Dark days 17/03/20...

Hellow!! Mko fine [emoji3060]
Tuko fine Sana madame Ila sas leo born town katoa kaspeech kuhusu nyongeza ya mihula ya kuongoza kampuni jinsi walivyo ratibu vikao kwa njia ya simu na wazee baadhi ambao hajawataja na Kisha kukemea kuhusu Hilo swala la bwana jiwe na teamu yake ya kutaka kuaribu utaratibu wa kuongeza vipindi vya kuongoza kutoka 5 had 7 Kisha awe rais wa milele

Wakati born town anaongea nilikukumbuka sna nikasema Hama kweli jiwe walimuondoa kimkakati sna it not a natural death Ni mpango makakati huo uliratibiwa vyema ,
Sasa kina bachelor og waje kubisha tena

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787] wacha wee....
 
na kn hbd nyingine ilifanywa na mzee mkuchika huko ntwara, jamaa wanafuatana ktk hbd
Matukio haya yanaendana kabisa na story yetu !!

Ina maana hawa jamaa wanakula hbd zao za Mwisho kabla ya wimbi la nne la covid-19!!

Wimbi hili ni kichaka!

Hawa jamaa ni majasiri Sana aiseh!!!

Mungu ibariki kampuni yetu!!

In the loving memory of

Mzee,Bt,Mr Tanzanite!!and kp !!?

Let's wait!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…