kampuni wanamkubali sana CEO!

Stage ya pili itawahusu all security agencies,hapa kijana aliwaza kutindua wote wenye mrengo hasi na CEO unoticed

Level ya tatu
Hii ndio yenyewe! Kama level one, two na three zikifanikiwa mr born town hana chake iwe nje na ndani so ni kumgoa kucha tu!

Wakati haya yakiendelea, mr born town homa ya jiji, nayeye alikuwa na yakwake kichwani!

Moja ya vitu alivyoviamini kutokana na uzoefu wake kwenye game ni kuwa ukiona mtu anafuata sana kila unalomwelekezatena bila kukosea ujue kunajambo analifanya na anajaribu kukuficha [emoji23][emoji23]

Baada ya tafakuri kwa kina Alichokifanya ni akampigia simu kijana wake mmoja, akamwambia huyu CEO nahisi kunakitu behind the scene kinaendelea! She is too good, yaani kila nnalotaka anafanya nothing is wrong! This isnt right!!

I have something in my mind nafikiri nikifanya itanipa jibu!! Nafkiri sasa Tutamuhitaji zadi mwenyekiti wa bodi!! Huyu ndio atakuwa karata yetu kujua what is goin on! Lakini pia akawaalet vijana wake pale makao makuu, kwamba heads up!! Wafuatilie whats goin he need updates!!

Kijana akamtafuta mwenyekiti wa bodi! Ikumbukwe mwenyekiti wa bodi alikuwa team late CEO, yeye ndio alimnyima kibali cha kutoka nje kijana msema sana baada ya kudugwa mirisasi, lakini pia, hata fidia yake alimnyima kabisaaa. kijana alipata majeraha kazini alistahili kulipwa!!

Kijana akaworganise timu yake wakamfuata Mwenyekiti wa bodi privetly, direct wakamwabia anachopaswa kufanya unless otherwise something worse would happen to him!

Chearman wa bodi kulingana na alivyotikiswa na wale vijana he had no choice but to implement the plan!! Akaanza kumpinga live CEO hadharani! one day akiwa kaalikwa kuwahutubia vinana wajasiliamali katika aliyo yaongea akatamka wazi kkuwa CEO anaendesha kampuni yao kwa sasa anaiendesha kwa kuchukua loans sana! Akasema kampuni yao itaweza kufilisika soon kama hatua zisipochukua haraka! Ikiwezekana atolewe!!

Hiyo kauli ya atolewe ndio ilimtoa CEO Mafichoni tena kwa hasira juu!! Hisia zilimwendesha badala ya critical analysisi ya kujiuliza kwanini huyu mtu ametamka haya sasa, na si hulo nyuma? Hiz guts na confidence za kusema haya amezitoa wapi?? badala yake CEO Alimnaga live chearman wa bodi na kudecler live kuwa yeye bado yupo yupo sana kwenye position hiyo!! Na akamtaka yeye mwenyekiti ndio atoke kwenye position hiyo!! Kimwonekano wake alimaanisha alichokuwa nakisema. Kumbe bwana, our CEO felt in Mr born town trap! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] A Very Big mistake[emoji1787][emoji1787]

Unaruhusuje hisia kwenye jambo sereous hivi.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]

mr born town baada ya hiyo reaction ya CEO akawa amejithibitishia kuwa CEO wa sasa atakuwa na kitu behind the scene anakifanya ili aweze kubaki madarakani!! Na hicho kitu kama hajashilikishwa so she is betraying him!!! Mr born town was very maaaaaaaaad askwambie mtu!!! Very Maaaad!!

Je kete za mr born town zitaanzia wapi ili kuila kingi kwenye draft?...........

Is the CEO able to bring late CEO team under her wing??

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mambo ni mengi muda ni mchache!!!
Vita ya uchumi ni ngumu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Niliona ila kinachonishangaza ni kwa nini alimuamini wakati sote tunajua huyu ni kijana wa old CEO? Maana hakustahili kumuhusisha kwenye mambo makubwa.lakini ndo hivyo alimuamini.
Jamaa alimfanyia kitu kama cha wachungaji wa mwendekasi au waganga wa kienyeji kwa kumtengenezea tatizo mara tu baada ya nec kufanya yake halafu yeye ndio akawa mtu pekee mwenye uwezo wa kulitegua. Baada ya uteguzi late CEO akalapoka muomba chenji amejihakikishia ubranch manager mapema sana ila wengine watafikiriwa baadae
 
Back
Top Bottom