Dark days 17/03/20...

Hadithi inachanganya watu....
Wanaumba wahusika vichwani..
Hadithi ilipaswa kuwa jukwaa la entertainment, hapa lazima watu waiumizie vichwa.

Hivyo mods wanapashwa kuihamishia jukwaa la entertainment ili iwe burudani kwa wana JF, kuiacha kwenye jukwaa la Intelligence inasababisha watu waiumbie wahusika kwa kuona tu title na yaliyomo japokuwa ni spinning.
 
Sawasawa..
 
Yaaa uko makini Sana kijana
 
Your a great thinker wa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…