Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,342
- 1,596
Umeambiwa hii ni hadithi tu wewe unawachafua viongozi wetu, watu wengine bwana!Malija =majaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa hii ni hadithi tu wewe unawachafua viongozi wetu, watu wengine bwana!Malija =majaliwa
Umeona isiwe shida umfungukie mazima mazima.Malija =majaliwa
Ngatwa - mlevi wa mwaka 2016 kwenye lile jengo la waheshimiwa, kipindi hicho alihusika na idara ya mambo ya chumbani ya kampuni.Hapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.
Ingia hotel yoyote kubwa hapo ulipo, agiza mlo wa hatari halafu niachie bili mkuu. Hapo sawa.Ngatwa - mlevi wa mwaka 2016 kwenye lile jengo la waheshimiwa, kipindi hicho alihusika na idara ya mambo ya chumbani ya kampuni.
Shangwabu - mkuu mpya wa idara ya ulinzi ya kampuni.
hahahaha.mmoja alitumbuliwa kipindi cha late ceo.mwingine hy kaapishwa juziHapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.
soma kinyumenyumeHapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.
Kuna neno Tanzania umelisoma humo tangu mwanzo hadi ulipokomea...acha uchochezi bhana...Hii ni movie ya kijasusi au ni kweli haya yanatokea hapa hapa Tanzania?
Hahahaaaa....njoo inboxMalija hii code naitafuta siipati
Mwandishi hajataja majina ya viongozi....hayo umeyataja wewe...shauri yakoMalija =majaliwa
Ng'atwa ndio nimepuyanga sana lakini Shangwabu nimeteleza na yoga hahahaaaHapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.
Minister mpya wa juzi juzi wizara ya wazee wa mipakaniNg'atwa ndio nimepuyanga sana lakini Shangwabu nimeteleza na yoga hahahaaa
Wakuletee nyama choma kilo za uzito wako, niachie bili.hahahaha.mmoja alitumbuliwa kipindi cha late ceo.mwingine hy kaapishwa juzi
Zunguka zunguka humu, utapata watalaam.Ng'atwa ndio nimepuyanga sana lakini Shangwabu nimeteleza na yoga hahahaaa
Ukishakuwa unakomenti vinukta vyako hivi kila mara basi na wewe unajiona jasuuusi kwamba upo doria au sio 🤣 🤣 🤣 😀😀😀
Huyo mchoma mahindi tu yuko hapo kibaigwa,ninamfahamu vizuriUkishakuwa unakomenti vinukta vyako hivi kila mara basi na wewe unajiona jasuuusi kwamba upo doria au sio 🤣 🤣 🤣 😀😀😀
Bashungwa na kitwanga chale wa IIIHapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.