Dark days 17/03/20...

Kama walifanya hivyo kwa usalama wa kampuni na amani ya customers basi Born Town anastahili pongezi sana ni Kama Yesu ile siku alipozinusuru Nafsi za Wanafunzi wake dhidi ya dhoruba chombo lilipokwenda mrama katikati ya Bahari.

NAJARIBU KUFIKIRI NJE YA ULIMWENGU.
 
AMKA TOKA USINGIZINI UTAJIKOJOLEA.
 
Angalau nenda KWa mtindo huu, ule wa kwanza sio

Hasa uyu mzee AK huwa wa kupiga like , huku akila supu yake na kutuchora, sio fair Mzee kutuchora shusha vitu mzee tupunguze stress za Tozo[emoji23]
Ahhh wee, unataka ashushe mzigo nyonga ivunjike na safari iwe basi?!?!.... huenda na kibanda nacho kikaungua pamoja na nyasi shambani, akakosa kuezeka paa.... almashuru bora awe anatingisha kichwa tu na kikombe cha kahawa mkononi, maana ni kizee majirani watasema anasinzia
 
Vijana wa zamani wakati wapo vyuo vya elimu ya juu watakumbuka ujumbe uliokuwepo katika matangazo ya "Mzee Punch"

Ijapokuwa alitumia lugha yenye "codes" nyingi ndani lakini zilikuwa ni rahisi, na maudhui yake yalikuwa ni rahisi kuyang'amua. Mtindo wa simulizi hii ya Yoga ina ujumbe wenye kufanana na ule wa "Mzee is incognito"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…